Тёмный

kisomo cha kuangamiza majini na uchawi (yaasin mubiyn) 

AN-NAJM TV
Подписаться 30 тыс.
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Hiki ni kisomo cha kinga dhidi ya uchawi majini hasad,
utasikiliza kwa muda wa siku saba
biidhnillah Allah atakufanyia wepesi
#kisomochawiki
#kingauchawimajinihassad
#sheikhsharifyussuf

Опубликовано:

 

5 июл 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 825   
@FIRDAUSAWADH
@FIRDAUSAWADH 2 месяца назад
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
@fatmafarijalayusuph5338
@fatmafarijalayusuph5338 Год назад
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
@rehemafeysali4444
@rehemafeysali4444 Год назад
Amin inshallah kwa uwezo wake Allah
@aishamunga3056
@aishamunga3056 3 года назад
Eweee muumba wangu naomba ukaniponye maradhi niliyo nayo na ukanifungulie milango ya kheri. Aamin Aamin
@macho_autosound1accessorie126
Kwa Kupitia Dua hii Allah Atusaidie Ummat Muhammad Pamoja Na Ndugu zetu walio Tutangulia🙏
@AishaSauko-sn3wn
@AishaSauko-sn3wn 6 месяцев назад
😘
@gmwanaabc7492
@gmwanaabc7492 3 года назад
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
@iddyramadhani7202
@iddyramadhani7202 Год назад
9
@rukiaomary
@rukiaomary Год назад
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia RU-vid nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
@user-xn6hs1qk3y
@user-xn6hs1qk3y 2 месяца назад
Kwa hakika na mm leo nitalala inshallah Mungu yupo nami
@MariamSaid-kl1mi
@MariamSaid-kl1mi 11 месяцев назад
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@lucygasper5547
@lucygasper5547 3 года назад
Mashallah Molla anijalie nami niwe muislam ...
@habibujamali5746
@habibujamali5746 3 года назад
Amin!! Inshallah!!
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 3 года назад
Usichelewe mungu kesha kuchagua uwe muislamu
@esmahnguzo8448
@esmahnguzo8448 3 года назад
Karibu mpenz
@lucygasper5547
@lucygasper5547 3 года назад
Asanteee
@lucygasper5547
@lucygasper5547 3 года назад
Inshallah afanye wepes
@swahibuomari176
@swahibuomari176 3 года назад
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
@islamislife2556
@islamislife2556 Месяц назад
Amin yaraab
@seliidrashio6968
@seliidrashio6968 3 года назад
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
@idrisaali5618
@idrisaali5618 3 года назад
Allah awaweke mashehe wetu
@nasramiraji7716
@nasramiraji7716 Год назад
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
@ashaamina
@ashaamina 9 месяцев назад
Amina
@user-rn6rr8cw5v
@user-rn6rr8cw5v 7 месяцев назад
Allahumma ameen
@AminaIbrahim-mn9wg
@AminaIbrahim-mn9wg 6 месяцев назад
Amiin ❤
@user-gi5ut4fw4b
@user-gi5ut4fw4b 6 месяцев назад
@mariamsaid4167
@mariamsaid4167 4 месяца назад
Amiin
@emmygabriel2469
@emmygabriel2469 3 года назад
Inshaallah Mwenyezi Mungu naomba ukaniponye maradhi nilonayo na ukanifungulie milango ya kheri, Inshaallah
@salumali5298
@salumali5298 3 года назад
P⁰
@islamislife2556
@islamislife2556 Месяц назад
Amin yaraab
@hirman2k03
@hirman2k03 3 года назад
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
@musamgonda3910
@musamgonda3910 2 года назад
Aamin
@timamahmud942
@timamahmud942 2 года назад
@@musamgonda3910 she
@musamgonda3910
@musamgonda3910 2 года назад
@@timamahmud942 ?
