Тёмный
No video :(

Ruge Mutahaba: Kama Makonda Hakutaka Nije Hapa Kwanini TEF Mliniita? 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 260 тыс.
50% 1

SUBSCRIBE NOW: / uwazi1
Ruge Mutahaba; Kama Mkuu Hakutaka Nije Hpa Kwanini Mliniita?
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishe...
Muda mfupi baada ya Ruge Mutahaba, Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, kukutanishwa na Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na jukwaa la wahariri (Tef) kwa lengo la kusuluhishwa, Ruge ametoa msimamo wake ambao ndiyo msimamo wa Clouds Media.
Ruge alianza kwa kusisitiza kwamba yeye hajawahi kuwa na ugomvi binafsi na Makonda bali alichokuwa anakifanya, ilikuwa ni kusimamia haki ya chombo anachokiongoza, Clouds Media ambacho ndicho kilichokosewa na mkuu huyo wa mkoa.
Akasema kwa sababu ameombwa na mkuu wa nchi, mheshimiwa rais kulimaliza tatizo hilo, haoni sababu ya kuendelea kushikilia msimamo wa kutofanya kazi na mkuu huyo wa mkoa.
Katika mkutano huo uliohudhuriwa pia na waandishi wa habari na Makonda mwenyewe, mkuu huyo wa mkoa alikuwa mgumu kuomba radhi kwa kile alichokieleza kwamba hakukuwa na kosa alilolifanya.
“Baada ya jambo la leo msimamo wa CLOUDS MEDIA GROUP ni uleule tuliokua nao toka siku ya jumamosi baada ya kupatanishwa na Mh. Rais, siku ile alivyotupatanisha sisi kama Watanzania hatukua na budi zaidi ya kukubali na kurudi kwenye uhusiano wa kiuweledi.
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. .

Опубликовано:

 

8 авг 2017

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 315   
@nafisamohamad3182
@nafisamohamad3182 5 лет назад
Wangapi leo ndio mara yao ya kwanza kuona hii vdeo ya ruge baada ameshafariki, tujuane apa bc kwa kucomment R.I.P ili aendelee kupumzika kwa amani uko.alkoenda.
@salomejovini4587
@salomejovini4587 5 лет назад
Nafisa Mohamad apumzike kwa amani
@happykisite3990
@happykisite3990 2 года назад
Mie pia
@gracemsalila7735
@gracemsalila7735 2 года назад
Mimi jamani
@michaelpaschal7560
@michaelpaschal7560 7 лет назад
This Man is smart, Ruge deserves more than being a CLOUDS MEDIA PROGRAM DIRECTOR....Salute
@wemakalam3233
@wemakalam3233 5 лет назад
Maneno kuntu kiongozi mahiri rest in.peace ruge mutahaba genius with brain kifaa cha taifa kimepotea kazi yamungu haina makosa.
@daimavlog
@daimavlog 7 лет назад
Ruge juu jamani, akili zako siyo za nchi hii. Stay blessed.
@magrethissayah5365
@magrethissayah5365 7 лет назад
Awe mkuu wa mkoa ruge hadi watoto wadogo wauze unga
@happinesssechome2176
@happinesssechome2176 5 лет назад
Bless ruge
@kisakahagai8827
@kisakahagai8827 7 лет назад
hakuna mtanzania kama ruge busara zako mungu pekee anajua
@hajikulunge5778
@hajikulunge5778 7 лет назад
Safi sana ruge una busara sana na busara na hekima ndio msingi wa kila jambo
@elishakyamba8904
@elishakyamba8904 5 лет назад
mungu ailaze pema roho ya mpambanaji daaah! tutaikumbuka sana mema yako
@oman11oman59
@oman11oman59 5 лет назад
Makonda ameshikwa na aibu amekaa kama lowasa tutakumbuka sana kiongozi wetu pumzika kwa amani.mungu wetu wa mbinguni akulinde
@mathewbicco7841
@mathewbicco7841 7 лет назад
Very smart upstair. Ruge I salute you brother
@yousupjabri7304
@yousupjabri7304 5 лет назад
Hii interview imeniumiza sana...allah akusamehe pale ulipo wahi kumkosea kama binadam na akufanyie wepesi..
