Jaman huyu c ndy yule mganga alitangaza apelekewe Hawa akamtibie bure kabisa kumbe ana roho mbaya hivyo hd kuua watu Subhannallah 😢 Na tunguli zimechomwa moto Laahaula Wala Quwata😢😢😢
nakingine ukiwa sikiliza wananchi wengi hapo pia wana onekana wana chukibinafsi na wivu na huyoo jamaa kwajinsi anavo ishi namajirani zake inaonekana hana ushirikiano mzuri ndio maana wana nchi wameongeza chuki pia
Hapo huyo mlinzi kwa haraka haraka ndo kaiba hilo dude kwa kuwa anadai pesa yake! Na hapo kutakuwa na uvamizi umetokea kwa huyo mganga ila kwenye kupambana huyo mlinzi kauawa na baba mtu kauawa! Ukiskliza vizuri kwa hao majirani zake wana chuki binafsi na wivu mkubwa sana! Huyo dogo ndo kavamiwa! Ila kwa kuwa polisi wanaweza kwenye kupeleleza tutajua tu!
We nawe ninawasiwasi nawe itakuwa umeshiliki kununua hiyo mlinzi maana hapo Bila kuwaza sana moja kwa moja huyo huyo mganga wenyu ndo kamuuwa mlinzi wake
Yani huyojiniazi anasitahikiazabu kali mm namjuwavizuli jiniazi nimoja katiya waliofanya kazina yeye mm nifundi Magali nilio wahi kufanyanae kazi namjuwa kuwa nimtu mmoja muoga sanatuu IRA kwahiro anajutiaa sana maana bb ake yeye ndioo kirakitu kwake poresana jiniazi umenizulumu mpaka mm pombekali kunifayakuni 😮😮😮😮😮😮
kwamatukio mawili yote yaliotokea ni ya kusikitisha sana ila kiukweli tuvi achie vyombo vya dolla vifanye uchunguzi wa vifo vyote viwili kifo cha mlinzi nakifo cha baba wa anaye hisiwa ndio kamuua mlinzi endapo uchunguzi utakamilika kwa wote walio husika kuji chukulia sheria mkononi nakuhusika na mauaji hayoo wachukuliwe hatua kari za kisheria
Hapo ndugu yng kuna utata sasa huyu baba kam kasema mdogo wako kauliwa mm nipo polic alf unaenda unamkuta huyu baba kajifungia ndan kwake na hajaenda huko polic utahic nn ikiwa tayari akili ishakuvuruga kwa kifo cha ndugu yko
@@fadhilimsafiri216kuna siku niliiona video kamkamata kijana anasema ni tapel anacopy dawa zake na tishert anapita bara baran akiuza dawa feki alikua anampiga sana nikajisemea huyu kijana sizan kama alitoka salama hapo ndani 😢
Huyu mganga aliye uwa kwakweli inasikitisha huyo mganga kwa maelezo hayo polisi walikuwa wanamlinda 😢 mimi nasema polisi igeni tabia ya polisi wa mkoa wa mbeya nasema haya kwakuwasifu wanafanya kazi kwa weredi ingekuwa ni mbeya yasinge fikia hapo mwalifu mbeya anazibitiwa mapemaa ili mwalifu asijeleta mazara hebu sikiliza maelezo hayo je polisi walipewa tarifa na wakaja awakuchukuwa tarifa yoyote mpaka imefikiwa hapo nani mzembe kama sio polisi Ingekuwa mbeya duu polisi mbeya na mkuu wa mkoa wake wako makini tunaa anani kwakweli uhalifu umepunguwa mbeya kwa msada wa polisi mbeya huyo mkamateni na anyongwee
Yaani mtu ana mahabusu yake anafanya atakavyo. kisa pesa kisa mganga jamani tunaelekea wapi ? Hebu angalia mambo hayo sasa tanzania amani yetu inakuwaje hapo
Serikali hii ainauaminifu kabisa mpaka mtu anauwawa shauli ya rushwa tuu mpaka hapo ndiyo mujuwe kuwa pesa inasanabisha polisi kulete maafaa kama haya Sasa mtatuambia Nini kuhusu hicho kifoo serikali hii inasikitisha sana
Najua tu hapo umeanz kulenga polisi hapo polis ana kosa gani ? Wakat unaona kabisa polis alishaenda na akamtoa dogo, we sema hii Tz yetu ya kimaskini koz mtu inabidi kung'ang'ania sehem unayo fedheheshwa na kisingiziw uizi ili tu ujipatie mshahara wako ukizani hizo zote ni changamoto za kazi ndo hivyo sasa kifo kimemkuta , umaskini wetu Tanzania ndo unao tufanya tudhalilike hata humo maviwandani kwa wahindi,wachina na wazungu manyanyaso yapo saan yani muhindi kukutandika kofi la uso kwake wala sio tatizo na ww ulie tandwika kesho unaenda kzn kama kawaida sa unazani hapo shida nini ? Shida ni unaskini watu wanang'angana ili wapate risk
astakagirullah yani domo akiongea ni kama ansuwezo wa kukufua wafu anajufanya yuajua kila kitu jeur na majigsmbo chomeni kila kitu na mkimpata muweni mana amemdhulumu uyu marehem sans