1: Mungu 2:Chanzo cha mafanikio ya Kweli naya Kudumu ni Mungu, Mithali 3:Mafanikio yana Kanuni Pastor ROSE SHABOKA🙌🏼🙌🏼🙌🏼Mungu Akubariki❤️ (kanuni)👇🏼 1.Lazima ujitambue Roza , lazima Ufikilie kesho 2.Lazima Uwe Mwanamke Wa Kutafuta Maarifa, Jifunze Kitu kipya kila Siku (mithali 19:2) 3. BIDII, Mkono wenye bidii Umfanikisha Mtu(mithali 22:29) 4.Usimsaau Mungu 5. Kusaidia Watu, jifunze kutoa kuliko Kupokea (mithali 30:31)
Nimependa sana nataka kujifunza ujasiriamali kutengeneza na kupaki peanut butter ubuyu karanga za mayai na kiu sana naona kwenu nitafanikiwa niko bukoba