Тёмный
No video :(

KIJANA ADAIWA KUUAWA NA MGANGA PUGU, WANANCHI WAMUUA BABA WA MGANGA, POLISI WATULIZA WANANCHI 

Bongo5
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 189   
@user-tb5bt8lq8j
@user-tb5bt8lq8j 4 месяца назад
Huu mwezi mbona umekuwa Wamoto sana matukio ya vifo yamekuwa mengi
@HussainMaula-wr5co
@HussainMaula-wr5co 4 месяца назад
Hao mwisho wao sio mzuri wanajifanya waganga kumbe matapeli dua za wanaowatapeli zinaanza kufanya kazi😅😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@zaitunisagwa2082
@zaitunisagwa2082 4 месяца назад
Hakika tena. Itakuwa Dua la kuku limempata mwewe😅😅.
@user-rf9vn7lz1n
@user-rf9vn7lz1n 4 месяца назад
Hiv mpk sasa bado watu mnaamin ugang jaman daah mpo dunia ipi
@Ma-star....Wakali
@Ma-star....Wakali 3 месяца назад
Ukweli utajulikana subirin washenz nyie michongo yote mnaijua na manyau wenu
@saadomar2480
@saadomar2480 4 месяца назад
UGANGA upo Tena nikazi yaheshima, lkn Sasa UGANGA umevamiwa na matapeli, Hasan humo DAR nimtihani.
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 4 месяца назад
Hakuna wa kuaminika kwenye hii dunia ya leo😢😢😢😢
@user-wu1bb4ky9s
@user-wu1bb4ky9s 4 месяца назад
Tatizo sisi wantanzania unapenda sana mambo ya ushirikina
@gracemwingwa-jx7yy
@gracemwingwa-jx7yy 4 месяца назад
Kumbe huyu mganga ni mshenzi sana kuanzia leo hapati like zangu
@Official83640
@Official83640 4 месяца назад
Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢 Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Ndio huyo huyo jaman daah 😢
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 4 месяца назад
Nitapeliiii piaa
@fadhilimsafiri216
@fadhilimsafiri216 4 месяца назад
Katapeli wengi
@fatumakidoa4006
@fatumakidoa4006 4 месяца назад
Ni huyu mbwa sana na lisura lake kama KENGE MAJI
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 4 месяца назад
Jamaa hafungwi ana vibuyu vingi Sanaa na akarudi mtakoma apo mtaani jamaa ameshindikana Kwa uchawi😅😮😢
@sailicekomba8075
@sailicekomba8075 4 месяца назад
Mungu pekee ndiye mshindi hakuna
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 4 месяца назад
,😂😂😂😂
@kardiborajabu6044
@kardiborajabu6044 4 месяца назад
nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 4 месяца назад
Ni mjeuri kuua watu ndo kawaida yake
@GodloveMushi
@GodloveMushi 4 месяца назад
Kweli
@user-ii1ro2vf9x
@user-ii1ro2vf9x 4 месяца назад
Ila nilikua naona kweny tv yake akipost mna comment nakumshukuru mmefanikiwa leo mmemgeuka n tapeli😂😂😂😂
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 месяца назад
Na mm ndo nimebak mdomo wazi hapa 😮
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 месяца назад
Binaadam kugeuka dakikatu
@MarryLeizer-di3ly
@MarryLeizer-di3ly 4 месяца назад
Kawapanga watu wakutoa shuuda tapel mkubwa siku yake imefika
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 4 месяца назад
😂😂😂😂😂
@aishahussein9348
@aishahussein9348 4 месяца назад
Iyo ni biashara,mimi unipage nitoe shuhuda,napewa hel naanzaje kukataa
@naomisintoyia-wo4ki
@naomisintoyia-wo4ki 2 месяца назад
Kwani waganga wanauwa😮😮
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 месяца назад
Hilo john ni mwixi mla rushwa likamatwe.