@alihujjat5945
@alihujjat5945 2 года назад
Ruge one of the most divine souls I've ever met in my life time humble shy honesty a true friend when it counts most authentic talents may God bestow rest your soul in peace tutakukumbuka daima brother
@greckikunya8831
@greckikunya8831 3 года назад
Namuamini sana Mungu analipa Duniani hata iweje! Mungu akupe raha ya milele Ruge sitakusahau mafundisho yako. Amen
@helencyprian8745
@helencyprian8745 3 месяца назад
Wakati wa Mungu ni sahihi sana, watu wanaviburi vya madaraka
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 5 лет назад
Yani UWAZI WAKO NA MISIMAMO YAKO NDIO INAKUPA HIGHER STANDARDS za UJASIRI And defines you WHO YOU ARE . R.I.P. brother RUGE Daaa eebanaa umenyooka hupindishi just because of somebody who is he or she 🙌🏾🙌🏾 Mungu akupokee peponi kaka Mtu mwenye msimamo Mtu mwenye kuamini asemacho 🙌🏾. RIP the genius
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 лет назад
Ruge ukimaliza hapa nyamaza chief... upo right track brother
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 7 лет назад
Ruge uko vizuri brother.. tuko nyuma yako cku zote kwasababu unasimamia ukweli.
@jessemhally55
@jessemhally55 5 лет назад
Very smart person...rip brother,you were the best..
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 7 лет назад
Hongera Ruge, una busara sana, mungu akuzidishie, mengine tumwachie mungu
@malilaclement539
@malilaclement539 5 лет назад
Bifu siyo kabisa aiseee kwnini kuishi na machuki siyo kabisa
@rakhimrahman6684
@rakhimrahman6684 2 года назад
This guy had sweet mind 4sho.. RIP ma home line❤️
@beatricehenry7101
@beatricehenry7101 5 лет назад
Mungu akulaze maali pema peponi
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 5 лет назад
Kweli vizuri havidumu, Ruge kweli ulikua na busara sana, unajua nini cha kuongea na wapi!? Sijui kwanini Mungu hua anachukua watu wazuri na wasio na maana yeyote wanabaki, RIP Ruge
@rosemarymlaki2270
@rosemarymlaki2270 5 лет назад
Sure
@aishamabiruhatar5932
@aishamabiruhatar5932 5 лет назад
Yani km angekuwa rais Tanzania ingekuwa mbali sanaa R.IP RUGE
@janengowi3011
@janengowi3011 5 лет назад
Ruge ulikuwa na busara na hekima sana pumzika kwa amani
@suzzannecleansitall2203
@suzzannecleansitall2203 5 лет назад
Ili wasije haribika
@markanthony5628
@markanthony5628 7 лет назад
Ruge for real unafaa kuwa kiongoz unazo busara mnooo Mungu akubariki bro!
@queenmama2033
@queenmama2033 3 года назад
Presdent indeed
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 5 лет назад
Smartest Creature, Professor, Genius Creature, Mastermind, Rest Easy Scorfield of Tanzania Entertainment Industy
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 7 лет назад
Ruge nafurahi kuona shule yako, hizo degree zinakusaidia. Kweli shule huleta maarifa. Simlaumu Makonda pia, historia ya shule yake inajihiridhisha hapa. Kwa vile umeisha mjua wee piga kazi kama Raisi alivyoomba, mara nyingi watu wenye mapungufu ya kielimu na wakapata madaraka lazima atataka kuonekana muhimu, wewe jishushe, piga kazi, only God can pay for your hardwork.
@delphinacharles1304
@delphinacharles1304 7 лет назад
I love Jesus thanks for ur point , Ruge kama anasoma comment za watu nahis atumie ya kwako kuifanyia kazi itamsaidia
@pendomarco7161
@pendomarco7161 5 лет назад
RIP kaka Ruge
@meddyyassin4741
@meddyyassin4741 2 года назад
Makonda is true definition ya madaraka ya kulevya,,,Ruge was so wise.
