Uyo chalii ni noma..! sema ushaur kidogo ni kwamba ukimaliza interview bac ruhusu watoe mawasiliano yao ili kuongeza kipato chao kwa mfano mm nipo makonde Uyo chalii huyo africana nampataje?? Ili ni join nae saloon kwake paris home saloon???
Dah Chalii yangu Smart Marahaa Saloon nishakupitia hapo nikanyoa Nywele na Ndevu siku nyingine,..!! Nyie machalii wengine ukitaka kupendeza hiyo ni Africana Mbezi Beach Kituo cha Kwenda Mjini unasuka kidogo tu umefika hapo, Mie mteja ambaye hakutarajia kama naweza kunyoa hapo nje yaani, ila kutafuta ni kusaidiana hauwezi fanikiwa peke yako. Jioni nampitia anipe namba yake niwawekee hapa by saa11 mtaipata.