Тёмный

MWANAMKE MWENYE AFYA YA AKILI ANAMIPAKA - NAVAA BIKINI- ACHA ULOKOLE KITANDANI- PASTOR ROSE SHABOKA 

Dina Marios tv
Подписаться 284 тыс.
Просмотров 247 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 296   
@BernadethaBuha-os7tt
@BernadethaBuha-os7tt Год назад
Mungu aendelee kukuweka duniani unaponya mionyo ya watu
@2poandrew298
@2poandrew298 3 года назад
NAKUPENDA PASTOR ROSE. MUNGU AKUTUNZE KWAAJILI YANGU.
@elizabethgati8549
@elizabethgati8549 7 месяцев назад
Napenda mafundisho yako pstr.Rose mungu azidi kumimina upako ndani yako
@immaculatajacob3677
@immaculatajacob3677 2 года назад
Nimeongezeka katika maarifa Asante kwa mafundisho ya pastor Rose, yamenipa hatua njema na kuniongezea kujitambua....Mungu azidi kumuongeza sana kwa ajili ya wengi
@pendomangalili7501
@pendomangalili7501 3 года назад
Hallo 👋 Pastor Rose 🌹 Shaboka, naguswa sana na mafundisho yako hasa sisi walokole Mungu akubariki sana mafundisho yako Ni Master Key 🔑.
@rechomwaisaka5173
@rechomwaisaka5173 6 месяцев назад
Mungu akutuze. Postor Rose me nabarikiwa sana na mahubiri yako bwana yesu akutuze nakupenda sana dada angu mtumishi wa mungu
@Elizabethmbithe-br7yk
@Elizabethmbithe-br7yk 6 месяцев назад
congrats pastor rose
@DeborahTemba
@DeborahTemba 7 месяцев назад
Nakupenda sana mtumishi ninapona.Mungu akubariki sana
@charlesjoseph6847
@charlesjoseph6847 3 года назад
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa big up mtumishi
@AndrewAbuga-d1s
@AndrewAbuga-d1s Месяц назад
God bless you and take care of your healthy forever to continue preaching to Gold's people
@shestiverwakatale7478
@shestiverwakatale7478 3 года назад
Ubarikiwe na YESU KWA ujumbe mzur sana pastor Rose
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 3 года назад
Ameni nime barikiwa Sana na nime jifunza kitu hapa
@siporaleonard6532
@siporaleonard6532 3 года назад
Ahsante mtumishi Rose Mushi-Shaboka,nimefurahishwa na mahubiri yako,yanagusa sana.Una talent hii tangu ulipokuwa school mate wangu pale Moro sec,barikiwa sana
@Mariejo123-g2x
@Mariejo123-g2x 2 года назад
Mama umesema vizuri, mwanamke hata usipowezeshwa unaweza vizuri, ukiwezeshwa napo umshukuru mungu pia.
@NeemaMeshaki-qm4ew
@NeemaMeshaki-qm4ew 2 месяца назад
Asante mama Mungu akubariki sana tena sana kunavitu vingi nimejifunza katika ndoa yangu
@mwanalyimo2432
@mwanalyimo2432 2 года назад
Nimekupenda dada , duuu hii Kali, kweli hakuna uchungu unaozidi wa kuzaa, ikiwa Mungu mwenyewe alisema ni uchungu, kweli ni uchungu
@tabithakitundu8736
@tabithakitundu8736 5 месяцев назад
Ni ya siku nyingi lakini maneno yanaishi. Aliyemwelewa Rose say hallelujah 🎉
@AgnesAgnes-fm8wp
@AgnesAgnes-fm8wp 10 месяцев назад
AMEEN NIMEBARIKIWA SANA❤
@jasperjackson8871
@jasperjackson8871 3 года назад
Mtumishi Rose Shaboka Mungu azidi kukutumia uwaponye wanawake hasa wanawake walokole bado wamelala usingizi mzito wakat sahivi mambo yamebadilika Sana sio kila kitu n kirohoooo!!!.
