Тёмный
No video :(

WALIOMUUA KARUME WALISOMA CUBA/ HUYU MZEE HUKAMATWA KILA MWAKA/ WAZAMIAJI ZANZIBAR HUSHTAKIWI 

ZamaradiTV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840 6 месяцев назад
mzee wetu anajua mengi sana na mamenifungua mengi hongera kwako black and White
@ndalahwakulwa8758
@ndalahwakulwa8758 6 месяцев назад
John Okello ndio Ali ongeza Mapinduzi akisaidiwa na Tanganyika Karume alichomekwa na Tanganyika Ndio maana Tanganyika Tanganyika bado inaongoza na kuhakisha Jumbe Mwinyi waliwekwa kutawala
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Halaiki kwanza sisi tuliokuwa tunasoma Pemba tulifundishwa uwanja wa Ndugukitu anakumba Said 😂
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 7 месяцев назад
Huyu mzee Mungu amuweke anaifahamu sana Zanzibar kuliko viongozi waliopo sasa hawa ndio watu tunaowataka ktk uongozi
@williamkilembwe7189
@williamkilembwe7189 7 месяцев назад
😊
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Месяц назад
KWA PESA ZAKE 😂😂HAKUIBA NA MENGI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAONGO WANAFIKI TAMAA HAKI KAILETA NA ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN YA RABI ALLAMEEN.
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 6 месяцев назад
MV MAPINDUZI IHAIKUUNDWA CHINA NI JAPAN KTK KAMPUNI YA NIIGATA Engineering lkn umeme. Lift ya kwanza ILIKUA beiltjaib. Simu ikiwekwa pale Serena hotel.
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 месяца назад
Hatuwezi kujivunia mapinduzi kwasababu yalikuwa mauwaji ya wazanzibar kama alivyosema mzee Hashil anaomba radhi walihadaiwa
@muddyausi8470
@muddyausi8470 5 месяцев назад
Nimeipenda hy hameni mabondeni na wanajibu kijeuri et mumejenga wenyewe kwenye mashamba ya mpunga
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 7 месяцев назад
Mr x ndie aliemuuwa karume na ndie alieuwa wazanzibari 12/1/1964 akaweka ukoloni wa kitanganyika laana tullah Nyerere
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Waliomuua AAKarume ni makomred chini ya uongozi wa Abdulrahman Babu si Nyerere
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 6 месяцев назад
@@machaliakulima76 Watu wanajua lakini wanaogopa kusema tu kuwa kifo kibaya cha Karume Mwalimu alihusika. Mwalimu alikuwa na wasiwasi kuwa hurnda siku moja karume akaitoa Zanzibar katika mungano.
@sammarley1413
@sammarley1413 5 месяцев назад
​@abdifaraji2883 nyerere alikua adui mbaya sana kwa jamii yawaislam mapinduzi yanzanzibar ndie Alie yapanga nakuuwa waislam wengi kwa kisingizio cakuwapindua eti watu weupe Masikitiko makubwa baadhi yawaislam wakashiriki kuwauwa waislam wenzao. Nyerere alikula njama na wakoloni waingereza nahivyo wakakubaliana kuleta wanajeshi wa Kenya kuja kufanya mauwaji na Zama hizo hizo ndio ikapacikwa Mombasa kwenye ardhi ya Kenya Mombasa sio Kenya . Lengo kuu ilikua kuangamiza uislam mwambao wa bahari Hindi. Nabada ya hapo ikaletwa hila ya vita vya kagera ili kumuondoa pia Id amin dada. Yote haya yalifanyika kwa sirikubwa namasikitiko Hadi Leo waislam wa Tanzania wapo bado tu kwenye ujinga hawataki kujua ukweli Bali wao nikukaririshwa tu
@user-nv9to8cq6d
@user-nv9to8cq6d 5 месяцев назад
Mjinga mpe cheo, wewe ni kubwa jinga
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 5 месяцев назад
@@machaliakulima76 wazanzibari si wajinga kama wewe msione tunanyamaza ila hakuna tusokijuwa nyerere ndio alowatuma na akapanga njama
@user-pf6yw7vh1p
@user-pf6yw7vh1p 7 месяцев назад
Wahadimu sio wakusini maana ya hadimu ni huduma wahudumu ni watu kutoka bara waliokua wanatumwa mashambani 11:07
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Said Miraji ambae nilisoma nae pamoja mwishoni mwa 70s mpka 81 kule kisawani Pemba
@karimdaud3993
@karimdaud3993 6 месяцев назад
Aquarium kubwa Africa ilikua fisheries .abayo wa bara wameivunja.chuo cha uvuvi 😅
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Gari za serikali SMZ
@georgemkira1720
@georgemkira1720 7 месяцев назад
Nimejifunza sana kuhusu zanzibar , mahojiano muhimu sana kwa vijana wa sasa
@geraldgogadi7054
@geraldgogadi7054 7 месяцев назад
A nice interview, full information
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 4 месяца назад
Kuna mambo mengine nmejifunza leo juu ya kifo cha Mzee Karume, haya mambo sikuwahi kuyasikia kabisa kabisa
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 6 месяцев назад
Television ya rangi ya kwanza Afrika
@mamohamed1252
@mamohamed1252 7 месяцев назад
Waliomuuwa Karume hawakusoma Cuba. Kwa taarifa yako kwa mfano Humudi alipata mafunzo ya kijeshi Urusi. Fanya utafiti wa kina tusipoteshe.
