Awezeshwe anaweza hata mbunifu wa balbu alianza kama huyu tena huyu kijana ameishia darasa la sita tofaut na mzee wa balbu alikuwa hana hata akili ya kusoma ila aliwezeshwa
@millad ayo naomba mawasiliano na huyo mtoto pia nakuomba uliza chuo cha ufundi wapi anataka kusoma mimi nitajitolea kadri ya uwezo nimsomeshe in shaa Allah
@@thewalletent asalaam alaikum. Mkubwa namba ulio nipatia sio smart phone na sijaona kama itanisaidia kuhakikisha ninao ongea nae ndio yeye. Ombi langu tena kwako na team @millad ayo nikunifanyia msaada wakuhakikisha ninaweza kuhakikisha ni yeye kwani dunia tuyayo ishi imebadilika mno. Kama nitapata nafasi hiyo nitashukuru sana. Kwa uwezo wa Allah tutapata msaada huo ili niongee nae kwani nipo mbali kidogo Kwa sasa na niliisha kutana na mkasa kama huo nikatoa sipo. Nadhani utanielewa. Nashukuru pia Kwa msaada wako wa awali. Jazaka'llahu khayri.
Ni kweli kabisa sio mtu anakipaji fulani lkn munamlazimishia tuu akasoma vitu ambavyo havipo kwa kichwa chake. Big up kijana kwa kweli ni vyema sana VETA ndio kipaji chako
Hongera sana brother Millard kwa namna unavyo jitahidi kutafuta na kuibua vipaji vilivyo fichika.Huyu dogo anahitaji support yetu wa TZ kwa ubunifu alionao.
kajitahidi sana sana kupitiliza.. kupata tu hiyo structure ya bodaboda shughul yake sio mchezo... na hapo hajatumia michoro. kwa mfano angesoma engineering drawing (auto cad na solid work) na uhakika atafanya vizuri zaidi ya hapo... kwa project hiyo kuna watu wanachukua degree kabisa.. mi kwa ushauri wang asiishie hapo kipaji anacho aende shule asome masomo ya engineering kama automobile engineer,.. ni designer mzuri sana
Aisee sina hamu kabisa kumbe tunaweza pia dogo jaribu kuamsha pikipiki kubwa kabisa kisha ikifika muda wa maonesho nenda nayo ipeleke itakuwa sapoti kubwa sana.usikate tamaa na usiishie hapo kama kwamba umefika,endelea zaidi na zaidi mungu atakusaidia
Mm nimemaliza chuo lakini sina ata ubunifu wa kuingiza buku kwa siku. Manina hili lielim la akina chemistry, history ufala mtupu. #kigoma imebalikiwa vipaji lakini imenyimwa maendeleo
Safi sana hawa ni watoto wa kuwajali sana ni vipaji havipatikan ovyo ovyo iyo ni akili ya kuzaliwa Asante Mungu kumpa talent uyo kipaji mpe maisha malefu
Siku nyingine jaribu kutuwekea namba zao mana wengine tunapenda kuwachangia vijana kama hawa. nimependa ubunifu huu jamani!, ilibidi nimtumie hata 10 elfu.
Dogo anastaiki michango asome atimize malengo yake watu kama hawa ndio wanatakikana katika jamii mashallah Allah atamnyanyuwa na atakuwa kioo katika jamii.
Genius.... Huyo dogo atizamwe kwa jicho LA kipekee...wadau,wizara husika na serikali kwa ujumla ...hiyo adhina ya taifa hususani kwa serikali hii yenye Sera ya viwanda