Mtiga abdalah tunaomba urudi uwendelee na simulizi hizi,kuna mtu amekuja kwenye nafasi yako haiwezi kbs hana sauti ya simulizi na msisimko wa simulizi!kwaujumla wakurudishie nafasi yako maana unaiweza vyema 100%
Amen, imenikumbusha ya kwamba, mungu huchukizwa sana, wakati ambapo, binadamu hukosa, kutii neno lake, na kutenda jinsi ambavyo anataka, jameeni dhambi ni mbaya, na pia inamkasirisha mungu wetu
Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu wewe ni Mjumbe wa Mungu... umeileta Sauti ya Mungu kama ilivyo... mwenye sikio na asikie Roho wa Mungu anena na watu wake.....ni kweli ushoga sasa unapamba moto... Mungu atusaidie na kutuokoa na vizazi vyetu. BARIKIWA SANA MTU WA MUNGU.
MWENYEZI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI NINAKUOMBA UNIUPUSHE NA KIZAZ HIKI CHA LAANA JALIA FAMILY YANGU IWE YENYE KUKUJUA WEWE NA KUJIFUNZA NENO LAKO KTK MAISHA HAYA YA DUNIANI, AMEEEN👏👏👏👏👏👏👏
Ombea mataifa haya, wala usitake like, simama mbele za Mungu, Bwana Yesu ili akuokoe na atuokoe sisi kwa ujumla. Ombea mataifa yote, usitake like. Itakusaidia nini??
@@joycechaz2840 iko hivi: vyote uonavyo ktk sasa, vilishakuwepo tangu zama za zamani sana. Hakuna jipya. Kinachotakiwa ni kwamba, msilale usingizi wa kiroho. Soma1Wathesalonike5:6. Kisha umalizie kwa kusoma Yohana15: 7.
Wah mungu atuepushe mbali na moovu..shetani mbaya...Mshahara wa dhambi ni mauti..Ni vyema kutenda mema na kumwogopa/mcha mungu...mungu anapenda watoto wake bali afurahii maovu ni dhambi
Sina mengi sana..ila unafany kaz nzur sanaaa; 1.unatukumbusha mambo muhimu juu ya maish yetu na uhusiano wetu baina ya sisi na Mungu 2.umekuwa sasa ni kiunganishi unatufanya waisalam kwa wakristo kujiona ni sawa kulingana na ufanano na ushahidi huo wa maandiko 3.unajarbu kudhihirisha na kuonyesha uwepo wa Mungu kwa wale wasio mwamini...!
Kama habari hii imekugusa kama mm tushirikiane kusimamia amri za Mungu na tuishi maisha ya kumpendeza Mungu tangu sasa na hata milele, plz naomba like kama million moja endapo, kama unakubali ushauri wangu,, nawapenda wote, na ninawatakia amani.
@Regina Mbawi nikweli Dada yangu yeye ni mwazo na ni mwisho ,atukuzwe milele na milele , nakutakia baraka na kibali lolote unalotaka kulitenda, mtangulize Mungu nawe utafanikiwa zaidi na zaidi.
Utuhurumie ee mungu sisi Ni wenye zambi utuepushe na adhabu Kali Kama uliyo wapa sodoma na gomola utuepushe na mabaya ee bwana mungu wetu mungu akupe maisha marefu wew uliye jitolea kwa moyo wako kutoa simulizi hii mungu utarehem sis Ni Wana wako utuepushe na mabaya amen
Daaah 😭😭😭 ya Allah tunusuru vijana wetu sikuiz imekuwa fashion watu kutembea kwa jinsia moj wanawake wameona fashion kuingiliwa nyum ya maumbili dah 😭😭😭
Hii habari imenitoa machozi kwelikweli. Dahhh nimejikuta chozi yanidondoka, kuwahurumia walimwengu. Kweli Mungu wetu ana huruma ya ajabu. Sijawahi kuona huruma kama ya Mungu. Mungu aliwahurumia sana hawa watu lkn watu hawa kwa kiburi wakaendelea kufanya machukizo mbele za Bwana Mungu wetu. Hawakuwa na utii. Uwiiiii hadi nashindwa kuandika. Lkn ikafikia hatua Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi akakasirika. Ndugu mpendwa wangu, hasira ya Mungu haiwezi kufananishwa na kitu kingine cha aina yoyote. Nakuomba usiwahi kuomba hasira ya Mungu itokee. Mungu ni mwema jmn, Bwana ni mwema siku zote. Hadi sasa bado anasubiri tutubu dhambi zetu. Mungu Baba wa Mbinguni, tusamehe makosa yetu. Ameeeeen. Hivyo ndugu, na marafiki na wengine wote, tuogope dhambi. Ujue siku Bwana akikasirika ujue umekwisha.