@rahmaibrahim4794
@rahmaibrahim4794 2 года назад
Amiin
@hawaamohammed6687
@hawaamohammed6687 2 года назад
Amina
@MauaMbaraka
@MauaMbaraka 17 дней назад
Amina yarab naanza kisomo hiki nina amini nakwenda kupona nimeteseka mpka nakata tamaa basi leo naenda kupta upya wa mwili wangu amina alhamdulillah yarab❤
@annakasada1454
@annakasada1454 3 года назад
Kwa kupitia dua hii mungu aniepushie mabaya yote na aniepushie na husuda za walimwengu maisha ni mwangu
@abbyits1178
@abbyits1178 3 года назад
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
@sweetmeena5970
@sweetmeena5970 3 года назад
Mashallah
@zenaahmedi8857
@zenaahmedi8857 3 года назад
Mashaallah
@user-sv9mo5dt1t
@user-sv9mo5dt1t 23 дня назад
Mashallah shekhe sharif mungu akupe umri mrefu na siha kwa dua yako nzuri mashallah
@tabumussa6705
@tabumussa6705 3 года назад
Yarabi M/MUNGU tuepushe na husda za walimwengu kupitia dua hiii nakuomba ya allah mpatie shekhe uyu kila kilicho chema hapa duniani kesho aelah
@mwanajinacayemite2336
@mwanajinacayemite2336 3 года назад
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
@abdifatah9129
@abdifatah9129 3 года назад
Inshaallah
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
Amiin
@islamislife2556
@islamislife2556 Месяц назад
Amin yaraab
@annethmhina5731
@annethmhina5731 2 года назад
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
@MwanahawaRamadhan-sx5pe
@MwanahawaRamadhan-sx5pe 6 месяцев назад
Sacr@v😅😅😅😅
@rukiammangammanga1166
@rukiammangammanga1166 3 года назад
Mungu asaidiee yarabi❤️❤️❤️❤️❤️❤️😭😭😭
@Niyiturinda
@Niyiturinda 3 года назад
Allahuma amiini.....kwa kisumu hiki kinisaidie.....kwa maisha yangu...na kizazi changu...
@rehemafeysali4444
@rehemafeysali4444 Год назад
Amin inshallah kwa sote kipenz
@michatv239
@michatv239 3 года назад
Namuomba mungu anifanyie kila wepesi kopitia kisomo hiki changamoto zote mbaya ninazopitia mungu aniponye nakunibarik aaamin. Ubarkiwe Sheikh
@empress236
@empress236 24 дня назад
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
@khadijaahmed6411
@khadijaahmed6411 3 года назад
Asalam aleikum warhamtillahi wabarakat,shukran sheikh,inshallwa mungu akujaze kila la kheri,na Allah atukinge na wachawi na mahasid yarab..
@zynbtnzanya9870
@zynbtnzanya9870 Месяц назад
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
@wombozipashua63
@wombozipashua63 Год назад
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Год назад
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
@judymwangi9027
@judymwangi9027 4 года назад
Shukran sheikh Allah akupe umri Mrefu, duniani uzindi kulingania ummah.
@blemisheclat4969
@blemisheclat4969 3 года назад
Shukran Sana shekh walai nimeumwa na mkono miaka miwili nimefatilia duwa hii kwa siku mbili naendelea vzr Mola akulipe inshallah
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 года назад
Maa shaa Allah shukraan sana tuko pamoja in shaa Allah
@samirasadasalum5974
@samirasadasalum5974 2 года назад
Allah akulinde na akuzidishie elimu zaidi uzidi kutusaidia,Shukrani sana sheikh
@zakialean3864
@zakialean3864 3 года назад
Mashallah mwenyenzimungu akufanyie wepesi ktk mtihani ya dunia
@mgeniali941
@mgeniali941 3 года назад
Allah atufanyie wepes mashallah nimeianza leo na mm
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 года назад
Shekhe unatupa duwaa nzuri mungu akujaalie afya njema shekhe yussuf
@rizikihaji800
@rizikihaji800 2 года назад
Allah akupe kheri za dunia na Akhera na akuepushie kila mabalaa inshallah ,naamin Allah atanisaidia kupitia kisomo hiki inshallah
@thuwaidamaulid3915
@thuwaidamaulid3915 3 года назад
Maashaallah shekh Allah akufanyie wepesi Kila Jambo na akulinde na Shari zote🙏
@ashamohamed8248
@ashamohamed8248 3 года назад
A.alykum sheikh Masha allah mungu a tupe wepesi kwa kilajambo
@allynassor8853
@allynassor8853 2 года назад
Shekh nataka kujuwa duwa ya kusomea maji kwa ajili ya mtu anaesumbuliwa na shetan
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 года назад
Masha allahh najifunza kitu katika maisha yangu jazaq wahu kheir Allah atakulipa kwa jambo jema
@user-bh6rt7xm6w
@user-bh6rt7xm6w 7 месяцев назад
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
@salimajuma5530
@salimajuma5530 3 года назад
Jazakalahu heri Allah akupe pepo yadunia nakesho ahera ameeen
@user-xk1xw5qo5v
@user-xk1xw5qo5v Год назад
Inshallah sheh duana takhabballii ❤
@arafakiloli749
@arafakiloli749 3 года назад
Mashaallah shukran sana..Allah akuzidishie..kheri.
