Utaisikia mijitu mijinga itaanza kumtusi mtumishi wa Mungu anaeongea ukweli hasa kakundi ka watu wachache wanaonufaika na mfumo huu wa kikoloni.Mungu akubariki mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri.
Ahsante mtumishi wa Mungu. Yafaa watanzania wafikie uelewa wa uharisia unaooneshwa na watu kama hawa! Viongozi wa CCM wapo tu kulinda maslahi yao binafsi hawajiuliza ni kwa nini viongozi karibu wote wa kidini hawakubaliani na ccm inavyoendesha nchi hii. Kilio cha watanzania na maonyo ya viongozi hawa wa kidini muda si mrefu vitaiweka ccm pabaya.
Kinana ni msaliti tu, anajilikana tangu enzi za Nyerere. CCM wanamjua fika, na ndio wamemfuga na kufukia maovu yake. Atuambie kesi ya pembe za ndovu iliishia wapi?
Watumishi wa Mungu hii ndiyo kazi yenu Umesema vema baba Songa mbele Ila wachungaji wa 4G wachumia tumbo hawatathubitu kueleza ukweli kama wewe na Mbarikiwa huku wakijidhani wanafundisha ukweli tusiouona ila ukweli tunaouona hawasemi Hovyoo Songa mbele baba Mungu akupe hiyo haja ya moyo wako🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mchungaji ninyi ndio mutaivusha inchi hii Kwa mawazo yenu ila Mimi naamini bila kuiweka ccm pembeni matatizo ni Yale Yale maana wamekataa kubadilisha hiyo katiba ya mwaka 1977 hawana lolote
YESU alipambana/ akafundisha umma dhidi ya maovu ya Pilato na serikali yake (makuhani). Mojawapo katika maovu aliyopigia kelele: rushwa, kukosa haki katika umma nk. Mchungaji naamini kilichomtokea wakifahamu. Serikali ya Pilato na mamluki (wachawa) wakamzoa na kumtundika msalabani! Sasa nawe na wanaharakati wenzenu mjiandae!
Ubarikiwe sana mchungaji Hakika CCM wengi wako hivyo siyo kinana tu wanapotosha ukweli wakilindana na kulinda maslahi yao kuliko kusimama na ukweli na wananchi wamesahau kuwa watanzania wa sasa siyo wa enzi za mwalimu Nyerere wamesahau kuwa lissu anayoiongea ndo hoja za watanzania wengi kwa ujumla wao lissu ni mwakilishi wetu
Maneno mazito Sana sana inauma Sana mungu akubariki mtumishi inchi hii wapo watu mungu watu kama huyo mzee kinana toka mwalimu yupo tu alisimamishwa na magufuri kaludi nikajuwa atakuwa na huruma na wanainchi wapi mungu tusaidie
Tunakushuru sana mtu wa Mungu, watanzania wengi wana uelewa mdogo sana juuu ya umuhimu wa kufanya mabadiliko ya kweli kwasababu wamekazwa ujinga mwingi na ccm kwa muda mrefu
TANZANIA TUNAHITAJI KUPATA WATU WENYE AKILI TIMAMU NA WENYE AIBU NA MATAIFA YASIYO NA UTAJIRI KAMA WA TANZANIA LEO, LEO WANA KWENDA KUKOPA HUKO, HUONI KAMA AKILI HAZIPO? TANZANIA TANZANIA TOKA ULIPO FUNGIWA DUNIA IJE IKOPE TANZANIA.
Mchungaji huyu anaweza kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu nchi yetu, Pale tu ambapo ataachwa aitoe na Wapo wengi san, sio Wachungaji tu, hata Mashehekh wapo wa aina hii.
Huyu Kinana angetueleza kuhusu ufisadi wake wa makotena. Anaongea uongo ili azidi kuendelea kuwatumikisha watanganyika. CCM karibu wote ni mafisadi. Kinana hata uwa simueli aliibuka kutoka . Kikwete na Kinana wote ni ndumila kuwili. Sasa ndiyo anazidi kuongea uongo. Yeye Kinana anadhani watanganyika ni wale wale wa 19....ajajua hawa anao gea nao 20... wajiahaibisha sana badala ya kuondoka siasa kwa heshima. Acha kuharibu Tanganyika nenda kule ulikokuwa nani amekutfuta tena kuleta ufisadi na uongo na wizi wa CCM.
NATAMANI SANA KUKUFAHAMU JINA LAKO MCHUNGAJI WEWE, KANISA LAKO LIKO WAPI? WACHUNGAJI KAMA WEWE NI WAKUTAFUTA SANA TENA SANA NA USIWAPATE KABISA!!!! NINAPOKUSIKILIZA MOYO WANGU UNARUKA RUKA KWA FURAHA YA KUKUSIKILIZA UNAVYO ONGEA KWELI YA MUNGU!!! NATAMANI NIWE KARIBU NA WEWE ILI NIKUSHIKE MKONO WAKO WA KULIA KWA MKONO WANGU WA KULIA NIKUTIKISE TIKISE IKIWA NI KUKUSHUKURU KWANGU KWA MANENO YAKO YA UZIMA WA MILELE!!! WAJINGA NI WENGI SANA KWENYE ENEO LA SIASA KWA KUFIKIRI SIASA NI PA KUONGOPEA WATU KUMBE LA HASHA!! ENEO LA SIASA NI ENEO BORA SANA NA PANA SANA KWA KUMTUMIKIA MUNGU WA MBINGUNI!!! ILIVYO BAHATI MBAYA SANA WENGI WANADHANI SIASA NI ENEO LA KUTENDA MAOVU LOOH NI AJABU SANA!!!
Viongozi wa dini watetea haki wanazidi kuongezeka hii inaleta muono wa mbali wa mabadiliko ya nchi yetu ,,,ccm ni lazima ifunge virago kwa uongozi mbovu