@jescamjarifu2381
@jescamjarifu2381 5 месяцев назад
amina
@gloryqueen6296
@gloryqueen6296 2 года назад
Amen kipenz changu pastor 🌹 nakupenda mno jamani
@salmahassan3521
@salmahassan3521 2 года назад
Una huduma nzuri, hila unahitaji kusoma Biblia sanaaa
@ANGELBYAMUNGU
@ANGELBYAMUNGU Месяц назад
I love you so much be blessed mumy thank you 👏
@josephinemichael1514
@josephinemichael1514 3 года назад
Pastor Rose she's my role model😍😍
@celinekenedy870
@celinekenedy870 3 года назад
A man will treat you according to the way you allow him to do🔥🔥🔥🔥. I like that. Ubarikiwe.
@salomemahenge1954
@salomemahenge1954 3 года назад
Salome
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Not true
@abyssiniaseif1703
@abyssiniaseif1703 3 года назад
That’s how you know she was made for what she does👌🏽👏🏽❤️🔥
@jacklinesamatwa3146
@jacklinesamatwa3146 3 года назад
Asant mtumishi wa mungu,ni ndoto yangu kufikia viwango vyako
@AnethGosbert
@AnethGosbert 5 месяцев назад
Nakupata vizuri Pastor ubarikiwe
@hesbonwataka2809
@hesbonwataka2809 6 месяцев назад
Ujumbe mzuri kweli👍👏
@siphanestarichad6275
@siphanestarichad6275 3 года назад
Oh this message is so powerfully God bless you mama.
@dominicmwendwa6999
@dominicmwendwa6999 Год назад
Wow
@Freench20204
@Freench20204 6 месяцев назад
❤mimi ni 🇧🇮leo umenifunza prophète nakupenda sana ubalikiwe sana
@RichMotherr
@RichMotherr 3 года назад
I love pastor Rose 🌹 🍒🍒🍒🍒🍒
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 3 года назад
Mtumishi wa Mungu akiwa ameenda shule anakuwa na weredi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Lakin bado ndoa Tanzania shida saana
@williammasatu1488
@williammasatu1488 3 года назад
Hao watu unaongea nao kweli wote wanajua Kiingereza kwanini usitumie kiswahiki tu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
@@williammasatu1488 tunakitaka sisi huku ambao tuko nje Marafiki zetu wapokee ujumbe pia,Usihofu ndugu yuko sahihi kabisa
@merryangle9842
@merryangle9842 3 года назад
Asant dada yangu mpendwa nimekupenda bure na nimekuelewa sana
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
@@merryangle9842 nawe barikiwa Ujumbe ni kwa watu wote
@MalakiShauri
@MalakiShauri Год назад
Ilove yu proster rose is good woman ilove
@josephanyaki8478
@josephanyaki8478 3 года назад
Pastor Rose unanibariki sana
@gambonmgaya1286
@gambonmgaya1286 2 года назад
Acheni kuchochea Zinaa, Wambieni watu waache zambi wampokee Yesu waende mbinguni sio vinginevyo.
@ANGELBYAMUNGU
@ANGELBYAMUNGU Месяц назад
Nenda kamuone doctor unatatizo la afya ya akili
@DeborahTemba
@DeborahTemba 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana
@NestorMAKI
@NestorMAKI 3 месяца назад
Merci pour cet enseignement
@Mariejo123-g2x
@Mariejo123-g2x 2 года назад
Mungu hajari nini ulifanya, ukitubu na kufuata njia zake anakubariki sana
@deborahmbondo
@deborahmbondo 6 месяцев назад
Be blessed my lovely mommy
@Kidotii
@Kidotii 3 года назад
Rose you are anointed woman of God!