@hinakhan3562
@hinakhan3562 10 месяцев назад
I return again...sasa nataka uponyanji withini 7days...and I believe it.🙏
@user-by9uv6nf1o
@user-by9uv6nf1o 20 дней назад
Ya Allah nijalie mema na uniondolee kila kilichopo ndani ya mwili wangu kilichoingia kwa ubaya inshallah
@safiyaalrawahi7526
@safiyaalrawahi7526 3 года назад
Ahsante sana kwa kisomo chenye nguvu sana. Jazaka llahu khair
@asyaabas1037
@asyaabas1037 3 года назад
yarrab baraka zako na utukufu wako nijalie kisomo kiwe dawa kwang kiwe ndo kisomo cha kuniondolea mattz yot nilonayo na kiwe ufunguzi wa kheri kwang amin yarrab yaan nakiskiliz machozi yananitoka
@ahmedthabit6935
@ahmedthabit6935 3 года назад
tatizo pengine ni nini dadangu?
@khadijaidd9032
@khadijaidd9032 3 года назад
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
@delaizermsafi1442
@delaizermsafi1442 2 года назад
Yallabi kwadua hii niondolee khofu katika nyoyo yangu niwe yakuwa nawasiwas sn naomba uniondoree maradhi niliyokuwa nayo yalabi mimi simkamirifu nisamehe pale nilipokosea wewe ndio mjuzi wayote na mtekerezaj niwew amiin
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Год назад
Assalam alaykum mm nilikua zaid yko alhmdullah naskiliza nikiwa nipo tohara natulia kwenye msala alhmdullah nipo swa leo ya tatu.
@salmaally2252
@salmaally2252 5 месяцев назад
Hii shida hata mm naipitia
@adamluwambo1494
@adamluwambo1494 3 года назад
Kupitia kisomo hiki mungu anijalie aniepushe na wachaw na majin na anipe kheri na hitaji lamoyo wang yarabby
@bishakadhi3358
@bishakadhi3358 3 года назад
MashaAllah wal alhamdulilah kwa kisomo hiki Allah akujalie kla lenye kheir nawe InshaAllah👌👌👌💕❤💓💞
@muhammadsalim4485
@muhammadsalim4485 2 года назад
Allhamdullillahi Allah atuondoshe matatizo mi na family yangu nawaislam wote amiin
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 года назад
Ameena Yarrabi ' allameen Shukrran sheikh Yussuf Allah akupe kheri na barka na afya na umuri i'nsha Allah
@tabassamhemed1027
@tabassamhemed1027 3 года назад
Shukran sana usdhadh.Allah akulipe mazuri hapa duniani na akhera
@mamawa3mamawa321
@mamawa3mamawa321 3 года назад
AMIIN AMIIN
@amyna2024
@amyna2024 3 года назад
Yaa rabbi tuhifadhi na Kila baya la dunia kupitia dua hii...aaamiin
@habibujamali5746
@habibujamali5746 3 года назад
amin.. mungu akubariki inshallah!!!
@aminahamis9343
@aminahamis9343 4 года назад
Masha Allah jazaka Allahu kheyran sheikh wetu Allah ajalie umri
@saeedsaeed7381
@saeedsaeed7381 4 года назад
Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab
@zaniamohammed2258
@zaniamohammed2258 3 года назад
Mwenyezi mungu atakulipa shekhe inshaalhah
@mariammwachiroho4464
@mariammwachiroho4464 3 года назад
Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah
@mariammwachiroho4464
@mariammwachiroho4464 3 года назад
Shukran jazakillah khairan Sheikh sharif yusuf
@elmanonline9397
@elmanonline9397 2 года назад
@@mariammwachiroho4464 vVqq v
@user-nz7mh3rk3v
@user-nz7mh3rk3v 2 года назад
Mimi naitwa hija nimkenya naomba usaidizi
@husnadjuma2525
@husnadjuma2525 3 года назад
Manshaallah Tabarak'Rahman shukran jazzillah sheikh wetu kwa visomo mbal mbal Allah akujaze kheir na baraka?