@jamilalauresy5312
@jamilalauresy5312 5 лет назад
Mungu ailaze roho ya marehemu ruge peponi ameni
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 7 лет назад
Daaah Ruge Ana akili sana huyu Jamaa,alafu anaongeaga point sana,yaani unamuelewa sana,ruge kweli kidumeeee,wewe Ndiyo ungekuwa mkuu wa mkoa bhana
@mamadona4221
@mamadona4221 5 лет назад
dah tumepoteza kichwa, tulie na nani jamani😭😭😭😭
@sephaniakajange3694
@sephaniakajange3694 7 лет назад
Mungu akuzidishie ruge unatumia sana busala
@micmoll4080
@micmoll4080 5 лет назад
Jamani si huyu angekuwa tu waziri wa mawasiliani...ai Mungu...such brilliant brain...RIP.
@shakiradnan9014
@shakiradnan9014 7 лет назад
sifa moja wapo ya mwana habari ni kuchambua mambo ni uweledi au kisomi Ruge wewe mfano wa mambo mengi sana hasa kwa Vijana wa Leo Hapa nyumbani na pili tuache ushabiki Makonda hana sifa ya kuitwa Kiongozi kwa mambo mengi saaana
@goodluckaugustino6981
@goodluckaugustino6981 7 лет назад
respect kwako kaka ruge nakueshimu kwa hekima zako
@mandadavid6691
@mandadavid6691 5 лет назад
the man is smartest... RIP boss
@aminaathumani9546
@aminaathumani9546 5 лет назад
Innallah Wainahillah Rajuuna. Poleni sana wa na family wote.
@omarhemedmohamed7938
@omarhemedmohamed7938 7 лет назад
ruge 1996 ndio anamaliza degree yake huko san diego Calirfonia merikani sasa huyu msukuma makonda sijui alikwua wapi.unalinganisha kichuguu na mlima kilimanjaro?
@TheGame-nz7um
@TheGame-nz7um 5 лет назад
Alikua darasa la 4😂😂😂😂😂
@neemaramadhani3783
@neemaramadhani3783 5 лет назад
😂😁😀😁😂
@damasnicodamas3209
@damasnicodamas3209 5 лет назад
omarhemed Mohamed
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 лет назад
Hahaha jamani
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@justineulimule6530
@justineulimule6530 3 года назад
Rest in peace Ruge Mutahaba.
@alphoncekagoshi941
@alphoncekagoshi941 5 лет назад
Ruge is smarter than everyone inside the room.
@suziejoe4187
@suziejoe4187 4 года назад
He was a very wise and humble man
@rehemamshiko6753
@rehemamshiko6753 Год назад
I miss you Ruge 😭😭😭
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 5 лет назад
Pumzka kwa aman xana boss Ruge, hakika ulkua mweny utash mkubw mno mungu alikujaalia. R.I.P
@valleythegreat4651
@valleythegreat4651 5 лет назад
Remain In Power Muhaya Mwenzangu
@user-fe5rc4sc7t
@user-fe5rc4sc7t 8 месяцев назад
I will remember your legend forever,R.I.P
@andrewombay5957
@andrewombay5957 7 лет назад
kiongozi wa aina ya makonda ndio maana zamani vijana walikuwa hawapewi nafac za uongozi cz ya kukosa hekima
@alexandrinadomaino1085
@alexandrinadomaino1085 7 лет назад
Andrew Ombay on point
@saltanal-amri3950
@saltanal-amri3950 5 лет назад
Huyu angekuwa Rais Tanzania tungekuwa mbali sana na maendeleo kwakweli R.i.p ruge
@johnngowi9221
@johnngowi9221 7 лет назад
Mimi naona nibora RUGE angekua ndio mkuu wa mkoa kuliko Huyo zero brein.