@NgengakuriyoTrinitas
@NgengakuriyoTrinitas Год назад
Hiyo nikweli kabisa
@mlagz8032
@mlagz8032 5 месяцев назад
I wish i met you earlier Asante mchungaji
@jimmykampate78
@jimmykampate78 3 года назад
Ubarikiwe mchungaji nakupata vizur
@tabithajeremiah2657
@tabithajeremiah2657 3 года назад
Tusisahau kuwa baadhi ya mavazi hayampi Mungu utukufu mf bikini ni vazi lililo asisiwa kuzimu na linavaliwa sana na madada poa na kuna baadhi ya staili za mapenzi ni dhambi mbele za Munguanawake tusipokuwa na macho ya rohoni tutajikita kupendezesha waume zetu ili tusiachike badala ya kumpendeza Mungu.waume wataingia mbinguni na sisi tutaishia jehanamu.Mungu atusaidie sana
@emmanueljengo8103
@emmanueljengo8103 3 года назад
Inategemea unalivalia wp na kwa nani kama mtumixh alivyocma
@makrinanyoni6859
@makrinanyoni6859 3 года назад
Usijidharirishe kisa kuachika
@jeremiahmariki9340
@jeremiahmariki9340 2 года назад
Siyo kweli, mwanamke anatakiwa kumvutia mumewe, sasa wewe unasema bikini ni za kuzimu, ulishafika huko kuzimu ukaona mavazi yao??????
@dativajoachimwai1194
@dativajoachimwai1194 2 года назад
kama ulimpata mumewako kwa kumshawishi kwa vitu fulani itabidi undelete na vishawishi . ila kama mume alikupenda kweli,akakuchagua ulivyo,kinacho hitajika ni nidhamu ya kawaida nakujifunza kumheshimu mume wako siku zote bila kumzoea na kutenda mema na kumvumilia udhaifu wake pamoja na kuomba. nimeolewa miaka 12 sasa nina watoto 3. hiyo bikini siijui wala wala hizo style za kutisha. napendwa sana kila siku naona upendo unaongezeka kwangu na kwa watoto pia. sikuwahi kufundishwa mafundisho ya ndoa hata siku moja. niliingia kwenye ndoa nikiwa sijui chochote zaodi ya Maldini mema niliyolelewa na wazazi pamoja na neno la Mungu nililo jua kwa kiasi. napendwa sijawahi kukimbizana na mambo mengi. kwa mawazo yangu nivizuri kumjua mume wako ni mtu wa ainagani,anapenda nini then fanya yanayo stahili. kuna alie olewa akiwa amejichubua alivyo olewa akaacha.akawa mweusi mume akachepuka. alivyo rudia kujichubua mume akamrudia. Heshima unyenyekevu,,usafi, na kujituma muhimu. pamoja na kumcha Mungu ndo 1st Mungu atusaidie wanawake.
@ramak.9587
@ramak.9587 Год назад
@@jeremiahmariki9340 uyu ni mlokole kweli. Yaani mme wako wa halali kumpa style zote afrahie mapenzi ni dhambi kwa Mungu! Kweli kutosoma vitabu vya dini ni mbaya. Alafu bikini ni vazi la kuzimu🤣😆😂. Uliona nani wa kuzimu kavaa bikini?
@icecream2684
@icecream2684 3 года назад
Rose mushi classmate morogoro secondary school Form 5 to six HGE She has this since then
@florachrist9602
@florachrist9602 3 года назад
Mmh mbon yey alisom ashira
@elizabethmlay2047
@elizabethmlay2047 3 года назад
@@florachrist9602 yes fom 1 to fom 4 alisoma ashira......vip nawewe mwana ashira??
@icecream2684
@icecream2684 3 года назад
@@florachrist9602 mh hapana advance tulikua nae necta yeye mbele mimi nyuma yake
@ikundamarealle9129
@ikundamarealle9129 2 года назад
Acheni kuleta private information za mtu public sio ustaarabu acha ajiseme mwenyewe Hata kama unamjua.binafsi sipendi
@motherteresa8469
@motherteresa8469 3 года назад
Dear mchungaji ongera Kwa mawaidha mazuri Kwa wadada,God bless you.