@dareymcute5790
@dareymcute5790 3 года назад
Mashallah mashallh shukran kwa nguvu za mungu yatuondokee mana sisi wengine tunateseka na mungu akuzidishie imani ya moyo inshaallh from kenya
@habibadiombera7505
@habibadiombera7505 3 года назад
Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie
@nsabimanatonny6400
@nsabimanatonny6400 3 года назад
Assalam alaikum a
@bidallahamadi4076
@bidallahamadi4076 3 года назад
MashaAllah Allahuma Barik🤲🤲🤲 JazakaAllahu kheir
@zeinabjay4047
@zeinabjay4047 3 года назад
Shukran shekhe sharifu najihisi mwenywe Amani mwepesi kila ninapo fuata na kusikiza dua zako Mola akujaalie kwakila Jambo lako inshallah
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 3 года назад
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
@habibujamali5746
@habibujamali5746 3 года назад
amin.. inshallah!!
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 3 года назад
@@habibujamali5746 amiin ya Rabb
@user-sq8pq1xj7m
@user-sq8pq1xj7m 2 года назад
Laaila haila Mohammed rousolu Allah atuondoshee mitihan na awe kinga bora kwetu Ameeen ameeen inshaaAllah
@humudingilante4460
@humudingilante4460 3 года назад
Allah awaongoze duniani na akhera awakinge na shari ya mahasd wa kijini na kibinadam inshallaah.
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 года назад
asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@aminakassim409
@aminakassim409 3 года назад
Mashaallah allah akubarik..
@marinamooh4055
@marinamooh4055 3 года назад
MashaAllah,Shukran Jazeeran Sheikh🤲🏿
@bittybitty2712
@bittybitty2712 4 года назад
Masha Allah tabaraka Allah Allah akupe kila la kheri shukurani sheikh
@ashanjango9937
@ashanjango9937 3 года назад
Jazalallahu khairy. Inshaallah Rabby zidinan Elman Warzuquna fahama
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 3 года назад
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
@ubahhemed6184
@ubahhemed6184 3 года назад
Shukran, Allah azidi kukuongoza kwa mema zaidi🙏🙏
@mwanaishamwajuba2857
@mwanaishamwajuba2857 4 года назад
Mashallah mungu atuwezeshe kusiliza kila kheri na mungu akulinde na hasad
@ghaithtan4028
@ghaithtan4028 3 года назад
ماشاءالله
@mamakhadra7001
@mamakhadra7001 2 года назад
@@ghaithtan4028 zhu
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
Amiin
@DeffoNotGarfield
@DeffoNotGarfield 3 года назад
Shukran Shekh kwa msaada wako Allah akupe mema ya hapa duniani na Akhera.
@hawahawa6676
@hawahawa6676 3 года назад
Amiin
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Amina mungu atuonfosheye maradhi kwa sote ishaala🙏🙏🙏
@ktggtvgvtghadijaalifanichi1301
@ktggtvgvtghadijaalifanichi1301 3 года назад
MashaAllah Allah akuzidishie dua nizuri sana jaza yako iko kwa Allah
@zuenamsunga5980
@zuenamsunga5980 3 года назад
Jazakallah Allah akulipe
@hassanidaki6029
@hassanidaki6029 3 года назад
Naomba mahombi sheikh kwa majina ni Hassan idaki kutoka kenya
@saumujuma6172
@saumujuma6172 4 года назад
Shukrun san Allah akulipe mema duniyani wa fliy Aheraaa
@unkolli
@unkolli 3 года назад
Jazaka lah kheyr Sheikh , may Allah reward you . Truly Qur-an is the cure for everything as long as you have strong believe in Allah and follow the instructions of his messengers
@naimamohammed2534
@naimamohammed2534 3 года назад
Allh anitatulie dhiki nilizo nazo na hasad za waja amiiiin thumma amiiin
@nyihajjialiy2287
@nyihajjialiy2287 3 года назад
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
@karimasalahudeen334
@karimasalahudeen334 2 года назад
Assalam Aleiykum. Naomba unifahamishe MUBIIN ni nn mm ni nislimu mwaka jana
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 года назад
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua
@munirahemedi4340
@munirahemedi4340 2 года назад
Ukamilifu niwa mwenyeezi mungu
@ZuuhRaniya
@ZuuhRaniya 5 месяцев назад
Yah Allah nifanyie wepesi katika kisomo iki kiwe mwisho wa matatizo yangu niponye hii Hali nilikua nayo ewe mungu nisaidie
@reemyaswaleh833
@reemyaswaleh833 3 года назад
Aslm.alkm my brother shukran.ilayka allaaah. Ebarik.feeky sheik.sharif.yusuf
@aminamohamed6141
@aminamohamed6141 3 года назад
Shukrn Allah akujaze najaza mema inshaallah
@bintshariffmuhammad620
@bintshariffmuhammad620 3 года назад
ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎خیران
@laylahasshim827
@laylahasshim827 3 года назад
MashaAllah shukran shekhe🙏🙏🙏🙏🙏🙏Allah akulipeee inshaAllah
@radhyiawamburah2394
@radhyiawamburah2394 4 года назад
Ameen Yarrab,Shukran Sheikh Shariff.
