Ivi kwani kupostiwa ndo kupendwa et? Me nahisi kupostiwa mitandaoni ni ishara ya kua hupendwi na pia unazalilishwa na ukiwa hujiheshim ndo unapostiwa kwenye mitandao ya kijamii. Mwanamke anaejiheshim na kujua thaman ya upendo bas hatokubal na kurizika kupostiwa