@faiyamulishidi9224
@faiyamulishidi9224 3 года назад
Ubarikiwe mumy nimebarikiwa sanaaa naafundisho ni kweli watu wanajidharau. Hakika mmi cio binti wa kawaidaa
@NgengakuriyoTrinitas
@NgengakuriyoTrinitas Год назад
Amen past ❤
@AaaAaa-pc3uq
@AaaAaa-pc3uq 3 года назад
asant dada umenigusa ubarikiwe🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ceciliakasula4367
@ceciliakasula4367 2 года назад
God bless you Woman of God, so blessed
@nzaiwavinya7984
@nzaiwavinya7984 2 года назад
Am so blessed today
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Год назад
Nimekupenda bure mungu azidi kukulinda
@lusulusu4921
@lusulusu4921 3 года назад
A powerful message God bless the Woman of God
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 года назад
Kweli Wanawake wengi wanajidhalilisha sana kinyume na maumbile Mungu aingilie kati tu asante somo zuri
@siahmunissi6333
@siahmunissi6333 3 года назад
Wao wafanye maamuzi ya kukataa na sio Mungu aingilie kati,iko wapi afya ya akili kama hawatajisimamia wenyewe.
@georginajohn8456
@georginajohn8456 3 года назад
@@siahmunissi6333 Biblia inasema kipindi cha Sodoma na Gomola Mungu aliuteketeza ulimwengu kwa Moto so Mungu Mwenyewe atajua awahukumu kwa jinsi gani dear
@gentrinemukosero-zk6wc
@gentrinemukosero-zk6wc Год назад
Amen.
@ummyghabbash2619
@ummyghabbash2619 3 года назад
Nimempenda huyu Dada jamani anajua nampa max zote
@MawoleJulius
@MawoleJulius 6 месяцев назад
Safi sana Dada yangu
@alexalexander3027
@alexalexander3027 2 года назад
Wamama wabarikiwe na Mungu
@priscajustine2183
@priscajustine2183 3 года назад
Amen nimependa ilo somo
@magesasilimba9169
@magesasilimba9169 3 года назад
Maneno mazuri mama
@marthajoseph6902
@marthajoseph6902 3 года назад
Safi sana Da nimeipenda kweli m'barikiwe sana
@Mariejo123-g2x
@Mariejo123-g2x 2 года назад
There some people can not be in my life, because we don’t have things in common.umesema ukweli kuhusu limitations. Ni vizuri to set a boundaries
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 3 года назад
This lady is very wise
@mbivumedia
@mbivumedia 2 года назад
Amazing!!
@gladnessanoldhiindyotanzan7983
@gladnessanoldhiindyotanzan7983 2 года назад
Umenibariki 🙏
@ellakaisi7488
@ellakaisi7488 3 года назад
Akili yangu silaha yangu 👌
@winifridakibona5936
@winifridakibona5936 3 года назад
Aisee this word is very powerful. 💃💃💃💃
@OnlyRuky
@OnlyRuky 3 года назад
Wawoo I wish nimsikie huyu dada kila week she made my day Walahi🥺🥺
@irenengowo7800
@irenengowo7800 3 года назад
Amen dada
@matildajackson1535
@matildajackson1535 3 года назад
Mtumishi maneno yako ni mazuri, ubarikiwe.
@Divine_Associates
@Divine_Associates 2 года назад
Amen.Powerful message for women to know where to stand and to move on on God promises.🙏
@saramtei4371
@saramtei4371 2 года назад
Kwakweli pastaaa🙏🙏🙏
@dullahally9008
@dullahally9008 Год назад
No matter who's going their that true
@audaceleroi1370
@audaceleroi1370 3 года назад
Nankumbuka ile kauli yake ya kutowa mzigo wa kutosha kitandani 💪💪💪
@naahjay7900
@naahjay7900 3 года назад
Nimejifunza kitu jaman 'a man will treat you as you allow him to treat you' dah ni kweli
@nelibaba
@nelibaba 3 года назад
Mambo mazuri...ntakuletea zawadi
@hamisdefestor9964
@hamisdefestor9964 2 года назад
Upo vizuri pastor.ila usihubiri sana magari Na biashara kubwa kubwa.usije ukaonekana na ww tapeli km hao matapeli Wengine.Fanya mahubiri ya kuponya roho Za waumini kwanza kabla ya kuwatamanisha Majumba na magari mazuri
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 7 месяцев назад
According to ur thinking capacity🚶
@siphanestarichad6275
@siphanestarichad6275 3 года назад
Nimeipenda hiyo nakufaje kizembe jamani wanawake tunaweza hakuna kufa mtu.