@humphreychristopher8577
@humphreychristopher8577 7 месяцев назад
Kusoma Cuba na Russia si tofauti kwa kuwa nchi zote mbili hizo za kikomunist zilizalisha makomredi wenye mtazamo komavu na angavu😊
@BedroomTvKe
@BedroomTvKe 4 месяца назад
Ndugu unamrekebisha mtu aliyekuepo wakati ule
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 5 месяцев назад
Haya hayakuwa Mapinduzi yalikuwa ni mauwaji yaliyopangwa Kwa makusudi kuwauwa Watu na akisaidiwa Na Laana tu Allah Mungu ampe adhabu Kali huko aliko kaburi limbane Sana Kafiri la Kitanganyika.
@abdisalim7900
@abdisalim7900 7 месяцев назад
Sk,Said Miraj umeekeza historia nzr kwa faida ya vijana wetu.Mungu akubarili sn!!
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 6 месяцев назад
Haijui vizuri historia ya Zanzibar na Maponduzi yake. Vijana waliokuwa katika Police Mobile Force wanayajua vizuri, kwani walikwisha pata habari miezi 2 kabla hayajatokea, lakini walinyimwa silaha na maofisa Wazungu, na wengi wao wakapewa ruhusa ya kwenda kulala majumbani kwao siku ya mapinduzi, yaani late pass.
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Mchanganyiko wa watu hao ulowataja ukasahau kutoka Iran Ambao babu zetu ndio wametoka na kuingia Zanzibar tokea 1700
@wamisangi2801
@wamisangi2801 7 месяцев назад
Kenya hamna Bora kuna Batta. Bora ya Mwl JKN.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Ndugu nimekukubali, ingawa ni mbara lakini nilikuja Unguja nikiwa na miaka 13, 1969 Disemba 29, lakini nimeikuta Zanzibar iko bado na moto wa mapinduzi, Abeid A.Karume akisema CURFEW wote mnajifugia ndani siku kadhaa isipokuwa jeshi, polisi na mgambo wanatamba nchi nzima, ilikuwa raha kweli kweli.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Viatu vya raba Bora Tanzania na raba Bata na raba za China.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Nimecheza halaiki nyingi za mapinduzi Zanzibar tangu 1970
@fanityubu
@fanityubu 7 месяцев назад
Duh Zamaradi umempa nini jamaa Kutoka Dar24
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 3 месяца назад
Yupo vizuri sana somo yangu huyu
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 3 месяца назад
Dar 24 wana watu sana hata maalim Kondo(Shaban Kondo) yupo vzr sana.
@selemanshayo7126
@selemanshayo7126 3 месяца назад
Nimemuelewa san mzee miraji ni mpinzani ila anaongea kweli
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Ni propaganda za kudanganya hasa wenzetu wa Tanganyika Said ndugu yangu hapa nakuonga mkono kuwazibua viziwi
@saqrymo379
@saqrymo379 5 месяцев назад
Sheikh umesema mengi mazuri lakini mengi hukuyasema ya ubaya. Labda watu Unguja walikuwa na raha. Pemba tulisumbuka sana hasa 1969 - 1972. Njaa ilitupiga vibaya sana mpaka hata vilimo haviwi. Yakaja maduka ya ukoo tukiletewa sembe manjano mafunza watupu. Wapanga foleni ukifika mlangoni unaambiwa limekwisha. Karafuu ilikuwa haina faida mwisho wakaja serikali kuikata ili waPemba wazidi kufa njaa. Wakata mikarafuu kupanda raba na iliki. Iliki haikuwa. Tukaanza kufanya magendo ya kuuza karafuu Mombasa na Tanga ill tupate kula. Akaja Mh Rais Karume, Mtabwe Daya akasema nyie ndio munafanya magendo atakae kamatwa atapigwa risasi. Watu wakipigwa ovyo na watu walowekwa kwenye ubalozi wa nyumba kumi kumi. Ah inatosha Pemba tulipata adhabu sana mpaka leo. 😢😢
@siasia5469
@siasia5469 7 месяцев назад
"Alikuwa Baharia Original "
@mikiothman103
@mikiothman103 7 месяцев назад
darajani canal imefukiwa 1932 na treni ya znz ilianza 1905 na safari yake ilianzia ngome kongwe ama forodhani na kuishia bububu namueka sawa kidogo.
