Umetisha sana kazi zako ziko poa sana kinomanoma uko poa sana salute kwako nakukubali sana Kwa nyimbo zako Huwa siwazi kuhusu MB nikiwa nasikiliza Ngoma zako
Hakika Kila jambo lina Wakati wake kaka kisima piga kazi maana tuliowahi kukuona mwanzo kabisa kiukweli umepitia mengi ndugu unatembea na Njalu kwenye kampeni za CCM itilima daah ulikuwa na magumu mno