@esaumahundi5647
@esaumahundi5647 2 года назад
Mafundishi manyonge yesu anaweza yote yesu in zaidi ya hospitali
@aaaaaah290
@aaaaaah290 2 года назад
😅 TUKUTANE MBINGUNI KAKA 😁
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Год назад
Usiandike jina la YESU Kwa herufi ndogo.
@TabuMukambilwa
@TabuMukambilwa 6 месяцев назад
​@aaapaqaaaaah290
@binthawa2973
@binthawa2973 3 года назад
pastor rose nimekupend na umenifunza kit
@jescamoshi3821
@jescamoshi3821 2 года назад
🙏🙏🙏Amen Pastor nimebarikiwa mno
@furahasanga2534
@furahasanga2534 3 года назад
Bibilia anasema Usiyachochee mapenzi Kuna wanawake wakitoka Hapo ndoa zinaenda kuvunjika Akili ya kuambiwa Changanya Na yako. Kila ndoa inategemea mumeo Yukoje kila mtu ana tabia Yake.
@regnethmtemanyongo2237
@regnethmtemanyongo2237 3 года назад
Asante ni kweli
@trixiecyja2513
@trixiecyja2513 3 года назад
Well said..
@bellatrixblack4491
@bellatrixblack4491 3 года назад
Kweli kabisa
@amanimanase1591
@amanimanase1591 3 года назад
Hujakosea ndg kwann siku hizi dini zinachochoea mapenzi? Hizi ni laana tunatakiwa tuzikemee maana mapenzi hayana shule,shule ni ww na mumeo au ni ww na mkeo
@jumamohamedi5044
@jumamohamedi5044 3 года назад
@@amanimanase1591 nikweli kwasababu huwezi kumuambia mwanume ni mende inamaana hata baba yake ni mende hiyo si akili ya mungu nishetani huyu anawapotosha wenzie ndio maana wamama wenye hekima wamejaa kimya
@DevothaEgnatius
@DevothaEgnatius 2 месяца назад
Wᴇᴍᴡᴀɴᴀᴍᴋᴇ ɴᴀᴋᴜᴘᴇɴᴅᴀ Sᴀɴᴀ ɴᴀᴛᴀᴍᴀɴ ᴋᴜᴡᴀ ᴍᴡᴀɴᴀᴍᴋᴇ ᴡᴀ ɴɢᴜᴠᴜ ɪʟɪ ɴɪᴋɪᴊᴀ ᴋᴜᴏʟᴇᴡᴀ ɴɪᴡᴇ ᴍғᴀɴᴏ ᴋᴡᴀ ᴡᴇɴɢɪɴᴇ ɴᴀ ᴡᴀᴛᴏᴛᴏ ᴡᴀғᴜʀᴀʜ ᴋᴜᴡᴀ ɴᴀ ᴍᴀᴍᴀ ʙᴏʀᴀ ɴᴀ ᴍᴍᴇᴡᴀɴɢᴜ ᴀғᴜʀᴀʜᴋᴜᴇᴀ ɴᴀ ᴍᴋᴇ ᴍᴡᴇᴍᴀ ʟᴏᴠᴇ ʏᴏᴜ ᴘᴀsᴛᴏʀ rose❤❤❤❤❤
@betinabahati3431
@betinabahati3431 Год назад
Nime kupenda sana
@neemanswima1254
@neemanswima1254 3 года назад
Najuta kuchelewa kukufahamu mch.nakuelewa sana,ubarikiwa
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 3 года назад
Thanks mom
@matildajackson1535
@matildajackson1535 3 года назад
Kujitambua ni silaha kubwa Sana kwa mwanamke
@isackakyoo6446
@isackakyoo6446 2 года назад
Pat hongera VIWANGO NA UWIANO, kuna sehemu ya kuaply Elimu,Pesa na kuna sehemu ya kuaply Nguvu za Mungu, Pst Rose hongera
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 года назад
Ndo Tushafungaga Wengine Mom Nimelock Kabisaaaaa
@modestaulambale606
@modestaulambale606 Год назад
Amen
@vickysimon5459
@vickysimon5459 3 года назад
big up pastor umenikosha sana na msg yako ubarikiwe
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 8 месяцев назад
Ameeen.