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 4 месяца назад
Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 4 месяца назад
Chefuu
@user-mu7yn9gr1w
@user-mu7yn9gr1w 4 месяца назад
​@@salmamlokela1987😂😂😂 eti chefuu
@gracemwingwa-jx7yy
@gracemwingwa-jx7yy 4 месяца назад
We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake
@PombeKali-cj1ex
@PombeKali-cj1ex 4 месяца назад
Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮
@user-ji7ju8lp4p
@user-ji7ju8lp4p 4 месяца назад
Taz mshenzi sana na ni tapeli uganga wenyewe jau tu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 4 месяца назад
Ndo mwisho wake sasa
@user-tb5bt8lq8j
@user-tb5bt8lq8j 4 месяца назад
Hapa ssa ndio amempa manyaunyau chakuongea😂😂😂😂
@smktv9659
@smktv9659 4 месяца назад
Kabisa
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Yn nakwambia huko tiktok mbona tutakoma 🤣🤣
@hassansaid3833
@hassansaid3833 4 месяца назад
Ila kweli mapaka paka ni noma yani umempiga shakizi la nguvu ukoo wa huyo Taz tapeli bado yeye lazima nae amalizwe 😂😂
@dvjkelly8449
@dvjkelly8449 4 месяца назад
shakizi ni nini?
@user-wu1bb4ky9s
@user-wu1bb4ky9s 4 месяца назад
Ni kitu cha kutupiwa mfano limbwata au kurushiwa jini la kujinyonga
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 4 месяца назад
Huyo n shetani lake limeelekeza achinjemtu ili uchawi ukoleee na mdogo wako nae kajiponza kafungiwa,badi ajirudisha ndoo kauliwa,hakili zero, alonae,
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 4 месяца назад
Huyo jamaa bado yupo uraiyani ? Mkuu wa police wa mkoa wa dar leta jibu
@credosowo2822
@credosowo2822 4 месяца назад
Bomoeni hayo majengo
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 4 месяца назад
Mungu atusaidie jamani,damu ya huyu askari itanena juu yao
@KarimuYusuph
@KarimuYusuph 4 месяца назад
eti mfarume wa dawa manina zake uyo dogo anasema eti kun faya kun mungu leo kakuonesha kwamba yey ndomfalme wawa falume namungu endelea kuwanyosha
@omarcpt1178
@omarcpt1178 4 месяца назад
Chomeni na nyumba, choma kilakitu nayeye mkimkamata tia moto tu
@SimbaPuyatz
@SimbaPuyatz 2 месяца назад
Mmmmh
@kardiborajabu6044
@kardiborajabu6044 4 месяца назад
kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria
@ashaomary5558
@ashaomary5558 4 месяца назад
Chomeni nyumba hiyo asirud
@Dareaziz
@Dareaziz 4 месяца назад
Pole bro
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 4 месяца назад
Pole sana kaka
@salimtz6
@salimtz6 4 месяца назад
Mbona huyu nyau kam ndo main 🎯 target inawezakanaje mtu mnalumbana kila siku half siku ya tukio unafika mwanzo 😅 Kwa waandishi? ila Tanzania bahna
@ElizabethRaju-sx2vu
@ElizabethRaju-sx2vu 4 месяца назад
Chuki tu
@ZainabuBita
@ZainabuBita 4 месяца назад
Siokweli waugovi namayauyau labud kawatma
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
uyu taz mpumbavu sana yuajifanya anahasira ata maongezi yake simpenfi uyu mganga tapeli mungu ajalie spatikane auliwe pia
@zuenahamoud1532
@zuenahamoud1532 4 месяца назад
Wivu tu tafuteni PESA acheni ubabaifu
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 4 месяца назад
Mtu kauwawa na ni nyumbani kwa huyo Taz. Wewe unasema wanawivu!!!! We mpumbavu kabisa
@lilyrose7983
@lilyrose7983 4 месяца назад
Angekuwa ameuwawa mwanao au ndugu yako ungesema wivu?Temea mate chini yasikufike
@edithaeugeni9695
@edithaeugeni9695 4 месяца назад
Chomeni na hilo Jengo
@mwanatumukombo4497
@mwanatumukombo4497 4 месяца назад
Ss niulize kwa nn mukamuua babake na aliye sababisha kifo cha mlinzi ni taz hamja fanya poa ata mbele ya Allah nyinyi munge dili na TAZ
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 4 месяца назад
Hawajafanya vizuri kabisa. Nashanfaa wengine wansona sawa tu. Na je sliyemuua huyo mlinzi ni nani?
