Inakuwaje huyo police kuendelea kufanya kazi na uchunguzi ni muda gani wakati kuna mtu amekiri ametumwa na messages zimekutwa kwa kaka wa huyo mwanamke . Hapo police wanalindana maana askari wa Tanzania ni waharifu na majambazi
Dawa yamoto nimoto wenyewe nae aonje utamu wakukatwakatwa napanga siwanaona raha akatwe yeye nawewe mwanaume ondoka hapo hakufai huyo mungu niwako ndomaana uko hai hataaombe msamha usimsikilize
Kanda ya ziwa,wacha yanapoozwa,kwnn hanna baunsa na anatembea bila sime anajijua Yuko katka hatari police watakusaidia,saa ngapi,unategemea miujiza ya Nabii MUSSA,haipo,jipange, tafuta baunsaa,na ma sime,
Milioni 3 umuue mwenzi wako dah unabaki na nani? Huyo mama afai si wamuue huyo mama tena ni askari duh ndo police wetu jamani msioe wanawake police mtauliwa akili kichwani
Ila jamani mume wako baba wa watoto wako Aise Mungu ninusuru siwezi kumuuwa mume wangu mpz Aise kama mmeshindana achaneni tu na ukiachwa achika🙌🙌🙌🙌😝😝😝😝
Pole sana baba.mungu aendelee kumlinda na kumnusuru mwanao kwa mengine na mengine.tunaiomba sheria ifate mkondo wake.huyo mama afunguliwe kesi ya mauwaji japo ni police hayuko juu ya sheria.
Hawa woote Ni watu àmbao walikuwa Ni waharifu sasa walichookuwa wanakitafuta Ni kuuana tu ila huyu mwanaume bado mungu anampenda hapo Cha muhimu waachane tu na hiyo Askari wa like afukuzwe kazi hafai Tena kwa kazi ya polisi.
Haki iliyotumika katika shauli la mzee aliebambikiwa pembe la ndovu na askali waliofungwa miaka 20 ndio itumike ktk kesi hii pia Dada uyu mkaguzi wa police anatuhumiwa kutuma watu wamuue mumewe.ametumia.vibaya taaluma yake na utu wake vibaya kutoa pesa kwa wayu waue mtu nu uuaji pia wa makusudi sheria ifate mkondo wake
Si wote maaskari wengine ni majambazi hali wamesajiliwa kuwa askari polisi na wanavaa sare za polisi kumbe majambazi akiwemo huyo mama na maaskari wanao mtetea.
Wew mwanamk wew unayejuw uchung wa leba kutak kumuuw mtot wawat pia kak wawat mtafutaj kajitaid kakujengea nyumb nzur alafu unatak kumuuw ungefaid nin sasa na hao watot wangekuw wakubw ungesem bab yen kafa kumb muiwaj ni wew daah hiy dam bado utalip
Police ilitakiwa ivunjwe iundwe upya imejaa wauwaji wengi kwenye jeshi mfano huyo police muuwaji halafu wanalindana kuna watanzania wengi wasio Na hatia wanafia mikononi mwa police au wanaumizwa na kutiwa vilema vya kudumu
Kawakodi majambazi..kesho utasikia uhalifu umetokea na majambazi wanatafutwa pia awajulikani wanafanya upelelezi. Polisi ni majambazi na majambazi ndo polisi, yani amanai na usalama wa mali zetu wao ndo waamuzi.
Neno kigogo sijuagi hata matumizi yake au maana yake. Wakati KUNA wanawake wanaomba wanaume zao waishi kuna mke ana kodi wauwaji kuua mumewe. Mhm AMA KWELI
95% Police uhalifu mwingi wanachangia wao sasa kwann wazuie asitoe habari na kwann wasipaze sauti watu tukawa makini majumbani aisee Arusha mnaongoza kuuana miaka hii Astaghafilullah