Msimu Huu wa 2023 Tumepewa Nguvu Zaidi na @dstvtanzania @vodacomtanzania @cocacola_kwanza Pamoja na @y9microfinance Ukumbi huu umepambwa na @sadas_choice_events #MwanamkeWaShoka2023 #ChukuaCode : #Wanyooosheee
Tatizo Mch Kapora hauko huru ni mtumwa wawazugu sisi sote tumesoma na tunajua lugha hiyo lakini unashindwa kupambnua unawafundisha watu wa taifa gani wewe ni mtanzania unawafundisha watanzania tuna lugha ya Taifa kiswahili wewe unachanganya kama si mtumwa ninani alafu unasema umewekwa huru
Straight forwad mimi mwenyewe nilishafikiwa na hayo nilivyomwambia mama mimi naachana naye kani cheat mama alicheka kwa nguvu yuko huna kamkeka hapo tandika ombea ndoa yako ombea mume wako kila unampoamka unapoenda kazini mume anavyoondoka mwambie ngoja nikuombee hata maneno matatu anapoenda nje kila akitaka kufanya upuuzi anakumbuka maombi ya mkewe anaacha.leo hii tuna miaka 25 kwenye ndoa sina stress
@@gracekenan4665 asante mpenzi atakayekuja kukuambia ndoa haina changamoto ni muongo huyo sio kaka yako huyo sio mtu mliolelewa pamoja.kazaliwa huko umezaliwa huko mmekutana kujaribu kuoanisha tabia zenu.kinachotakiwa katika miaka saba ya ndoa ni wewe kumsoma mumeo na mume kumsoma mke then mkubaliane hizi tabia zinanikwaza na yeye aseme tabia ambazo hazipendi then muanze tabia mlizozijenga ninyi sio mlizotoka nazo makwenu.kwani tumelelewa tofauti kilicho ndio kwako kwa mwingine sio.nikupe mfano sisi kwetu hata kama una marafiki unataka waje wikend as long as uko kwenye himaya ya wazazi unatakiwa uwataalifu marafiki zangu watakuja mama yako atauliza umejiandaa utawapikia nini mnajadiri.upande wa mume wangu wakishua yeye kwao walikuwa hawana hicho, kakutana nawashikaji twende kwetu wanakuja pale chakula hamna mama hajali kwani anajua mtoto wake ana hela ataagiza chakula watakula na washikaji then basi.tulivyooana akazileta hizo tabia kwangu.mmekaa mnakuta anarudi na marafiki mimi tumbo linaunguluma mama yangu hatujapika hatuna vinywaji jamani nakasirika ,hivi kwanini asingeniambia jamani maana marafiki zake ni mashemeji zako. unataka waje wale wafurahi.akifika yeye tu anamtuma dada nenda dukani fata soda,chipsi kuku mimi moyoni nawaza hawa mashemeji siwatajua sijui kupika kumbe mimi sikuwa na taarifa.nikavumilia tabia zake nikashindwa nikakaa naye alichonijibu Mungu wangu samahani kumbe nilikuwa nakosea mimi nikadhani labda hutaki wageni niko hapana nachokasirika kushitukiza watu wamekuja tuna agiza chakula badala ya kuwapikia. yuko kuanzia leo sitarudia mke wangu sisi kwetu tulikuwa tukifanya hivi.sasa unaweza jifunza ni mambo mangapi tunahukumiana bila kujua why yanafanyika hivi.mazungumzo ni muhimu kwenye ndoa siku yenye furaha uliza maswali yako ukiwa huna hasira mtaelewana ukimpandishia moli sahau
Safi dada mimi mwanzo niliona kazi nilipokua na mtoto mdg wa1 kidg niondoke ila Mungu tu leo miaka 12 watoto 3 ahsante Mungu dada uko sawa umeniongezea ngv nyingine zaidi 🙏
Mchungaji kumanisha nimefaidika na maubiri wako no way to explain but ubarikiwe kabisa am augandan in Dubai with ma Kenyan wife in Uganda with two children your message has totally changed my life i can not explain
Sikuwepo. Ila kwa neema ya MUNGU now nimejiongamanisha kupitia haya mafundisho na maombi kupitia hii ibada NAPOKEA kila kitu cha BARAKA alichotamka MTUMISH huyu🙏🙌🙌❤️
Hiyo ndoa wanazosusa labda hazina kumuuingiza Mungu,au kunawachopitia labda inatakiwa ujue,ni kweli unasusa urithi zingine hazifuati maneno ya Mungu ,hazitaki mabadiliko sasa wasisuse,wamchao Mungu watadumu ktk ndoa
Na kenye nimesahao niko mchungaji but due to some situations at home i have hired ma self to serve some Iranians in working car body kits na i need your prayers n some more business ideas basing on what I heard from you
Pastor ubarikiwe Sana kwa ujumbe ushauri wangu hio display hapo kama Iko kanisani isidisplay hayo matangazo itumike kumtangaza Mungu na sio Vodacom na matangazo ya nywele Hayo tunayapata huku duniani