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 лет назад
John Ngowi bora yako siyawengine ndio ishakua hivyo usivyopenda ww anavyopenda mungu
@joashnyabange8830
@joashnyabange8830 7 лет назад
Acha upumbavu
@daimavlog
@daimavlog 7 лет назад
jeny yusuph Mungu gani unayemsema wewe? Au kwenu Magu ni mungu? Pyee
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 лет назад
Cymah Wandelt fikra mbovu magu anauwezo wakumzimamisha mtu? makonda kazimama kwauweza wamungu ingekua kwaweza wamtu asingekuwepo mpaka leo kwanavyomchukia
@daimavlog
@daimavlog 7 лет назад
jeny yusuph ndo maana nimesema mungu na hii ni Mara ya pili nasoma maandishi yako, mungu na Mungu ni vitu viwili tofauti. Mungu hayumo kwenye huo upuuzi. Kasimamishwa na Magu na hakuna Mungu alimsimamisha mzandiki. Mungu hayuko hivyo wewe. Kasome vitabu vya dini. miungu kama ulivyosema ndo imemsimamisha Makonda not Mungu. Ungejua fikra zako zilivyombovu hata husingethubutu kuandika uandikayo. Uwe na siku njema.
@tixboymusiciantz
@tixboymusiciantz 5 лет назад
Mpige kwa point speach tunanyanyaswa sana na hao watu wanaotumia uongoz vibaya uongozi sio nguvu bali ni busara
@erisonkadas8915
@erisonkadas8915 5 лет назад
Ndipo hapo sasa watu kuuona uthamani wake na mengi hujulikana sana baada ya mtu kutoeka ruge alikua na hekima tangu kuishi kwake wala hakuwahi kuwadharau viongozi wa idara yoyote aliyoyafanya yalionekana akiwa hai na hawakuyasifia wenye roho kuntu lakn Leo amefariki ndo yamevumbuka na kuekiti wameumia sana kwa kuziona kazi zake kuweni na utu wote waliofanya kinyume na mapenzi ya mungu wakumbuke jicho la mungu halifichwi lisione maovu rest in peace ruge shujaa uliesimamia haki yako na ulichokifanya kiwe fundisho kwetu sote ni huko tutarejea r.i.p boss
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 5 лет назад
Inauma sana
@mfalmegideon3987
@mfalmegideon3987 7 лет назад
Ruge Mutahaba Your Too Wise Brother
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 Год назад
2023 still watch hapo makonda na ruge makonda kapiga kelele ruge kaongea kwa fact yani kimtokacho mtu ndo alichonacho kichwan
@hopepius5590
@hopepius5590 7 лет назад
nakuelewa sana ruge
@idayagangs124
@idayagangs124 5 лет назад
Hatari sana
@miltonmugisha1805
@miltonmugisha1805 5 лет назад
Rugeee,,, tutakukumbuka sana mzee
@upendosanga3328
@upendosanga3328 7 лет назад
ruge i luv yuh u u u u so so so mwaaaaaaah
@modemapunda9665
@modemapunda9665 5 лет назад
Pumzika Kwa amani kaka ruge Mungu wetu alilaze roho yako pahalapema peponi amina
@thetreasure2230
@thetreasure2230 7 лет назад
One of the very few wisest men alive. Ruge Mutahaba. I salute you brother. JPM unamuona huyu kichwa lakini?
@hamisimusa8520
@hamisimusa8520 5 лет назад
Kiukweli jamaa alikuwa na busara sana mpole sana
@petermgosi2111
@petermgosi2111 7 лет назад
luge broo unaeducation ya maisha na uongoz bigup
@sophiaclemence6076
@sophiaclemence6076 7 лет назад
True
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 лет назад
Alionekana kama anaumwa flani hivi..sema yote mipango ya mungu..jamaa amegusa sana maisha ya watu..huo msiba hata watafuta kiki za misiba hawakuweza kuudandia ..wiki nzima anatrend Ruge ..
