kazi ni kazi nyanda nolo bochingaaaaaa, Eshikolo oleopandekaa kumbukaga oko we ngaaaaaa, mleyolagolwaa makala nyanda mwandya kwi tongaaaaa, Amafumu galenamasalaaa gakandyaga tamu lyokotegaaaaaa, hongera sanaa kisimaa mziki mzuri vina na mizanii🇹🇿
Mwamba uko vizur kwenye ujumbe wa kuimba kaxa make ww nimwalimu wa maisha yangu katika nyimbo zako ukiacha kuimba me naniatasaidia unafundsha pia unafalij hata yule alie kata tamaa Sina chakukulipa atakulipa mungu kuwashusha chin maadui zako
Nimemaliza kuangalia asa ndio nicoment Ili KAZI ionekane kazi lazima uifanye kama KAZI kwelii na uipe heshima zote ili iheshimike na Kwa watu wengine Aliyeelewa ameelewa bravoo sniper Migera Bravo nyingi Sana Mtc Na kongole Kwa Sukuma song writer KISIMA you deserve the best 🔥🔥🔥🔥🔥video Ina hadhi ya nyota Tano kabisa🌟🌟🌟🌟🌟
mimi siwezi kumaliza masaa kumi na mbili sijaangalia video ya kisima na nipo katikati ya dar!! big up sana kisima na nikikumbuka ulikotoka duu tunakupeleka kwa mkuu wa skauti mayunga kwenye zoezi nasi tunakimbilia daladala ya baiskeli!! kila kitu ni kujituma tu
Jamaa anajuwa sana! Ujumbe umetulia sana. Kiufupi jamaa aliumiza kichwa kwenye kutunga hadi video yake👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. Niko India kimasomo jimbo la Punjabi hsipiti siku sijaucheza huu wimbo
Nipo nimetulia nikiendelea kunufaika na tungo tata ambazo kwako ni kukua kwa kipawa chako ! Hongera mwaka umeend poa , tungojee albamu mpya 2024 God bless you. Narudi zangu Uyumbu wilaya ya kaliua.
Kisima bhana mungu akubariki utufuraishe miaka mingi mi nakukubali kinoma yaaan nikisikia nyimbo yako nahisi furaha muda wote Asante kazi nzuri kaka yangu ogukaya ontuzu💙🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏🙏🤝🤝🤝🤝🧎🌹🍜
Sina neno uongeze chuma t nilijua tangu zamani kuwa kunasiku utatufikisha mbali wasukuma toka kwenye ngoma kama mbina,simiyu kisabho,hadika bigup sana🎉🎉🎉
Africans, gather here and lets enjoy 15mins long song. So good that you dont notice it. I love what you do, the energy and the choreography is just damn good. Blessings to you from Mozambique.
Mimi nmshabiki wa gude gude Ila Leo nmehamia kwa KISIMA *** kisima was a pure talent from god love this song from Rwanda**kisma god bless you forever 🎣🎿🛷🎮🎲♥️🀄🎣🛷🎿🎰🛷🎰🎰🎿🀄🎲🎲🎲😎⛸️⛸️♠️♠️🎽🎱🔮🎿🀄🎱♥️🎮🛷🀄🎣🎰🀄
kwa hapa ulipofikia wasukuma tumekubal kuwa your the greatest singer in sukuma land tribe sasa inatakiwa dunia ijue tutafutie kolabo moja kali na wasanii wa bongo fleva hafu iwe traditionally aiseee taifa litasimama kwa mda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwenye huu wimbo kisima umenikumbusha mbali sana kwenye kukusanya samadi za ng'ombe kuchoma viazi na mbute Dah Nina miaka sijaona mbute Jaman nimezimiss sana siku nikirudi nyumbani kwetu kijijini nikale mbute na nisisitize shikome kiendelee
Hii ndo shikome niliokuwa naisubria jaman da raha ilioje kisima mungu akurinde akuongoze vyema♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🤭♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Nyimbo bora ya kisukuma kwa 2024 pendwa kwa wasukuma na kwamakabila mengine wanaenjoy tuuuh japokua hawaelewii ila wanatikisa vichwa""" kwenye mtandao wa Tik tok ni hit song wacha tuendelee kufurahia fahali yetu ya kisukuma"'
Mimi nishabiki saaaana wa hizi nyimbo za asili bana unanikosha sana kisima mungu akupe maisha marefu,,, maana nyimbo za asili zimegeuka kuwa bibulia,,zinafundisha sana jamani pigeni kazi sisi tupo nyuma yenu kuwaunga mkono,, pia kazi na maombi,, ACHIA TENA SHILATU ,,,, Emmanueli, kusekwa, kutoka mwime ya ilindi kahama.
Hata hivyo kisima kisukuma chako ni kile Cha zamani kabsa ndo maana unaweza kukumbuka vitu vya muhimu sana kuwaimbia wasukuma asilia siyo tu kuimba imradi kufurahisha mashabiki wewe unaimba Kama unafundisha na unahisia ndani ya kitu unachoimba ndo maana watu wanapenda kazi zako za kufundisha watu
Jaman saiz tupo kwenye mavuno shelehe ni zakutosha vijijin jaman Kwa upande wangu Mimi hii ngoma ndio nitakayo tesa nayo kwenye sherehe sijajua wengine