Kwa mujibu wa maelezo yake amesema kuwa" sikumbuki chochote kilichoendelea huko chini mpaka pale fahamu zangu ziliporudi baada ya wale vijana kuanza kunivua vitu vyangu nilivyovaa." akaendelea kusema kuwa " Hata story nayosimulia hapa na mimi nilisimuliwa na watu tangu mara ya mwisho nilipozimia." Mwisho wa nukuu ASANTE.
Sikiliza story mwanzo mwisho, nabii kwake ni Jina tu alipewa na watu kutokana na kunusulika kwenye matukio mengi ndio maana akasema mimi siwezi kumponya mtu wala kumtabiria mtu ila jina nabii ni Jina tu ila sio kama nabii kama walivyo manabii wengine