Тёмный

UNAPOSUSA NDOA UNASUSA URITHI WA WATOTO WAKO : PASTOR TONY KAPOLA 

EFM TANZANIA
Подписаться 119 тыс.
Просмотров 197 тыс.
50% 1

Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance
Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events
#MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee

Развлечения

Опубликовано:

 

18 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 193   
@upendoamani8164
@upendoamani8164 Год назад
Ndani yako kuna mamlaka Asikiae hii sauti hii na apone kwa jina la Yesu Kristo 🙏🏽
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 Год назад
Huyu pastor is every genius and blessed
@jorammsemakweli3116
@jorammsemakweli3116 Год назад
Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Год назад
Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress
@gracekenan4665
@gracekenan4665 Год назад
Waow hongera sana 25 sio midogo ...umetutia moyo tulio na miaka michache kwenye ndoa
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Год назад
@@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau
@evalynedenis
@evalynedenis Год назад
Mungu ambariki Mama wetu kwa hekima zake❤
@marystanleymarystanley1702
@marystanleymarystanley1702 Год назад
umenitia nguvu my love
@edinakyaruzi9226
@edinakyaruzi9226 Год назад
Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏
@leaherasto929
@leaherasto929 Год назад
Maneno yako yameniingia sana Asante Pastor Mungu aendelee kukubariki
@aledesiomushi875
@aledesiomushi875 Год назад
Umebarikiwa ili ubariki wengine pastor Mungu WA mbinguni anikumbuke na mimi
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Год назад
Naona watoto wangu wakiwa juui kiriho na kimwili pia in Jesus name
@aminajuma8629
@aminajuma8629 Год назад
Pastor Asante kwa somo zuri sana hta ambao hatujafanikiwa kufika tumejifunza mengi sana Mungu ni mwema sana na akubariki sanaaa
@jacklinesamson1175
@jacklinesamson1175 Год назад
Hekima kubwa sana hii,mwenye sikio na asikie🔥
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Год назад
Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain
@leonardoautomotivegarage9452
Penye neno la Mungu pana Mungu pokeeni neema hii wadada, Mungu awape mwanzo mpya amen
@sifaisack7470
@sifaisack7470 Год назад
Amen 🙏
@pielahadson2884
@pielahadson2884 Год назад
AMEN 🙏🙏🙏
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 Год назад
AMEEEN, MTUMISHI WA MUNGU.
@adelinekiwale2879
@adelinekiwale2879 Год назад
Nemekuelewa sana mtumishi wa Mungu
@CarolyneN45
@CarolyneN45 Год назад
Amen
@asnathmwaipopo6877
@asnathmwaipopo6877 Год назад
Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️
@tainamsemwa2865
@tainamsemwa2865 Год назад
Amina isiyokuwa na mwisho mtumishi barikiwa
@emmanuelcharleschitete4879
@emmanuelcharleschitete4879 Год назад
Powerful word from the powerful man of God
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 Год назад
Anaongea Kama mtu MWENYE Amri 😢😢😢 Glory to God Am happy of having this man in our Generation
@agnessbulegu996
@agnessbulegu996 Год назад
Alaye, anakula Hadi afya, umoja,AMANI furaha.. Unajua nini kaka Kapona,, you're blessed.
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Год назад
Sure sure pastor point taken wazaidia wa mama waaawaa Na kila mama anaye kushikiliza apate kuponyua live is spiritual
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Год назад
Ni kweli neno la MUNGU ni taa,,,nimeelewa , MUNGU tusaidie kwenye ndoa yangu,,,, barikiwa mtumishi ,,,nachukua baraka za neno
@tawocatv9940
@tawocatv9940 Год назад
Your amazing ! Mungu ametupa wewe tupone kwa Kweli
@FelixMjen-fx4lx
@FelixMjen-fx4lx Год назад
My lord bless u pastor be blessed at all
@nancymuturi629
@nancymuturi629 Год назад
