Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi
Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana
Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.
Tusisahau kuwa baadhi ya mavazi hayampi Mungu utukufu mf bikini ni vazi lililo asisiwa kuzimu na linavaliwa sana na madada poa na kuna baadhi ya staili za mapenzi ni dhambi mbele za Munguanawake tusipokuwa na macho ya rohoni tutajikita kupendezesha waume zetu ili tusiachike badala ya kumpendeza Mungu.waume wataingia mbinguni na sisi tutaishia jehanamu.Mungu atusaidie sana
kama ulimpata mumewako kwa kumshawishi kwa vitu fulani itabidi undelete na vishawishi . ila kama mume alikupenda kweli,akakuchagua ulivyo,kinacho hitajika ni nidhamu ya kawaida nakujifunza kumheshimu mume wako siku zote bila kumzoea na kutenda mema na kumvumilia udhaifu wake pamoja na kuomba. nimeolewa miaka 12 sasa nina watoto 3. hiyo bikini siijui wala wala hizo style za kutisha. napendwa sana kila siku naona upendo unaongezeka kwangu na kwa watoto pia. sikuwahi kufundishwa mafundisho ya ndoa hata siku moja. niliingia kwenye ndoa nikiwa sijui chochote zaodi ya Maldini mema niliyolelewa na wazazi pamoja na neno la Mungu nililo jua kwa kiasi. napendwa sijawahi kukimbizana na mambo mengi. kwa mawazo yangu nivizuri kumjua mume wako ni mtu wa ainagani,anapenda nini then fanya yanayo stahili. kuna alie olewa akiwa amejichubua alivyo olewa akaacha.akawa mweusi mume akachepuka. alivyo rudia kujichubua mume akamrudia. Heshima unyenyekevu,,usafi, na kujituma muhimu. pamoja na kumcha Mungu ndo 1st Mungu atusaidie wanawake.
@@jeremiahmariki9340 uyu ni mlokole kweli. Yaani mme wako wa halali kumpa style zote afrahie mapenzi ni dhambi kwa Mungu! Kweli kutosoma vitabu vya dini ni mbaya. Alafu bikini ni vazi la kuzimu🤣😆😂. Uliona nani wa kuzimu kavaa bikini?
@@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear
Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri
Bibilia anasema Usiyachochee mapenzi Kuna wanawake wakitoka Hapo ndoa zinaenda kuvunjika Akili ya kuambiwa Changanya Na yako. Kila ndoa inategemea mumeo Yukoje kila mtu ana tabia Yake.
Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo
@@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya
Huyu dada anahubiri dunia na mambo yake hamhubili Kristo usidangaye watu madaktari sio watumishi wa Mungu Alie juu .Labda mungu wako huyo unaemsema wa kisasa .
Kabisa na watu wanashangalia anatumia saikolojia ya uchungaji kuchota akili zao mabinti sababu hawajui neno la Kristo kwhy ukiwa vizuri kitandan ndo ndoa haivunjiki eti unapambania ndoa yko kitandan aangalie mke mwema wa mithali 31 kama ana hyo sifa.Mungu awafungue macho mabinti ni siku za mwisho hzi.