@estermjenga682
@estermjenga682 3 года назад
Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 года назад
Mmm kusalitiwa inaumiza kuliko kuzaa dada weee acha tu
@KennedyNgusa
@KennedyNgusa 6 месяцев назад
Safi dada
@alliyoigaly3646
@alliyoigaly3646 3 года назад
Mtumishi kwenye kifo unaongopea hao mwenye mamlka na kifo n mmoja tu mungu pkeeee bas
@nurukhalifa9413
@nurukhalifa9413 3 года назад
Mi mwenyewe sijamuelewa hawa wachungaj wa insta kaz tunayo
@annamtweve3193
@annamtweve3193 3 года назад
Nimeelewa
@adesankaandre9434
@adesankaandre9434 3 года назад
anawazungumzia wale wanaotaka kufa kwa ajili ya wanaume hahahahaa anaeleweka
@trumpetoflife7312
@trumpetoflife7312 3 года назад
Mwanaume ni wa thamani sana kwa asiye nae...ni rahisi kumsema vibaya ukiwa nae
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Hei anawambia wanaokata tamaaa na kuamua kujidhuru kwaajil ya wanaume....
@francinkhasoha3969
@francinkhasoha3969 3 месяца назад
Nilikua nimepoteza intrest kwa mapenzi na ndoa,let me give it a short then again
@ashuramustafa7459
@ashuramustafa7459 3 года назад
💪🏿💪🏿💪🏿mwanamke wa shoka
@rithamathias2944
@rithamathias2944 2 года назад
Lov u pastor Rose 😍
@reinfridamhagama802
@reinfridamhagama802 3 года назад
Amina..Ubarikiwe
@betinabahati3431
@betinabahati3431 Год назад
Nimekukubali
@modestaulambale606
@modestaulambale606 Год назад
Aminaaa
@lesusi7872
@lesusi7872 3 года назад
Mm nilisumbuliwa na mtu ambae hana hta ubalozi wa nyumba 10
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 года назад
Umeona Eeeeh Nguchiro Hawa Hawatubsbaishi
@julianambilinyi3341
@julianambilinyi3341 2 года назад
Huyu dada anahubiri dunia na mambo yake hamhubili Kristo usidangaye watu madaktari sio watumishi wa Mungu Alie juu .Labda mungu wako huyo unaemsema wa kisasa .
@lindamollel5206
@lindamollel5206 2 года назад
Kabisa na watu wanashangalia anatumia saikolojia ya uchungaji kuchota akili zao mabinti sababu hawajui neno la Kristo kwhy ukiwa vizuri kitandan ndo ndoa haivunjiki eti unapambania ndoa yko kitandan aangalie mke mwema wa mithali 31 kama ana hyo sifa.Mungu awafungue macho mabinti ni siku za mwisho hzi.
@ElishamMsikola
@ElishamMsikola 10 месяцев назад
Doh ila nyie huhuhu
@gloryqueen6296
@gloryqueen6296 3 года назад
Asante sana my
@SIKURICHAShop
@SIKURICHAShop 10 месяцев назад
Ameee 🙏🙏🙏
@josephmalema7782
@josephmalema7782 3 года назад
Nimekuelewa sana
Далее
PASTOR ROSE SHABOKA AKIZUNGUMZA NA WANAWAKE WA SHOKA
35:51
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37
MTOTO WA KIKE AU MTOTO WA KIUME? PR. DAVID MMBAGA
50:33