Nimerudi Tena kuangalia huu wimbo nikimaliza naangalia SHIKOME nikitoka hapo nasikilia BHAZUNIJE Kwa huyu mwamba kuacha kuskiliza nyimbo zake Bado hamjanishawishi GEMELAGA ULUJUGWISELA LEKANAGA NASHO ❤
Ayayayayayà kumbe sio mwamiñífúúú weweee!!!! mh mboña gude ñaye anàimbà vizuri tuuu semà darasani bana làzima apatíkàne ze súpa àmbaye kwa sasa ni nyanda majabhala
Me c msukuma ila ninabahat yakua na marafiki w kisukuma bac najiuta nakuelewa sana nyimbozako zote nazifwatilia vizuri kila wakat nasikiliza mpk wanahic me ni msukuma pia kuna mdada mmoja mnene wite msalimie sana kwenye uchezajiwake hana mambo meng nawakubali sana
Kaka kisima mm siomsukuma ila ww umesababisha nimejua kisukuma iposiku napenda sana kazi yako Unakaz kama nzuki bhuhabhi shiratu inani marizia bandi hyokazi❤❤❤
Leo nami naomba nikoment mara nying nimekuwa nikiaangaliaa TU video 📷 zako pasipo kukomenti,,Kwa kweli director wako anajua kushuti,jinsi unavovaa inaonnyeshaa uhalisia wa utamaduni,pia inatofautisha kati ya traditional songs na zingnee Big up kaka,am your fellow sukuma from shshiyu but now am at dar es salaam,nitahakikisha naview video zako zote Kila unapoachia,,,wabheja sana kisimaa❤❤❤❤
Kisima majabala mie mashabiki wako hajawahi tokea Msanii wa kunikosha kama kusima kila kipindi changu cha Hali ya kisiasa Kisima Umekuwa mfariji Wangu Hongera Sana.
Kuiga sio dhambi kikubwa maendeleo tupongezane panapofaa pia tukosoane panapo kasoro hayo ndiyo maisha ya amani na furaha namaliza kwa kusema shikamo industry ya asili (I LOVE YOU FOR ALL BEST)
Wasukuma tupewe nini huu nimda sahihi wa kuishika AFRICA 🌍 nzima na kufuta kabisa utawala uliowekwa na MAKHIRIKHIRI tuna majeshi ya kutosha team imekamilika BIG UP SANA KISIMA &MIGERA Much❤❤❤❤
Kisima lini masumbwe ndani ya mjengon unakiwashag San msanii wa kwanza kufikisha watazamaji 1m we kisima umepigaje achia mawe mapya wapigwe na vi2 vizito kuna wa2 hawajui kwamba we kwa sas king of asili
Saf sana tulikuwa tunaisubria kwa hamu sana hongera sana kaka unajua sana kaka pia director wako nampa 100% maana ujumbe wa nyimbo na video zipo sana na pia asili yetu inaonekana hongera kwa hilo
Ujawahi kufel mkuuu nilijua utauwaa tu maanaa tulisubili xanaa itoshe tu kusemaa hayupo,,I'm very more impressed with u man big up kazii iendelee tenaah🌷🌷🌷
Hongera sana Bwana Kaka, Sanaa yako itaishi enzi na enzi. Wasukuma umetuwakilisha kwamba sisi ni kabila kubwa Tanzania na Africa na tunaweza Fani ya Uimbaji.
Eti ndio unakuta ng'wana Sala naye anaropoka ili tu aichafue brand ya MTC, mwisho WA cku watazidi kuchafuka wao na MTC inazd kusonga mbele , hongera sana mwamba kwanza Jana mwakitoryo no 5 umetukosha kishenzi mfalme wa asili , ki ufupi Bado sana hata wanaokuwinda ni kama vile wanawindana wao tu king,
Ni mda wako kaka nmeaza kukufatilia tang kwenye wimbo wako wa ntemi ni ntemi uko vzur sana npo dar hapa watu wanakubar sana nyimbo zako au sku moja uje ata pale bunju utukusanye wasukuma ote
Kisima Nakuombea Kwa Mwenyezi Mungu Hii 2024 Iwe Ya Mafanikio Makubwa Sana Na Uzidi Kudondosha Ngoma Kali Kuliko Hata Hizi Kila Kukicha Ngoma Zako Zinazidi Kua Tamu Tu Dah! We Acha Tu Eee Mwenyezi Mungu Tusaidie