@user-ls1ot6fs4v
@user-ls1ot6fs4v 4 месяца назад
Eti kwa nini wasimpeleke polisi
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 4 месяца назад
Allah tupe Stara, Angalia kifo aluchokufa huyo mzee,Wewe Mganga kesho utajibu Mbele ya Allah,umesababisha kifo cha Baba yako pasipo hatia,
@dnyotausa6154
@dnyotausa6154 4 месяца назад
Roho mbaya zinawasumbua masikini
@salimanguzo5553
@salimanguzo5553 4 месяца назад
Chezanavyote siokaziyauganga wakujitangaza lzma upingwe tukio
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 месяца назад
Ss kwnn mmemuuwa baba ake wkat yy ausiki wnanchi na jyie mkatwe mana mmeuwa vile vile na kwnn muibe fenucha za ndani nyie ni wezi
@shaibusalim5751
@shaibusalim5751 4 месяца назад
Sikilza vizur kakamtu anavyoongea huyo baba nae kausika
@fatumakidoa4006
@fatumakidoa4006 4 месяца назад
Afe huko pia nae damu Moja ya uuwaji
@Ashrey82
@Ashrey82 4 месяца назад
Huyo baba mliomuua mtakamatwa nyie mkome! Tena hao vimbelembele wa kumjibu muhandishi wa habari!
@roqayaro9439
@roqayaro9439 4 месяца назад
WANANCHI MMEFANYA VZR KUMUUUA HUYO BABA
@user-no7pz1bz4y
@user-no7pz1bz4y 4 месяца назад
Huyo angechomewa nyumba mshenz huyo😢😢😢😢
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 4 месяца назад
Sasa uyo baba Ake mmemuuwa amefanya Nini mmemuonea ila mtamlipa kesho kiama mlikua mumuuwe mwenyewe
@adambakari9276
@adambakari9276 4 месяца назад
Hapo ndugu yng kuna utata sasa huyu baba kam kasema mdogo wako kauliwa mm nipo polic alf unaenda unamkuta huyu baba kajifungia ndan kwake na hajaenda huko polic utahic nn ikiwa tayari akili ishakuvuruga kwa kifo cha ndugu yko
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 4 месяца назад
Mwezi mmoja mbele Taz anarud hapo kaeni mbali nae hawezi kufungwa ni mchawi hafai
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 4 месяца назад
Hahaha
@officialsharifa
@officialsharifa 4 месяца назад
Aiseee !!!!?¿??
@kidykodyyusufukod-ud6vg
@kidykodyyusufukod-ud6vg 4 месяца назад
hili linaweza kua na taswira tofauti ata na tunavoliona
@EmanuelMnubi
@EmanuelMnubi 4 месяца назад
Atari sana
@hyy4114
@hyy4114 4 месяца назад
Subhanna Allah huyu mganga nilimuona Tik tok Ana majibu ya jeuri kwel
@jassminemubarak2828
@jassminemubarak2828 4 месяца назад
kwanz haja wahi kucheka mie namuelewa huyu mganga
@fadhilimsafiri216
@fadhilimsafiri216 4 месяца назад
Tapeli yule na katili sana
@hyy4114
@hyy4114 4 месяца назад
@@jassminemubarak2828 mm nilimuona tu Tik tok Ana majigambo Subhanna Allah
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 месяца назад
​@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢
@scolasticastephano4366
@scolasticastephano4366 4 месяца назад
Tumutegemee Mungu binadamu siyo wema
@mamaboizpure842
@mamaboizpure842 4 месяца назад
Si huyu jamaa anakua tiktok wah
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 4 месяца назад
Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md 4 месяца назад
Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo
@Commentsplus
@Commentsplus 4 месяца назад
Duh inaumaaa
@kanukanute1514
@kanukanute1514 4 месяца назад
Ki2 kingn jeshi l police wanpo sikia taalifa km wanatkiw wawe kipaumbele kwend kumchkua mtuumiw il kuepush v2 km hv
@user-ls1ot6fs4v
@user-ls1ot6fs4v 4 месяца назад
Waende wakati wanataka rushwa
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 4 месяца назад
Huyu mwenye kapelo ni manyaunyau yy mwenyewe mganga tapeli
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 4 месяца назад
Macat cat jamaniiii
@EREVUKATV
@EREVUKATV 4 месяца назад
Huyu jamaaa mweny t shirt nyeupe mnafki
@fhugghi4109
@fhugghi4109 4 месяца назад
Ila huyo tazi aliambiwa Na Shekh suleima Allah atamuumbua 😢subuhhallaah ona leo hii kadhalilika japo kakimbia
@credosowo2822
@credosowo2822 4 месяца назад
Não Police waliofika hapo mala ya kwanza wafungwe kifungo Cha milele
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 4 месяца назад
Yote mipango ya manyau nyau kamsukumia afanye ayo
@user-zt1te9ir8t
@user-zt1te9ir8t 4 месяца назад
vita ni akiri vita ya uchumi ndo hii.