@aishamasudi4806
@aishamasudi4806 5 лет назад
Rest easy uncle genius
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
Daah ruge una busara na akili sanaa...siyo ilo poyoyo linaropoka tu huna sifa kabisa ya kuwa kiongozi MAKONDA
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 7 лет назад
Nassor Said kwako hanasifa kwaengine inazo
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
jeny yusuph we bwege kweli kwani umeambiwa account ya wote hii dats my personal opinion
@TeamKRX
@TeamKRX 5 лет назад
Mbavu zangu🤣makonda 💰🤯
@adelinakyakabanja6241
@adelinakyakabanja6241 5 лет назад
R,l,P .kaka ekima nabusara zilitawala sana akiliyako tunakukumbuka nasals tunakuombea rohoyako ilipo mpendwawetu
@huserehema8618
@huserehema8618 5 лет назад
R.I.P. tutakukumbuka. daim milele😭😭
@latifahsalum3479
@latifahsalum3479 5 лет назад
RIP Ruge tumeumia watanzania
@johnmarco4617
@johnmarco4617 7 лет назад
Shkamoo Ruge,Falsafa nzito,akili mingi na unakiri kukubali liishe kwa maagizo 😂😂😂😂😂
@kelvinshirima6139
@kelvinshirima6139 4 года назад
Du, rest in peace boss ruge
@BarakaWaya
@BarakaWaya 5 лет назад
RIP mtu muadilifu, msema kweli
@kairanmahmoud5234
@kairanmahmoud5234 5 лет назад
kila nafsi itaonja umauti ..mbele yako nyuma yetu ruge
@williamnchimbi4482
@williamnchimbi4482 7 лет назад
ruge unaakili nyingi sana hekima na busara
@merrymakuli7132
@merrymakuli7132 5 лет назад
wow nice Ruge
@happygodwine687
@happygodwine687 5 лет назад
Huyu jamaa anaakili sana afu ni mkweli ndio raha ya elimu iyo sio ilo Zero Brain Apo pemben
@said306nyatu9
@said306nyatu9 4 года назад
Zero brain. Uliovaa suti
@festontandu1747
@festontandu1747 7 лет назад
Ruge anajua kujieleza
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 5 лет назад
Ruge wewe ni jembe,mwili umekufa ila mawazo yako yataishi milele.
@leolaswai2762
@leolaswai2762 5 лет назад
this Guy was exceptional,believe that,whoever says otherwise its definitely a downplay of his capacity.may your soul rest in eternal peace.
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 года назад
Leo umelala bila kuombwa msamaha😭😭😭😭😭😭
@majidfundi8624
@majidfundi8624 7 лет назад
maneno ya busara sana mungu atasimama nawe
@reecardocompus9668
@reecardocompus9668 5 лет назад
tusiyumie digital platform vibaya elimu yako ya habari ndo inakufundisha hvyo? TCRA wanatakiwa kuwachulia hatua watu kam nyie unaandika title tofauti na unahokisema huo ufara dudadeki mtabarika lini kwann usiwe muwazi kwenye habari unayoitoa
@wilhelminastanley2221
@wilhelminastanley2221 7 лет назад
safi sana boss ruge we in kichwaaaaa
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 года назад
Kwa Mungu kuna kazi kubwa mno.. Awamu ya tano watu wengi walikufa Vifo vya ajabu Mno , ila Mungu akamnusuru Lissu .. Wote watakutana huko kwa Mungu
@shabanishabao4936
@shabanishabao4936 7 лет назад
😂😂😂😂😂😂et hakuna cha kuomba radhi jeuri sanaa makondaaa
@raphaeldamian9342
@raphaeldamian9342 7 лет назад
huyu jamaa ana upeo mkubwa cn wa kuchanganua mambo Dah namuona kaka mkubwa hapo pemben......
@halimamsangi6627
@halimamsangi6627 5 лет назад
R.I.p ruge
@mtagechota1002
@mtagechota1002 5 лет назад
Daah makonda nakuona kama funzaa wa chooni😭😭 shetani wew
@felixkilave9171
@felixkilave9171 6 лет назад
Kwa huu msimamo wa Ruge nimeuelewa sana uko njema sana Mzee baba Ruge Hakuna kutetemekea mtu kisa madaraka ya Dunia sisi sote ni udongo tuu
@graciousjerry1322
@graciousjerry1322 7 лет назад
Ruge baba una akili kubwaz sana! yaan wewe na mkeo mnajitambua sana
@mbondokambi8053
@mbondokambi8053 5 лет назад
R.I.P bro...,,,ulikuwa na upeo Mkubwa sana...
