Alikua Ashamsamehe hio kutamka shahada ukiondoka duniani ni kheir kubwa mno maana Allah Ashasema Mwisho mwema ni kwa wale wamchao Allah Subhanahu wa ta ala kheir ambazo mja ametenda, ajuae ni Allah pekee
Shekhe ana maanisha hakua mtu anaye swali sio mtu wa madrassa ispokua alikua na jina la kiislamu na alikuwa na imani juu ya uislamu hivyo imemfanya kua na mwisho mwema.
Allah Atujaalie Mwisho mwema, Atusamehe pale tulipoteleza hasa kuingia ktk shirki tutafutapo suluhu za shida na matakwa yetu, Hakika nikutapatapa kibiinadamu tu
Yaan nashangaaga sehemu moja ikiwa tunafundishwa kuwa utakiwi kumuukum MTU kwa matendo yake VP wewe sheikh unasema alikua ana kher ata moja unajuaje hatima yake na mungu
HUYU SHEKHE HUYU BANA UOVU UNAKITHIRI UMMA UNANGAMIA USHOGA UNAZIDI KUJAA KILA KUKICHA BAADA UONGELEE MAJANGA HAYO WEE WAPIGANIA KISOMO ILI UPATE PESA HUU SASA NDO MSIBA
@@hawamashauri1218 hakuna kitu kama hicho,huyo Allah ni Mungu wenu Wala sio Mungu wetu,sisi tuna Mungu mmoja Tu ana Jina lipitalo Kila Jina na ni Jina la Yesu Kristo Tu...huyo Issa hata sio Yesu wetu wala usimfananishe...tatizo lenu nyie waislamu mnataka kutufanya kama vile Mungu wenu na wetu ni mmoja,haiwezekani tukawa na Mungu mmoja afu tutofautiane kiasi hiki,huyo wa kwenu aliyemtuma Muhammad kuja kupinga Ukristo uliokuwapo miaka karibia 600 kabla yeye hajazaliwa sio Mungu wa kweli na nyie sio chochote ila waabudu miungu ya mwezi na nyota pamoja na jiwe la Macca mnaliita Kaaba,Kila siku mnafanya ibada kuabudu uelekeo Hilo jiwe lilipo,pia mnashirikiana na majini na unvyozidi kuwa mwislamu ndipo unazidi zaidi kuwa mgumi,katili,mbagua watu,chuki,kujitoa mhanga na kuanza kuua wengine,na waislamu wengi wenye dini ni washirikina wa kutumia majini na Kila namna ya uganga wa kisomo.Sisi Yesu tunayemjua ni tofauti kabisa na huyo Issa wenu Wala huyo Issa sisi hatumtambui pamoja na Muhammad wenu
Na unakubali kuwa alilaaniwa maana amelaaniwa aangikwaye juu ya mti? Hivi una akili kweli kukubali kuwa Mungu wako alitandikwa viboko?? Mwenyezi Mungu akuongoze.
Nimtihani wallahi. Allah atuhidi aote. Maana mchawi hudhania yeye hatokufa, kumbe ni muda tu unamgojea ukifika nae huyooo... Allah amuongoze mchawi huyo arudi kwa mola wake na ATUBIE. AAAMIIIN
Sasa hapo umeongea nn ?make hicho kisomo hakijamsaidia umekuja umusomee asiuliwe na huyo mzee km ndugu zk na umesoma na kafa Yesu ni uzima na ni njia yakweli na uzima
Binti, hakuna kisomo kinazuia mauti, na hajasema amemsomea kuzuia mauti bali kuponya maradhi na kama umeskiliza vizuri kijana alipona, mauti hayazuiliki binti, ukifika muda kila nafsi itaonja mauti hata umtaje yesu kwa sauti zako zote.
Ila sheikh haimaanishi kila tiba ya kienyeji ni ushirikina na haimaanishi si kila tiba ya Sheikh ni halali. Maana kuna tiba za masheikh wengi zinakuwa za kishirikina.
@@choggysly3541 soma hapa zaburi 102:19-20 utaelewa nini maana ya kubatilisha roho ya mauti na yesu kristo anawafungua walio andikiwa kufa wasife kwa damu ya yesu ni damu ya ukombozi