@zubedatatu7852
@zubedatatu7852 3 года назад
Masha Allah... Allah bless you Maana umetusaidia Sna
@zubedatatu7852
@zubedatatu7852 3 года назад
Tukitaka kukuona ustadh yawezekana
@GloriaMillinga
@GloriaMillinga 3 дня назад
Mwenyezi Mungu naomba uniepushe na majini wote na uniondolee vifungo vya aina zote
@fatmayasin5861
@fatmayasin5861 2 года назад
Allahumma Baraka llahu fihy.. Jazzakallahu khair
@beera.g5302
@beera.g5302 3 года назад
Amn amn🤲 mashukura jazakaheri Mungu akubark Inshallah 🤲🙏
@jossekellapopp9404
@jossekellapopp9404 4 года назад
shukran Allah akujaalie umri mrefu
@ndayizeyehafsa3473
@ndayizeyehafsa3473 3 года назад
Mashallah na muomba allah akujaze heri inshallah
@tatuathmani883
@tatuathmani883 3 года назад
asante maishala nimesikiliza sikusaba leo nshaalla mungu anifungulie milngo yaheli
@salimriziki9939
@salimriziki9939 2 года назад
Shukran Sheikh mungu akujalie Kila la kheri
@esmahnguzo8448
@esmahnguzo8448 3 года назад
Kwa kupitia kisomo hiki yarrabi nakuomba nifanyie wepes inshaallah
@mwanashaame3043
@mwanashaame3043 3 года назад
Masha Allah
@mwanashaame3043
@mwanashaame3043 3 года назад
Allah akulinde namitihani mbalimbali amiinظؤبء
@ElizabethLizzy-pk3zj
@ElizabethLizzy-pk3zj Месяц назад
Allahumma Ameen 🤲
@abubakarkassim6369
@abubakarkassim6369 3 года назад
Mashallah Allah hafidh kulu amin
@ramilialiy3725
@ramilialiy3725 4 года назад
Subkhallakh subkhallakh yarrab yarrab mzidishie elim sheikh wetu ameen
@samihasan1883
@samihasan1883 3 года назад
Shukran shekh hallah akuzidishie kher
@hafidhimakele5489
@hafidhimakele5489 3 года назад
Jazacka Llahu lkhair
@anuwar6113
@anuwar6113 3 года назад
Jazakallah kherr S S yussuf
@thuwaibahafidhjuma5848
@thuwaibahafidhjuma5848 3 года назад
Mashallah .mola akulinde na husda akupe na uwezo ili uzidi kutuelimisha katika mambo mema
@ElizabethLizzy-pk3zj
@ElizabethLizzy-pk3zj Месяц назад
Ewe mwenye Mungu mponye bwanangu anamaumivu makala ya oparesheni 🤲nami uniondolee maumivu
@aliamar4422
@aliamar4422 4 года назад
Shukraan sn sheikh Sharif yussuf
@athumanibendawa4151
@athumanibendawa4151 3 года назад
Mashaallah mungu akuongoze shehk
@sheikhmussa4421
@sheikhmussa4421 2 года назад
Mungu mkubwa pia mwingi Wa huluma Atuhulumie Tupate Rehema Zake IIshallah
Далее
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 28 млн
The Trump rally shooting from a photographer's POV
00:58
skibidi toilet 76 (part 2)
04:28
Просмотров 14 млн
HIZI NI AYA 80 ZENYE KUKIDHI HAJA SOMA/SIKILIZA 21
17:40
Allahu ya Allahu ya Allahu .
53:56
Просмотров 287 тыс.
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 28 млн