🙏🙏🙏🙏🙏Ooooh yes amenena mwenyewe huyu Mungu in Jesus name
@NeemaKimaro
@NeemaKimaro Год назад
barikiwa sana pastor nimepokea jambo kubwa sana
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Год назад
Hapo upo sahihi kumuombea au ruombeane mmoja anapokosea , Mungu akubariki mchungaji
@tumainimwaijonga5407
@tumainimwaijonga5407 Год назад
Mtumishi nimebarikiwa sana nilikuwa nimekata tamaa. Na ndoa yangu inabidi nipambane kwa maombi
@sekitauniquedesigns8813
@sekitauniquedesigns8813 Год назад
Barikiwa Pastor Tony!
@gladysramadhan4008
@gladysramadhan4008 Год назад
Hallelujah Hallelujah bwana Yesu ameeeen
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 Год назад
Asante Mungu Baba. Asante Yesu Kristo Amina.
@marthamlowe7928
@marthamlowe7928 Год назад
Umesikika kwa saut kubwa pastor 🥰🥰🙏
@flokirui2742
@flokirui2742 Год назад
I like your teachinyg Pastor... Ubarikiiwe sana as you blessed other people with the word of God...
@yasintacharles3594
@yasintacharles3594 Год назад
Amina sana pastor i got it very clear
@maryeer6392
@maryeer6392 Год назад
Hallelujah hallelujah 🔥🔥🙏🇰🇪
@lulusufian9455
@lulusufian9455 Год назад
Amina baba MUNGU akutunze mtumishi barikiwa Sana babaangu
@user-fk9mj4vd7s
@user-fk9mj4vd7s 8 месяцев назад
Ameeen sana hakika umenivusha mahali fulani Mungu azid kukutia nguvu uzidi kutuinua🙏
@user-vv1rs5ho1v
@user-vv1rs5ho1v 7 месяцев назад
ASANTE mungu akutunze sana nimejifunza umegusa maisha yangu kwa shemu kubwa san
@heavenlight5084
@heavenlight5084 Год назад
Amen mtumishi wa MUNGU
@fatumarashidi5182
@fatumarashidi5182 Год назад
Wallah pastor nimepokea uponyaji
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 Год назад
Mungu atusaidie kwa kweli
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Год назад
Alhamdulilah 🙏
@beatricefuraha6471
@beatricefuraha6471 Год назад
Mungu akubariki mtumishi 🙏
@EmmyMwaipopo
@EmmyMwaipopo Месяц назад
Amina na pokea. Uzima kwajina la yesu
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 Год назад
Yesu tusaidie
@olivemwamengonakilimombeya6951
Thanks mtumishi
@sumaiyabakary2692
@sumaiyabakary2692 Год назад
Ni maneno makubwa sana
@KibibiMtuhi-xg8ju
@KibibiMtuhi-xg8ju 5 месяцев назад
Huu ujumbe umenibariki leo na umekuja kwa wakati sahihi 2 Feb 2024 ❤❤❤
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
Amina. Daddy Nitafanya hivyo 🙏
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Год назад
Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Год назад
Amen Amen Amen Amen Amen Amen
@daudichija2800
@daudichija2800 Год назад
blessed pastor i appreciate. you
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 Год назад
Amen dady🙏🙏
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
Napokea....Amina
@user-ee8vj1km2v
@user-ee8vj1km2v 3 месяца назад
Nmekuelewa sna mchungaji remain blessed 🙏
@UpendoMnzava-kr3nk
@UpendoMnzava-kr3nk 8 месяцев назад
Mtumis nakushukuru kwa elimuyako mungu akupe maaisha marefu ilituzidi kujifunz
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j 11 месяцев назад
Ameni mtumishi wa mungu mungu akubarki sana
@lightsamweli8296
@lightsamweli8296 6 месяцев назад
Stay blessed my spiritual father
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq Год назад
Paster Tony unajua sana
@user-nb6qg2qb9g
@user-nb6qg2qb9g Год назад
Amina Amina 🎉🎉🎉❤❤
@patrickdebe8416
@patrickdebe8416 6 месяцев назад
Asante sana mtumishi wa Mungu.
@lovenesslukas5360
@lovenesslukas5360 Год назад
Dady Amen 🙏🙏🙏
@DeoKapimpiti-fm7sk
@DeoKapimpiti-fm7sk 11 месяцев назад
God bless you paster🙏
@pilikafuku5468
@pilikafuku5468 Год назад
Amen mtumishi
@osilojackson-oj8dk
@osilojackson-oj8dk Год назад
Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you
@rebeccamwiseneza2431
@rebeccamwiseneza2431 4 месяца назад
