asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.
Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure
Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu
Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √
Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania
Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma
Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.
Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!
Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!
MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI
Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo
Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.
Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu
Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri
mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.
Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.
Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha
Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,
Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!
kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari
Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.
@@mussaabdiel9797 Hapana sio kwamba Makonda ndio mdhambii No! But uisikilize vizuri ile speech kuna mahali alithibitisha ukichunguza utagundua kwa nini Katibu Mkuu wa CCM aliamua kuomba msamaha kwa niaba ya. Makonda mimi ni shabiki wake no 1 na ninamfuatilia sana napenda huduma yake sana tu. Anasaidia sana wagonjwa hasa wale wa kipato chani kama mimi kwa mfano Pascal Cassian muimbaji wa Gospel. Makonda ni jiwe la kujikwaa watu wengi hawamuelewi but mimi nakwambua yupo hapo kwa kusudi la MUNGU. Kumbuka yeye si malaika bado anawezakosea tu na huo ndio unyenyekevu.
Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.
Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie
Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema
Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.
Kwenye misiba ya watu maarufu.watu maarufu waliozimika wanapata nafas yakukiki sasa kosa lake lipi hapo mh makonda?hila si vema asaivi mnamuandama sana cheo icho wanakitaka takecare kaka makonda uliokalbu nao ndo wabaya kwako
Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.
Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake
Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule
Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.
Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.
Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.