@radhiasalum833
@radhiasalum833 7 лет назад
yaishe tu jamani dunia mapito
@adnanramadhanjunuzage1629
@adnanramadhanjunuzage1629 7 лет назад
ruge una akir unaongea point,,,kwa maongezi ya makonda inadhiilisha waz kuwa hakuna kitu,,,yaan ziro bari ana tumia ubabe,,tumia akili kondo hizo sio ngum
@darlinmamawatatu6411
@darlinmamawatatu6411 5 лет назад
Ruge rest in peace
@mrsmo.1555
@mrsmo.1555 5 лет назад
Ruge alikuwa n.a. akili sana aiseee R.I.P😭
@TheGame-nz7um
@TheGame-nz7um 5 лет назад
Huyo kijana atapata tabu sana baada ya miaka 7 ijayo kama akiwa hai.
@nzeyyunus5990
@nzeyyunus5990 5 лет назад
Rip Scolfied!!
@nicken3250
@nicken3250 5 лет назад
Dahh...nakonect dotes tu..
@robertmitawasilaizer5224
@robertmitawasilaizer5224 7 лет назад
he's sittin there like a programmed robot
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 лет назад
Pumzika kwa amani
@giannajoji7944
@giannajoji7944 5 лет назад
Ruge weeeee,Ruge weeeee,Ruge weeeee,nakuita japo hunisikii umetuumiza baba,kazi ya Mungu haina makosa!!acha tu upumzike tu baba tutaonana baadaye!
@masaimara3750
@masaimara3750 7 лет назад
Thumbs up #Ruge
@favourkind3746
@favourkind3746 5 лет назад
Aseee ruge sio mnafki kabisa. Embu angalieni macho ya makonda
@dainesszuberyguii6040
@dainesszuberyguii6040 7 лет назад
Sasa Ruge na Mheshimiwa Makonda aliye mkosea mwenzio siaombe msamaha tuuu Daaa ila Ruge unabusara sanaaa uongeaji wako tuuu huwa nakufuatilia sanaaa mungu akutie nguvu katika matatizo yako na ningekushauri kitu kimoja mshukuru mungu kwa kilichotokea na usamehe kwa roho moja
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 лет назад
ukitaka kufahamu uwezo wa akili ya mtu mpatie muda aongeee... Ruge wewe unaingea binafsi nakusikiza nakuelewa ... very proffessional indeed
@anithalobina4986
@anithalobina4986 7 лет назад
hata mimi namwelewa sana huyu jamaa
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 5 лет назад
Mbona anaonekana kama mtu fulani mpole na mkarimu??????
@abdallahmtale4060
@abdallahmtale4060 2 года назад
Ruge was so Strong.
@nassorbinfundi1196
@nassorbinfundi1196 2 года назад
Kumbe makonda na kibri yake yote ndio leo nimegundua kuna mabwana alikuwa anawaifia sana kawamdigo anapoke nukta zamana sana kweli bwa mdogo makonga ameonyesha nidham
@mwalyanga_94
@mwalyanga_94 7 лет назад
genius ruge
@witnesschezue6794
@witnesschezue6794 5 лет назад
Ulikuwa na upeo wa kipekee rest in peace kaka angu
@manfesto6799
@manfesto6799 Месяц назад
Makonda hakuwa na makosa sema wahuni wa nchii hii wananguvu sana
@mwaijaramadhani6662
@mwaijaramadhani6662 7 лет назад
Jmni dah mwisho wa siku nape ndo keshaonekana mkuda duh maisha haya jmni
Далее
CHURCHILL SHOW S1E5 PART 3-3
10:24
Просмотров 242 тыс.
TOKA KWA RUGE MUTAHABA
24:18
Просмотров 147 тыс.