Mimi ni msanii wa nyimbo za asili nawaomba mashabiki na wapenzi wa tathnia hii ya mziki waisaport na kuisubcribe chanel yangu nawapenda sana fuatilia chanel hii kujua kazi zangu na ubunifu wangu .Love and peace for all fans...
Hakika majabala wewe ni star wa mziki huu hichi ni kipindi chako.. mm nipo DRC Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 lakini najisikia kama nipo SHINYANGA mzee wewe ni kiboko sana!!!❤❤❤❤ Karibu congo wanakubali wewe shoo zako....
Wewe ndiyo msanii uliejitambua na umejiandaa vizuri sana upande wote kwenye usanii mpaka nje ya kazi naomba ukae sana kwa baba yetu juma gasuka hata kama ufanikiwe vipi maana kama nikukufatilia nimeanza zaman toka kwa LIMBE Mpaka hapa kwa tindolano 😢 kama ni mateso wewe umeweza kuyavumilia sana na leo nipo PEMBA kikazi lakn kazi zako naziona zote