Amen amen ubarikiwe mtumish❤❤i
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Amina
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 Год назад
I need a spiritual power of God 🎉
@damianandrew3074
@damianandrew3074 Год назад
Mchungaji Hilo bango na tangazo nyuma yako pastor linawatoa watu kwenye uwepo wa mungu
@user-ps2lt7bc2j
@user-ps2lt7bc2j 11 месяцев назад
Ni kweli mchungaji ubarikiwe sana
@godwinagustava5634
@godwinagustava5634 Год назад
AMINA!!!!
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
Aminaaaaa
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 Год назад
Amen day🙏🙌
@rosesanga6163
@rosesanga6163 7 месяцев назад
Pastor wangu oyeee
@jojotanzan609
@jojotanzan609 Год назад
Barikiwa mtumishi
@josephinemapuga3515
@josephinemapuga3515 Год назад
Asante Yesu kwa mafunuo haya kupitia mtumishi na mchungaji Kapola
@gracenkembo8318
@gracenkembo8318 Год назад
Mtu wa Mungu kapola nakupenda sana mafundisho yako ni dawa ya mioyo yetu
@belinadeusdedit3993
@belinadeusdedit3993 Год назад
Amina ,tuponywe
@oscanyakunga
@oscanyakunga Год назад
Amen Amen
@hawasaidsaid8204
@hawasaidsaid8204 Год назад
Amen amen
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
AMINAAA
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
AMINAAAA
@Mjeshi215
@Mjeshi215 6 месяцев назад
Amen mtumishi barikiwa sana
@dahliamapunda8256
@dahliamapunda8256 Год назад
AMINAAAAA
@user-ei9vv9hu7i
@user-ei9vv9hu7i 8 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@SisteKayombo-up5cy
@SisteKayombo-up5cy 10 месяцев назад
Wow marvelous
@manirakizamireille8337
@manirakizamireille8337 Год назад
Asante mucungaji
@emmanuelikitomari1212
@emmanuelikitomari1212 Год назад
Mungu akubariki sana baba
@esthermodestus7649
@esthermodestus7649 Год назад
Amen Ameen Ameen, Napokea kwa Jina la YESU.
@sararasmamwamapupa3577
@sararasmamwamapupa3577 5 месяцев назад
Amina mtumishi wa Bwana
@gasperurassa6440
@gasperurassa6440 Год назад
Amen
@israelchacha6424
@israelchacha6424 11 месяцев назад
Mungu anibariki na mke
@shukranitawa4668
@shukranitawa4668 Год назад
Ameeen
@hdhdhdhdhdh3264
@hdhdhdhdhdh3264 Год назад
Amina🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 Год назад
❤❤
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny 4 месяца назад
God bless you more than you are.
@rahelmyombo9874
@rahelmyombo9874 Год назад
This is powerful 🙌
@KilihonaNdaki
@KilihonaNdaki Месяц назад
Mungu mwema nimefuniliwa sana
@joynnko5186
@joynnko5186 Год назад
Amen!
@JanethNgambeki
@JanethNgambeki Месяц назад
Mungu asante kwa kunifundisha
@neemaloy889
@neemaloy889 Год назад
Amen Amen Amen
@pendomwiva5327
@pendomwiva5327 Год назад
❤❤❤❤❤❤Amen mtumishi wa Mungu, Mungu akubalik
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Год назад
aminaaaaa
@josephinemapuga3515
@josephinemapuga3515 Год назад
Aminaaaaaaaaaaaa
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Год назад
Pastor ubarikiwe Sana kwa ujumbe ushauri wangu hio display hapo kama Iko kanisani isidisplay hayo matangazo itumike kumtangaza Mungu na sio Vodacom na matangazo ya nywele Hayo tunayapata huku duniani
@missieflavie
@missieflavie Год назад
Hapo sio kanisani ni mkusanyiko wa wanawake mbalimbali watokao katika dini tofauti na sio mahubiri tuu yalikuwepo katika ratiba.
@barakastephano481
@barakastephano481 Год назад
Sio kanisani kaka apo alialikwa tu
@zephaniapaul5562
@zephaniapaul5562 Год назад
🙏🙏
@selegioelias9076
@selegioelias9076 Год назад
Wallah tena ??? pastor
@anordalfred
@anordalfred Год назад
Wewe tena! barikiwa sana
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Kweli point
Далее
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 12 млн
LIVE: Tony Kapola Akifungua Shajara Yake na Babbie Kabae
1:03:40