Hayo ni mama samia acha unafiki siyo magufuri mlikuwa mnasema miradi haiwezi kuendelea leo nafsi zinawasuta mama endelea unayoyafanya kigoma tunayaona kazi iendeleee
uwanja wetu wa ndege bado ni mbaya. y all have to do better I was back in 2021 and it wasn't all of that, asanteni for trying tho. kigoma deserve better
@@j.c.maxima816 Hata Sasa tunamshukuru Hayati JPM kwa maana angalau alionyesha nia ya kuendeleza mkoa wetu, japo kwenye SGR aliweka umimi kidogo. Ila mkoa wetu ni center ya biashara kubwa kati ya Nchi za maziwa makuu ila ulitelekezwa na serikali. Tunachoamimi kila hatua dua, kwanza waha kwa sasa tunapiga kazi sana mikoani na tunarudisha fadhila nyumbani, mdogo mdogo mwendo wa Kobe kila kitu kitakuwa sawa. Ahsante 🤝
@@uzungupoint 😃😃😃 Hongereni sana, ndugu zetu Waha, "nyumbani kumenoga" ! Jitahidini pia kuwa ambitious, achaneni na bajaji, mnao uwezo wa kununua magari!!! Mkoa wenu lazima uwe na hadhi inaostahili! 👍👏👏👏
Aliyekwambia sola za magufuri nani wakati alikuwa anazipiga marufuku sola zisifanye kazi leo mama samia anaifungua kigoma mnaanza kujipendekeza na huyo magufuri wenu
YAANI LIEMBA HAIFANYI KAZI?. JAMAANI.. HIYO PORT ILIBIDI WAZUNGU WAENDELEE KUSHIRIKISHWA KAMA ZAMANI ENZI ZA NORAD. NYINYI VIONGIZI WA KIAFRICA MNA MANENO MENGIIII, VITENDO HAKUNA. TUNATAKA MATENDOOOOOO, SIYO BLAA,BLAA ZENU ZISIZO NA MWISHO.
Changamoto ni kubwa sana ujenzi wa miundo mbinu na huduma za kijamii haziendani na ongezeko kubwa la watu watu wanazaana kama panya, na hili linazidi kuleta umasikini mkubwa kwenye jamii
@@abdallahsuleimani7416 kwa hiyo mnataka kuzaliana tu kama panya ndio maana umasikini sana Afrika hususani nchi ya Mavi kunuka Tanzania , sasa nini maana ya kuzaa watoto wengi wakati mtu masikini tu