Hakuna kipya chini ya jua, OMBI: :eeeh mwenyezi Mungu ulipaswa kuweka remote controller ili kwa wale watakao kwenda kinyume na mapezi yako basi na warudishwe ktk mstari, ila kwa sasa umetuachia Uhuru mno ndio maana tumegeuka mabaradhuri/hayawani. Huruma yako iwe juu yetu na kwa kizazi chetu maana janga hili ni kama mchwa utafunao fenicha taratiibu..🙏🙏
Subhanallah zama ndo hizi tulokua nazo sasahivi yarabi tunusuru wajawako tunusulie watotowetuh duh had I naogopa maana dunia sasahivi imejaaa kila aina ya ovu
Ni kweli lakini kwasasa hatuwez kuepuka dhambi ileile ndo ipo katika kizazi hiki Teena sfari hi ndo imeenea kwa kasi..chamsingi Ni kumwambini mwenyezi mungu na kutoshiriki dhambi hizo
Nimeona watu wengi mkiandika Mungu kwa herufi ndogo maana yake ni vimiungu ama kamungu . hata majina yetu yanaanza kwa herufi kubwa sembuse jina la Mungu mwenyezi na muumbaji wetu. Tafadhali tujifunze jambo hilo. Asnteni kwa story yenye kutukumbusha kumcha Mungu
@@lusekelomwinsasu318 atakuwa ni Mungu wa waislama ndugu Kama ilivokuwa Mungu baali ko Kuna Mungu wengi ila sisi wakristo tunamjua Mungu wetu na sifa zake hazifanani na za Mungu Allah muongo.
@@canibalgazaboy8325 Hamna mungu wa waislam wala wa wakristo mungu ni mmoja ni ndio Allah s.w. na ndio mungu wa kila kitu ulimwenguni na mbinguni na hana mshirika wala msaidizi wa aina yeyote.
Mungu ni mwenye huruma sana wangetubu huenda wangesamehewa hata sasa tunaitaji kutubu sana maana pia huku wapo wengi sana tunahitaji kutubu juu sahii ni nyakati za mwisho
@@pioneerchunga6347 acha izo Yesu sio MUNGU, bali amepewa mamlaka makubwa kuliko kiumbe chochote, anaweza hata kufufua naweza fanya lilote la kimungu,.
Hii sauti ni best sauti, eeebwana Mtiga wewe ni kiboko napenda The Story Book kwa sababu yako mzee, Nani yuko Hapa na mimi tunacheki story book 👇👇👇👇😍😍😍😍
Astaghfirullah shirki huwezi kuonesha ya Malaika na Mitume ya M/ Mungu.... istoshe ukaenda mbali zaidi ktk kukufuru kuigiza sauti ya M/Mungu.... M/mungu subhaanahuu wataala alimzungumzisha Nabii Musa... lkn kuna ikhtilafu kua hayakua haya maneno tunayoongea mm na ww.. anajua mwenyewe alioumba mbingu na ardhi ni aina gani ya maneno... so bora kwako kutoonesha picha wala sauti... sauti yako inatosha kusimulia... ( tusijepata ghadhab za M/mungu na ndio ikawa sababu ya kugharakishwa waliokuemo na wasiokuwemo
Mmmmmh inasikitisha na kutisha dunia imekaribia nyakat za mwisho Innah illah wa innah lillah rajuun ni msiba huu maana yote yaliosemw kweny kitabu kitukufu yanaonekana Mwaka utakuw mfupi kam mwezi tu Wanaume wengine wataolewa Watu watatembea hali ya kuwa wapo nusu uchi Tunachosubir tu ni jua kutoka maghalibi kwenda masharik na masigdajal kurud Tumuombe mungu mwixho mwema Ameen🙏🙏
Imagine Mungu alipanga kumhurumia mpaka mke wa Lutu alieratibu mpango wa kulawitiwa kwa malaika wa Bwana,lakini bnadamu tulvo wagumi sisi ona mke wa Lutu akarudia dhambi ya kutosikia sauti ya Bwana😭