Тёмный

Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 779 тыс.
50% 1

Historia ya Rais 'THOMAS SANKARA' Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
Nchini Burkina Faso katika kipindi cha utawala wa kampeteni Thomas Sankara, mambo yalikuwa shwari mno na hasa hiyo ilitokana na uzalendo wa rais huyo anayetajwa katika historia kuwa ni mmoja wa wapambanaji na wamfano barani Afrika.
Lakini hatma ya rais Sankara ni kuuawa kikatili tena na rafiki yake kipenzi kampten Blaise Compaore, hali iliyomfanya Compaore kushika nchi hiyo na kuiongoza kwa miaka 27.Global Tv, imekuletea historia ya kiongozi huyo.
#THOMASSANKARA
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitte GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.

Опубликовано:

 

7 янв 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 549   
@selemandenja2951
@selemandenja2951 5 лет назад
mauaji yake yalirabiitiwa na kupangwa na nchi ya france .historia ya sankara haitofauni na comrade patrice emery lumumba wa congo kwani nae aliuwawa na watesaji na wakoloni mambo leo EU,USA ,Lumumba aliuliwa na majeenti waCIA na juzi kati serikali ya belgium imekili na kuiomba radhi ikulu ya kinshansa kwa kuhusika na mauaji ya lumumba.
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 5 лет назад
Seleman Denja daaah hata wakiomba msamaha ni too late😢😢😢😢
@bensonkikoko5576
@bensonkikoko5576 5 лет назад
Seleman Denja
@carloschikawe7271
@carloschikawe7271 4 года назад
aisee unanikosha sana kaka Edgar
@wangash6144
@wangash6144 4 года назад
Tulete story ya kabila Ethiopia inayowa fanya watoto kuolewa na 7 years
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Yaani wanaua mtu wa muhim alafu wanakuja kuomba msamaha adi uchungu
@josephatkashendwa1177
@josephatkashendwa1177 4 года назад
Kama mzalendo wa bara la Afrika Gonga like hapa......."You can not cary fundamental change if u don't have a certain a mount of madness" (huwezi fanya mabadiliko makubwa kama huna ukiachaa).
@alfredkibet
@alfredkibet 4 года назад
Like it
@vicentrevocatus9353
@vicentrevocatus9353 3 года назад
Afilika, viongozi mwamba,, mm nitajivunia kuwa muafrica,, never change origin home,
@SAM_163
@SAM_163 5 лет назад
R.i.p Thomas Sankara "the face of Africa"!!!!!❤ from 🇹🇿
@ramadhanthabeety105
@ramadhanthabeety105 3 года назад
Kifo cha Rais Magufuli kimenifanya nirudie kutazama hii may your souls rest in Paradise our Champ 🙏
@Ronald-gh6jl
@Ronald-gh6jl 3 года назад
Sankara na magufuli all gone,best African leaders don't live long,, may their souls continue to rest in peace 🙏🙏
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 2 года назад
Kabisa inaumiza sana. Waafrika MUNGU anatuona!
@mohidinmohamed7653
@mohidinmohamed7653 5 лет назад
Best president in the world!!!!!
@mojamal007
@mojamal007 5 лет назад
Hiyo Pande Ya Wabunge Wa Kenya Hujakosea Kabisa. Na Bado Hawatosheki, Wanaiba Kila Siku. Walafi Sana.
@sadickjuma1594
@sadickjuma1594 4 года назад
Hapo pa Kenya umegonga ndipo ndo maana mie na familia Yangu nlihamia hapa Tz
@FrancisAMligo
@FrancisAMligo 5 лет назад
We need these leaders in Africa. Well done Sankara.
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 5 лет назад
Am telling u
@jacksonlameck6174
@jacksonlameck6174 5 лет назад
@@brysonuronu5862 Kofi ulumide
@gracedaniel1924
@gracedaniel1924 5 лет назад
Love from KENYA thanks president Sankara
@mtungilandegeya6312
@mtungilandegeya6312 5 лет назад
KAMANDA HAKIKA KIPAJI UNACHO!!! HONGERA SANA. RIP THOMAS SANKARA.
@clqudiaemmanuel7740
@clqudiaemmanuel7740 5 лет назад
Mekupenda bureee kpnz changu Thomas Sankara hakika haiwezi rejea Tena hakika hata Mungu anakuona ulipo pumzika kwa amani kpnz Cha wengi
@davidfrank2658
@davidfrank2658 5 лет назад
Natamani kulia bhana
@ashamnyambu4056
@ashamnyambu4056 4 года назад
Thomas Noel Isidore Sankara,Julius Nyerere,Kwame Nkrumah,Malcolm X,Nelson Mandela,Patrice Lumumba,Martin Luther King,your spirit never dies
@patkawal30
@patkawal30 3 года назад
Maghufuli JP
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 2 года назад
Ongezea John Pombe Magufuli
@saidbakari3124
@saidbakari3124 Год назад
Ongezea na John Joseph Pombe Magufuli
@selector728
@selector728 5 лет назад
Aisee huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana nimeipenda...let late comrade sankara rest safely in peace
@funnygirl6762
@funnygirl6762 4 года назад
Rest in p .shujaa
@sugarray312
@sugarray312 5 лет назад
Ahsante broo! Kwa historia yenye mafundisho kwa vizazi endelevu
@dottomakanyanga5214
@dottomakanyanga5214 5 лет назад
Mungu endelea kuitunza roho ya hayati Thomas Sankara mahali salama milele amina,Mhadhiri wangu Denis na Msimulizi unayesimulia hongereni sana Mungu awaongezee ujuzi zaidi ili tuzijue historia za viongozi shujaa
@tintz3157
@tintz3157 5 лет назад
Kaka tuletee na historia ya Steve biko Uko vizuri mzee hongera sana
@emmanuelmgeni1704
@emmanuelmgeni1704 4 года назад
Tin Tz eti magufuri nae anafata nyayo zake thomas
@alfredmsimutowe4013
@alfredmsimutowe4013 4 года назад
Steve biko alikuwa hero sana na ndiye alianzsha msemo wa black is beautiful
@damarissantangelos9329
@damarissantangelos9329 4 года назад
I Love Thomas Sankara....from Kenya
@seifmatimbwa4379
@seifmatimbwa4379 5 лет назад
Aliongoza kwa mfano...R.I.P Thomas Sankara
@MegaAlexison
@MegaAlexison 5 лет назад
Man U know I can listen to you 24/7 bila without getting tired we need more histories from you
@johnopiyo4103
@johnopiyo4103 2 года назад
Huyu jamaa ako sawa.
@shaimamabrouk9937
@shaimamabrouk9937 5 лет назад
Kizuri Daima hakidum Dunian. Inna lillah Wainnalillah.Rajiun. Allah mpumzishe kwaaman Shujaa wako Amiin.
@nelsonandanyi
@nelsonandanyi 5 лет назад
Haichokeshi maskioni, uyu alitumwa na Mungu, may he rest in peace then, now n forever..
@kennethjana4259
@kennethjana4259 3 года назад
Thank you T. Sankara. God bless you. Your light will always SHINE!
@nassorkaitira5135
@nassorkaitira5135 5 лет назад
Huyu ni rais in nature
@jbjaphet1465
@jbjaphet1465 5 лет назад
Wow naipenda sana hii story ya Thomas kwani wa president wasasa wanasomea wapi mbona hawana hakiri kama zawa president wazamani Nipo New York Syracuse
@renatusmisigaro6332
@renatusmisigaro6332 5 лет назад
JPM ana maaono kama ya Tomas nimefatilia historia hii sijaona utofauti kati ya viongoz hawa wawili! Ila kuna mijitu haitaweza kuona kwa sasa mpaka historia ya Mzee magu ianzwe andikwa na kusimuliwa namna hii!!
@patrickmbogo7805
@patrickmbogo7805 5 лет назад
Daima nitapenda zaidi misimamo ya huyu shuja.R.I.P Thomas Sankara
@jamestony8944
@jamestony8944 5 лет назад
Magufuli afate nyayo hizo
@nkwabitz233
@nkwabitz233 5 лет назад
UNATANGAZA VIZURI SANAAA DAH KAMA Vile. DW BON
@ryobajohn7177
@ryobajohn7177 5 лет назад
nkwabi. em tumpen sapot
@joshuakiwovele8664
@joshuakiwovele8664 5 лет назад
Huyu mtangazaji mmempat cjui nimfananishe na nani anajua sana
@billyotienojuma9932
@billyotienojuma9932 5 лет назад
ukweli kabisa Kenyan Mps are earning alot
@michaeljohn6381
@michaeljohn6381 5 лет назад
Africa ni viongozi wachache sana wenye uzalendo na nchizao Mungu ampunguzie azabu ya kaburi ni shujaa mwenye wazifa
@godfreyahmed180
@godfreyahmed180 4 года назад
Huyu jamaa alikuwa kiongz Bora sana
@njerithiru407
@njerithiru407 4 года назад
President Thomas Sankara was a focused, visionary and charasmatic leader.with his cleanliness campaign and health care am certain he would have led war against Covid-19 in Africa...lost a characteristic leader. 👌editor ! from ... Kenya
@esterabonga7947
@esterabonga7947 5 лет назад
Ndo tatizo watu wema uwa awakawihi duniani 😭😭😭
@samsonfulgence6170
@samsonfulgence6170 3 года назад
Awakawihi😀😀😀
@eliyajoseph6862
@eliyajoseph6862 3 года назад
Hii ni kwasababu wanamaadui wengi sana
@stanslausmajalla6882
@stanslausmajalla6882 5 лет назад
He who feeds you,controls you,R.I.P President Thomas Sankara,we will miss you forever bro.
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 5 лет назад
Ni kweli kwa hilo la Wabunge wa Kenya.
@barakachami8218
@barakachami8218 5 лет назад
Kwel mwenye upendo wa kwel awadumu ktk maisha Rest in peace Tomas Sankara
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 года назад
Mtu mwema hadumu anauliwa tambua Hilo ndugu
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 5 лет назад
Napenda sana kusomaga historia ya sankara,alikuwa ni shujaa na hatotokea tena kama huyu,rip shujaa Sankara,hongera mtangazaji unasauti inayosikika vizuriii,natamani kuendelea kukusikiliza
@solo-manjerusalem5732
@solo-manjerusalem5732 4 года назад
Unaupata wapi unabii huo kama hatatokea mwingine?
@user-rx7jg6kh9h
@user-rx7jg6kh9h 11 месяцев назад
Kapatikana mrithi wake Ibrahim Traore
@hamisisha
@hamisisha 5 лет назад
Ahsante sana kwa kutuletea historia ya huyu shujaa. Mwenyezi mungu amuweke pahala pema amin
@zabronpaul3625
@zabronpaul3625 5 лет назад
Watu wazuri wanachukiwa wabaya wanapendwa R.I.P Thomas Sankara
@jacksonmagola3442
@jacksonmagola3442 5 лет назад
The great one never happen again!
@adrianomussa6754
@adrianomussa6754 5 лет назад
R.I.P President Thomas Sankara We will remember you so much in Africa and wordwide as well
@mussasaimon2012
@mussasaimon2012 5 лет назад
Alikua vizur sana
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 2 года назад
Rip my heros Thomas Sankara love from BURUNDI
@alfredomendoza2280
@alfredomendoza2280 3 года назад
A natureza é maravilhosa
@edwardgwaspika4943
@edwardgwaspika4943 5 лет назад
So touching!
@shammoha5297
@shammoha5297 5 лет назад
Unayo sauti nzuri bro. Natumai we mtangazaji bora ehh🤗👍🏽
@duncanmulama7246
@duncanmulama7246 5 лет назад
Enyewe
@edwinkimani4557
@edwinkimani4557 4 года назад
A leader that was God fearing. God blessed that leader n the country. He was god's chosen n anointed. R. I. P my bro.
@mrhalane6393
@mrhalane6393 5 лет назад
Kweli vizuri havidumu pumzika kwa amani
@bravo2546
@bravo2546 5 лет назад
Ni kweli hapa Kenya wabunge wanavuma mamilioni +254
@henryosoro7696
@henryosoro7696 5 лет назад
Alikuwa mzuri kweli Huyo sankara
@michaelshayo187
@michaelshayo187 5 лет назад
Mmmh alikuwa vizuri sana
@startonengineerings8924
@startonengineerings8924 5 лет назад
A Edgar unajua bro daa,"TUSOMAGE BIBLE HATA KMA HATUTAKI KWENDA MBINGUNI"....
@prosperpuro1712
@prosperpuro1712 4 года назад
Daaah naenjoi sana
@babiornewton1008
@babiornewton1008 5 лет назад
I'm supporting u 100 percent
@nyzerjnl7960
@nyzerjnl7960 3 года назад
Tom Sankara gonga like
@mcoc9491
@mcoc9491 4 года назад
""You can not carryout a fundamental changes without a certain amount of madness """ good idear
@ifruitx2096
@ifruitx2096 5 лет назад
Kweli kabisa kenya yetu inapngoza dunia mzima kwa viongozi kulipwa mtonyo
@sandrawanjiko2022
@sandrawanjiko2022 5 лет назад
Nimempa na roho yangu yote, Mwenyezi Mungu ailinde roho.
@jojogalleriaphotography7786
@jojogalleriaphotography7786 2 года назад
Aluta continua!!! Shujaaaa Sankara Kiongozi Hero4Life. Mtangazaji Asante Historia ya Sankara Imenitia Nguvu Sana Natamani Africa ipate Kiongozi kama Sankara Live Long Burkina Faso.
@beatricekamengekamenge5543
@beatricekamengekamenge5543 5 лет назад
😭😭😭😭r.i.p sankala mungu akupumzishe kwa amani
@shidamashauri7582
@shidamashauri7582 5 лет назад
Mamb
@razackmwandonje7201
@razackmwandonje7201 5 лет назад
Sure b
@selector728
@selector728 5 лет назад
sio sankala ni sankara
@savioponera7886
@savioponera7886 3 года назад
Hakika ww mtangazaji uko vizur xana Kwa kazi yako hakika mungu akupe maisha malefu AMENI
@dennisnyambane8530
@dennisnyambane8530 3 года назад
My all time hero! Rest in peace ✌ my African hero.
@fjmwkamo4819
@fjmwkamo4819 5 лет назад
Safi sana RIP
@alexinonda3340
@alexinonda3340 5 лет назад
Napenda hizi taarifa za wakuu wa ulimwengu
@alimaumba5351
@alimaumba5351 5 лет назад
Umeongea point bro tangu uhuru tunakopa mpaka leo tunakopeshwa tujiulize ,mabadiliko muhimu kwa viongozi wetu wa kiafrika ushauri tuu kwa sababu afrika tulishatawaliwa...
@peterkutoh3699
@peterkutoh3699 4 года назад
Hata juzi May 2020...Tumekopa aise
@sahiyaalliy5598
@sahiyaalliy5598 5 лет назад
We love you sankara
@marwachacha1524
@marwachacha1524 5 лет назад
Huna hata kiwanja unaitwa meneja 😂😂😂😂😂😂😂😂
@faridasabu8946
@faridasabu8946 5 лет назад
Safi sana histori yake!rip sankara
@ubwayassini5443
@ubwayassini5443 5 лет назад
Safi
@omarabdallah8430
@omarabdallah8430 5 лет назад
Daaaaaah noma kwel
@evanskatunzi6729
@evanskatunzi6729 5 лет назад
Nimekuelewa mtangazajiii documentary yako imecmama safi sanaa
@masssjasscard9147
@masssjasscard9147 5 лет назад
Mtangazaji upo vizuri sana
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 лет назад
Naukumbuka ule wimbo Balisidya wenye maneno yanayosema" ni mashaka ya hangaiko wema hawana maisha" Sankara ameacha athari iliyotukuka Afrika na dunia kote ama hakika wema hauozi.. Mungu amrehemu RIP shujaa Sankara
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 лет назад
Mungu akulaze mahala pema peponi magufuri wa bukinafaso thomas sankara
@boniphacejohn961
@boniphacejohn961 5 лет назад
Unajua kusimlia big up broo
@agreymsemwa8021
@agreymsemwa8021 5 лет назад
Kizur hakidumu Dah Rip Thomas Sankara
@cyrus6433
@cyrus6433 5 лет назад
RIP my hero forever.
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 3 года назад
Huyu alikuwa ni kama Rais Magufuli wa Tanzania. Wapumzike kwa amani.
@jamesmayunga5802
@jamesmayunga5802 5 лет назад
hahaha et unasikia Kenya wabunge wanaongoza kwa mshahara, nimependa iyo life style ya Thomas sankala
@robgriffin361
@robgriffin361 4 года назад
Soo sad rip
@VotanVotan-gb3hd
@VotanVotan-gb3hd 11 месяцев назад
Ahsante Kwa taarifa nzuri
@hamedmohammedjafari6114
@hamedmohammedjafari6114 5 лет назад
Unaongea vzri maa shaa Allah...... Kizuri hakidumu kweli
@cedrickmc4283
@cedrickmc4283 5 лет назад
so much love to sankara
@geoffreywangeci8472
@geoffreywangeci8472 5 лет назад
I wish I would the next be the next Sankara, lest in peace father Africa
@timothzullu4665
@timothzullu4665 Год назад
Jamaa unajuw sema BIG UP
@agnessmwasanga6263
@agnessmwasanga6263 5 лет назад
sir denis hongera yako,napenda sana story hizi
@christopherowino1816
@christopherowino1816 5 лет назад
Globol TV mubarikiwe zaidi ya wote, kwa historian yenyu nzuri sana
@gozbertfilbert7671
@gozbertfilbert7671 5 лет назад
Safi sana shujaa
@khalfanshahabakar7866
@khalfanshahabakar7866 5 лет назад
Big up
@mariapatric7107
@mariapatric7107 3 года назад
RIP my true hero
@user-tb4lj6zv5p
@user-tb4lj6zv5p 5 лет назад
THOMAS SANKARA best president burkina faso has ever had / rather africa at large
@geresonochieng7098
@geresonochieng7098 5 лет назад
Nimeipenda sana
@silvesterandrea2815
@silvesterandrea2815 5 лет назад
God bless our Africa.
@dalali_leonard6898
@dalali_leonard6898 2 года назад
😭😭😭😭😭 R I P RAIS WA KWELI
@victorjoseph8582
@victorjoseph8582 5 лет назад
Yamenitoka machozi Mungu mlaze mahali pema peponi Amin
@ellynestory1611
@ellynestory1611 5 лет назад
asante
@eliyahsakaika8641
@eliyahsakaika8641 5 лет назад
nakukumbali sana
@zuberykharoub6868
@zuberykharoub6868 4 года назад
Bro uko vizuri sana kwenye kutangaza👏👏
@mariammwaniki3464
@mariammwaniki3464 5 лет назад
More History 😘😘😘😘🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@suleimannassor3276
@suleimannassor3276 5 лет назад
Wakwanza kukoment like hap
@martinjohn7382
@martinjohn7382 5 лет назад
A man of the people
@selemankelvin3279
@selemankelvin3279 5 лет назад
safiiiiii bro kaza tafsili zako
@emmashmwesh5373
@emmashmwesh5373 Год назад
Dennis lugha yako ni yakuridhisha kweli kiswahili sanifu,napenda unavyo suka na kusukika nakara zako,,, your the best ever had history narrator in Swahili language
@agayadam5511
@agayadam5511 5 лет назад
Burkina Faso is my best country
@abubakaryally48
@abubakaryally48 5 лет назад
raisi aliyekataa mshahara
Далее
One moment can change your life ✨🔄
00:32
Просмотров 17 млн
Лайфхак для дачников
00:13
Просмотров 17 тыс.
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Просмотров 815 тыс.
One moment can change your life ✨🔄
00:32
Просмотров 17 млн