@FatmaZena
@FatmaZena 4 месяца назад
Innalillah wainnaillah raj'uun
@rehmastyle4446
@rehmastyle4446 4 месяца назад
Aliye kuuwiya mdogo wako ni Manyaunyau
@ZainabuBita
@ZainabuBita 4 месяца назад
Niwaogo bwana wanatak kuletea ujaja tu
@HADSONPAUL
@HADSONPAUL 4 месяца назад
Mmmmmm hiii dunia inamambo mengi
@YassinyNganywama
@YassinyNganywama 4 месяца назад
DAAAAH
@katotopesaofficial
@katotopesaofficial 4 месяца назад
8:42 Manyaunyau kapata pakujipigia promo😂😂
@GodloveMushi
@GodloveMushi 4 месяца назад
Umeonaee
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 месяца назад
Manyau nyau kaja kuakikisha km. Dawa zake zimefanya kz yn unekuja kbs unaht haibu
@user-nb4vd2wd7w
@user-nb4vd2wd7w 4 месяца назад
Yan
@legallytallm7702
@legallytallm7702 4 месяца назад
What country is this?!
@candy9969
@candy9969 4 месяца назад
Uyu jamaa sio Ndio Anafany uganga wake tiktok
@DorahAlbert-eb9zv
@DorahAlbert-eb9zv 4 месяца назад
Me pia namuona km ni yule anajitangaza Sana mitandaoni zaidi titok
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
Ni yeye ambae anajufanya mungu mtu pumbavu sana ameniudhi mungu amlani sliko
@GodloveMushi
@GodloveMushi 4 месяца назад
Ndo yeye
@FatumaMamlo-st8pj
@FatumaMamlo-st8pj 4 месяца назад
Manyaunyau kwake nifuraha ya kunguru😅😅😅😅😂😂badala ya masikitiko😢😢😢
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Tena kapata la kusemea tiktok huko 🤣🤣
@barikiwa22
@barikiwa22 4 месяца назад
Mbona mna focus sana kwenye hayo matunguri 🥱
@merrymichael6126
@merrymichael6126 4 месяца назад
Manyaunyau noma xn anavutia kwkr
@user-zq6nc2nf1g
@user-zq6nc2nf1g 4 месяца назад
Imani zakipuzi tuu
@aishahussein9348
@aishahussein9348 4 месяца назад
Manyau kama manyau oyeèeeee
@Blandinakanini
@Blandinakanini 4 месяца назад
Sasa ata mukijoma si ataunda zingine Huyu mujawi
@KAHINDITV
@KAHINDITV 4 месяца назад
Umpige mtu na kitu kizito had anyonyoke nywele😢😢😢😢Mungu tutetee
@rahmamashaallah2355
@rahmamashaallah2355 4 месяца назад
Mtihani
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 4 месяца назад
Amebaki huyo kijana naye mmalize kabisaa wapuuzi sana hawa
@OmanBuraimi-wl4tm
@OmanBuraimi-wl4tm 4 месяца назад
Wana vibali vyaoo wagangaa
@user-fg8hg9fe1w
@user-fg8hg9fe1w 4 месяца назад
Mnasubiri nini chomeni moto vibanda vyake hivyoo mtu mmoja anasumbua jamii sababu ya tunguli zake huyo ni taperi tu
@ReginaErnest-cf6ji
@ReginaErnest-cf6ji 4 месяца назад
Anamdom Huy Taz khaaa sijawah kuona majivuno sasa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 4 месяца назад
Utajiri wenyew wa kutapeli watuuuuu
@user-zp4gf7te8o
@user-zp4gf7te8o 4 месяца назад
Maisha aya bwana
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Manyau nyau salute kuanzia leo nakupa salute 🕴
@WaridiTambi
@WaridiTambi 4 месяца назад
Wote ao wanajuana mm nilimuamin ila sijawai kumtafuta nilikuwa namfatilia kumbe ni zaid ya shetani anamana kabisa
@WaridiTambi
@WaridiTambi 4 месяца назад
Ukifikia kumuuwa mwezako ww sio mtu wakawaida
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
@@WaridiTambi yn ht mm nilomuamin asilimia zote kumbe hafai kabisa 😥
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
@@WaridiTambi kabisa kwanza huna roho km ya binadamu wenzio ni roho ya ukatili sana
@AbdonRenatus
@AbdonRenatus 4 месяца назад
Huyo mganga aukumiwe mara moja maana anajuwa kile alicho kifanya na uchunguz uwe wa mda mfupi sana ili haki itendeke
@allykassim1120
@allykassim1120 4 месяца назад
tunaomba mkono wa shelia umfuatilie uyo tuz
@AyubuMsindo
@AyubuMsindo 4 месяца назад
Manyaunyau anachuki naomba. Jeshilimkamate manyau nyau atowe ushahd
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 месяца назад
Wananchi nawapendaga bure.