@ahmedalbalushi6239
@ahmedalbalushi6239 2 месяца назад
Na wewe Said wakati tunasoma ulikuwa kiongozi wetu
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey
@HASSANMKUYASALUM-wu4ey 6 месяцев назад
BABA HUMUD ALIMUUA. MUGHERI KWA AJILI KUWATETEA WATU WEUSI YOTE UONGO NA HAKUPEWA ADHABU YOYOTE NA YEYE AKAPEWA HUKUMU YA KIFO
@shahidmaftouh1141
@shahidmaftouh1141 6 месяцев назад
1976 halaiki iliyo shinda ni usalama ❤kutoka wete, ukombozi chake chake 😂
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 3 месяца назад
Halaiki ya usalama na ukombozi PIA zilikuwspo Zbar
@victorjeremiah246
@victorjeremiah246 7 месяцев назад
Aliyemuua Bado anaishi au keshatangulia mbere ya HAKI?
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Kauliwa siku hiyo hiyo 07.04.1972 pale pale Makao Makuu ya ASP Ijumaa saa 11 jioni, Capt Ali Humoud ndo alomuua AA Karume. Humoud aliuliwa na dreva wa AA Karume
@alijuma7882
@alijuma7882 7 месяцев назад
Maneno mengine anayosema ya uwongo Kupata passport utawala wa karume ilikuwa kama unataka kwenda sayari ya mars
@suleimansaid7486
@suleimansaid7486 7 месяцев назад
NI MAVAMIZI NA SIO MAPINDUZI.
@khatibabass3106
@khatibabass3106 7 месяцев назад
Ulikuepo?
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 7 месяцев назад
Huyu mtu anaijua vema Zanzibar
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Sana tu anajua sana lakini mengine kabania bania
@HafidhOmar-rs4ty
@HafidhOmar-rs4ty 7 месяцев назад
Saidi miraji siasa vp umerud tna
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Nkuulize swali hivi muhammad Shamte sio mzawa na kazaliwa chambani Pemba.
@machaliakulima76
@machaliakulima76 6 месяцев назад
Kwa kifupi kajitahidi kuelezea Zanzibar kuanzia mapinduzi, kaeleza kwa hamasa na fasihi
@kassimhaji3238
@kassimhaji3238 7 месяцев назад
Aliyemuuwa rais KARUME ni mr X ambapo hadi leo haijawekwa wazi huyu mr X ni nani
@alijuma7882
@alijuma7882 7 месяцев назад
Tartan ilikuwa baadae sio wakati wa karume
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
cha kushangaza yani nchi yetu hii kila mzee wa miaka hiyo ana sema maisha yalikuwa bora kenye uongozi wa zamani ila sio sasahivi basi tume logwa ama kweli
@R10_Rajab
@R10_Rajab 7 месяцев назад
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ndio ulioiharibu Zanzibar bro Muungano ndio kirusi cha Zanzibar kutokukuendelea
@salma_6j975
@salma_6j975 7 месяцев назад
Majina ya miraji tunakuwaga na akili sana
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 Месяц назад
😮😮
@hafidhali3020
@hafidhali3020 5 месяцев назад
Si wengi waliofurahi na mauwaji ya kimbari yayofanywa na wakoloni weusi
@mbogelabairo4722
@mbogelabairo4722 7 месяцев назад
Hakika kunavitu ukisikia na kuambiwa kichwa kinakuuma sana. Zanzibar ilikuwa mbele sana sana Nadhan viungozi na siasa imekuwa changamoto ktk maendeleo
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 7 месяцев назад
Yani Acha tuu 😢
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 7 месяцев назад
😮😮
@stanastana3199
@stanastana3199 6 месяцев назад
Jamaa alitoka dar 24 au?
