Тёмный

KIGOMA ,KIJANA ALIYEZIKWA HAI BAADA YA KUZIMIA SIKU 2 ALICHOKIONA NDANI YA KABULI INATISHA. 

HABARI JAMII DIGITAL
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 4,5 тыс.
50% 1

FUATILIA MKASA WA KIJANA ALIYEZIKWA HAI BAADA YA KUZIMIA SIKU 2,ASIMULIA MAZITO ALIYOYAONA NDANI YA KABULI

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 22   
@marryngaiza2061
@marryngaiza2061 9 месяцев назад
Uwe karibu na Mwenyezi Mungu sababu yuko karibu sana na wewe.
@MarioTV255
@MarioTV255 9 месяцев назад
True story don't give up
@suleimanbadru819
@suleimanbadru819 9 месяцев назад
Muongoo iyo oxygen uliipata wapi ?
@Johwilly
@Johwilly 9 месяцев назад
Kwa mujibu wa maelezo yake amesema kuwa" sikumbuki chochote kilichoendelea huko chini mpaka pale fahamu zangu ziliporudi baada ya wale vijana kuanza kunivua vitu vyangu nilivyovaa." akaendelea kusema kuwa " Hata story nayosimulia hapa na mimi nilisimuliwa na watu tangu mara ya mwisho nilipozimia." Mwisho wa nukuu ASANTE.
@faizabdallah702
@faizabdallah702 9 месяцев назад
Poleyako
@janetchinga695
@janetchinga695 9 месяцев назад
Yote ni mungu❤❤
@fashionhack6577
@fashionhack6577 9 месяцев назад
😢😢😢😢 noma hii
@tizzoflavourmusic2569
@tizzoflavourmusic2569 9 месяцев назад
najua wengi hawaamini, wanajua unaigiza lkn ukweli ndio huo
@HalidSaad
@HalidSaad 9 месяцев назад
Uyu ni muongo bana
@RojaMoo-zh2cv
@RojaMoo-zh2cv 9 месяцев назад
Duh! Atar sana
@matanobaya619
@matanobaya619 9 месяцев назад
Mungu na hayo macheni ilikua sababu.
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 9 месяцев назад
Huyu kashotishwa huko kaburini si kwa jina hilo la majini 😮😮
@KautharMohamed-kj5zc
@KautharMohamed-kj5zc 9 месяцев назад
😂😂😂😂hatar sana
@josephbonday8510
@josephbonday8510 9 месяцев назад
Mmmh...,masaa 2 ndani ya kaburi halafu umekuwa MZIMA?😅😅😅😅
@danielsamweli6766
@danielsamweli6766 9 месяцев назад
Yaan ww mkaka muongo kwel hichi kisa umekopi na kupest,Ni kisa kilitokea mwaka 1875 .nmeshangaa umekileta Kama kilivyo!!
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 8 месяцев назад
Asa km kililtokea mwaka uwo Kwan mungu anashindwa kukileta tena duniani kitu kama hcho yy ndo anajua ss tuwe wapenzi wasikilizaji tu
@dentomedicalresourceslimit4602
@dentomedicalresourceslimit4602 9 месяцев назад
Unakumbuka muda wa mazishi yako? unaanzaje kukumbuka?
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 9 месяцев назад
Wacheni Uwongo hakuna nabii?, iunabii unapewa na Mwenyezi Mungu?, na Nabii wa mwisho ni Mtume Mohammad.
@Johwilly
@Johwilly 9 месяцев назад
Sikiliza story mwanzo mwisho, nabii kwake ni Jina tu alipewa na watu kutokana na kunusulika kwenye matukio mengi ndio maana akasema mimi siwezi kumponya mtu wala kumtabiria mtu ila jina nabii ni Jina tu ila sio kama nabii kama walivyo manabii wengine
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 9 месяцев назад
​@@Johwillyhili ndio tatizo watu wanasikiliza juu juu tuu afadhali umetokea kumfafanulia kiufasaha.
@JoseLuisJorge-u4k
@JoseLuisJorge-u4k 9 месяцев назад
100kilo🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@janethhendry6734
@janethhendry6734 9 месяцев назад
Drama tv
Далее
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 21 млн
SGR TABORA - KIGOMA MAMBO YAMEIVA, KAZI YAANZA
9:07
Просмотров 15 тыс.
VETA YAWANOA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA
4:38
Просмотров 17 тыс.