@rosemneney3244
@rosemneney3244 4 месяца назад
Hiyo 5 yako sogeza pembeni
@muhammedomaryshembilu8539
@muhammedomaryshembilu8539 4 месяца назад
Manyaunyau ukafurahi kweli
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 4 месяца назад
Sasa kwanini wananchi wamuue huyo baba jamani 🥹🥹🥹
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 4 месяца назад
We unaona alikua anafanya vizuri kutishia watu
@Mrsmussa-wn6kv
@Mrsmussa-wn6kv 4 месяца назад
Sasa nawaowashajitia hatiani kwakuua huyomzee wangeachanserekali ifanye yake
@shaibusalim5751
@shaibusalim5751 4 месяца назад
Selikali gani
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 4 месяца назад
​@@Mrsmussa-wn6kvserikal ipi unaambiwa kuua ndo zake na akikamatwa lisaa tu kaachiwa na anajitapa kabisaa
@Mrsmussa-wn6kv
@Mrsmussa-wn6kv 4 месяца назад
@@salmamlokela1987 niyeye sio wao kilamtu na bahatiyake unambiwa usisafirie nyota ya mwezio sio km yy kafanya makosa naww ulipize makosa acha vyombo vinavyohusika vitashulikia
@RehemaSaid-rg5mr
@RehemaSaid-rg5mr 4 месяца назад
Mbona roo yake ngum
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
mbona amekimbia fomo kubwa tu kuuwa mwenzio ajifanya mganga lakini uyu mshenzi sana auliwe pia slafu yuko live tik tok mbona kskimbia nyumbani
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 4 месяца назад
Auliwe na yy kumalamamaake
@aishahussein9348
@aishahussein9348 4 месяца назад
Matapeli dawa yao ndo hiyo,kwa nini umfanyishe kazi mtu alafu usimlipe hela yake,uyo tapeli msimuache ua kabisa na yeye amfate mwenzie
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 4 месяца назад
Serikali hii ainauaminifu kabisa mpaka mtu anauwawa shauli ya rushwa tuu mpaka hapo ndiyo mujuwe kuwa pesa inasanabisha polisi kulete maafaa kama haya Sasa mtatuambia Nini kuhusu hicho kifoo serikali hii inasikitisha sana
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 4 месяца назад
Najua tu hapo umeanz kulenga polisi hapo polis ana kosa gani ? Wakat unaona kabisa polis alishaenda na akamtoa dogo, we sema hii Tz yetu ya kimaskini koz mtu inabidi kung'ang'ania sehem unayo fedheheshwa na kisingiziw uizi ili tu ujipatie mshahara wako ukizani hizo zote ni changamoto za kazi ndo hivyo sasa kifo kimemkuta , umaskini wetu Tanzania ndo unao tufanya tudhalilike hata humo maviwandani kwa wahindi,wachina na wazungu manyanyaso yapo saan yani muhindi kukutandika kofi la uso kwake wala sio tatizo na ww ulie tandwika kesho unaenda kzn kama kawaida sa unazani hapo shida nini ? Shida ni unaskini watu wanang'angana ili wapate risk
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans
@damasiibrahimu8892
@damasiibrahimu8892 4 месяца назад
Kumbe uganga ni tasnia
@user-mu7yn9gr1w
@user-mu7yn9gr1w 4 месяца назад
😅😅😅😅
@bernardnavyake2389
@bernardnavyake2389 4 месяца назад
😊ml😊l
@user-zu9kw7vv8w
@user-zu9kw7vv8w 4 месяца назад
Anaesema wivu angechinjwa mwanao
Далее
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Просмотров 4,5 тыс.
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн
НЕДОВОЛЬНА УСЛУГОЙ #shorts
00:27
Просмотров 20 тыс.
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн