Ukishakuwa na nchi yenye viongozi madalali ni shida kubwa wao wanatafuta ten percents ndio wanachoangalia wananchi sisi ni wajinga mnooo nchi za wenzetu hakuna huo upuuzi
Duh! Huu mradi wa liganga na mchuchuma yaani nahisi kulengwa na machozi nikisikia unavyouongelea. Hivi kweli ipo siku moja ambapo huu mradi huu utatekelezwa kwa maslahi mapana ya taifa hili?
Kwenye huokataba ukweri mwanashelia mkuu wa serikari ashitakiwe mahakamani na afungwe kwa kuriingiza taifa hasara.kwa maana yy ndiye mwanashelia mkuu wa serikari yetu.
Mwabukusi anajidanganya hawezi kuwa rais wa TLS ajiandae kwenda mahakamani kumuachia mwabukusi awe rais wa TLS ni kosa kubwa kwanza yule ni chizi.. Serikali hakikisheni huyu chizi achukui hiki kiti... Povu ruksa kwa mijitu ya chadema na ngedere wengine