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 7 месяцев назад
Karume alianzisha TV ya Rangi ya Zanzibar ya mwanzo Afrika.
@nassorsubah3100
@nassorsubah3100 6 месяцев назад
Sio wote wazanzibar
@stanastana3199
@stanastana3199 6 месяцев назад
Mnona zanzibar isewe nchi kivyake
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 6 месяцев назад
Viatu vya Kenya ni Bata,sio Bora,Bora ilikuja baada ya kutaifishwa Bata. Bora imekufa,Bata bado ipo na ubora wake upo palepale.
@maomacatta9770
@maomacatta9770 7 месяцев назад
Viatu Bora sio kutoka Kenya ilikuwa kiwanda cha serikali ya Tanzania Bara Pugu Road
@khatibal-zinjibari6956
@khatibal-zinjibari6956 7 месяцев назад
Wakati wa ujenzi wa Hoteli ya Bwawani Karume hushika Sururu asubuhi na wafanyakazi.
@ibrahimomari2458
@ibrahimomari2458 6 месяцев назад
Mtafute jusa...huyo msanii tu...
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 6 месяцев назад
OKELO KUTOKA UGANDA NDIE ALIYEONGOZA MAPINDUZI, KARUME ALIKUWA TANGANYIKA AKIPAKWA HINA ZA MIGUU NA MIKONO, ACHENI KUDANGANYA WATU!
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 месяцев назад
Yani hatokei kama karume kwa kweli 😢😢😢 mola amlaze pma peponi
@eddyjabry6939
@eddyjabry6939 7 месяцев назад
Well done Mr.Miraji 🫡 nimefurahi sana.
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 3 месяца назад
Lkn. Mimi mdogo mengine kakosea
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 7 месяцев назад
MV Mapinduzi imeundwa Uchina au Japani ?
@omarmsuya2459
@omarmsuya2459 6 месяцев назад
Japan
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 6 месяцев назад
Treni imeanza Bububu SIO mwembe makumbi Bububu mpaka shangani
@AbrahamSekuza
@AbrahamSekuza 5 месяцев назад
Huyu jamaa muongo anaongea nn kama anaogopa kusema ukweli
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 7 месяцев назад
Naomba namba zake
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 месяцев назад
Kwa kweli inauma unasema kweli mzee kama nayaona uongeayo mana tulikuwa wadogo lakin tulishuhudiyq bibi zetu wakifanya kazi humo mote
@badruabdalla5301
@badruabdalla5301 6 месяцев назад
Hajui anachokisema
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 месяцев назад
Siasa inatuvuruga
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 7 месяцев назад
Unaijuajeehistoria ya mapinduzi wewe kumbe ulikuwa atahaujazaliwa.
@abdulhalimjuma7786
@abdulhalimjuma7786 6 месяцев назад
Huyu anatafuta mchongo
@humphreygodfrey5400
@humphreygodfrey5400 6 месяцев назад
Zanzibar ni Tanzania 🇹🇿 hao watu unaowasema ni Waarabu,wahindi, wa Iran nk hao wote ni foreigners, Zanzibar, Pemba nk hii ni Tanzania 🇹🇿 hakuna kitu kinachoitwa wazanzibar, wapemba.
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 6 месяцев назад
Zanzibar ipo na itakuwepo. wazanzibari wapo na wataendelea kuwepo. Kama hutaki rudi kwenu Tanganyika
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 7 месяцев назад
Wewe mzee ukweli bado hujasema kifo cha mzee karume.
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 7 месяцев назад
Karume kauliwa kwa sababu alitaka kuuvunja muungano
@R10_Rajab
@R10_Rajab 7 месяцев назад
That's it
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 7 месяцев назад
Si kweli
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
karume na nyerere ndio walikua viongozi kweli bwana saahivi hakuna viongozi
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 7 месяцев назад
Nyerere alikuwa mtawala, Karume alikuwa Kiongozi baye Watawala walikuwa hawampendi, wakiogopa asije kuvunja Mungano aliolazmishwa kuingia.
@karimdaud3993
@karimdaud3993 6 месяцев назад
Hata samia na hussein . Ndio maendeleo yanafufuka sasa mola awaweke AMEEN
@alikashmir2983
@alikashmir2983 6 месяцев назад
,,,,,,,,
@iddiyrashid1682
@iddiyrashid1682 6 месяцев назад
Sasa imekuwa nyuma kama mkiya
Далее
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 12 млн
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн