Hiki ni kisomo cha kinga dhidi ya uchawi majini hasad, utasikiliza kwa muda wa siku saba biidhnillah Allah atakufanyia wepesi #kisomochawiki #kingauchawimajinihassad #sheikhsharifyussuf
Allah atuondoshee matatizo mawazo hassad majini na masheitwan atufungulie milango ya barka na mafanikio Soote jamii ummat mohd yaraaby mpe sheikh wetu umri mrefu azidi kutukomboa kwa visomo..Allah akulipe kher kwa barka yahiki kisomo
Mwenyezi mungu kupitia dua hii naomba uondoe husda zote mwilini mwangu na uwavunje moyo wote wanaonikusudia kwa ubaya na unilinde dhini ya nguvu za mashetwani na unipe heri katika maisha yangu unifanyie wepesi katika kazi zangu unipe watoto wema
Mashallah shekhe allah azidi kukuweka maana wengi umetukomboa kwenye matatizo mazito sana mimi nilikua silali kabisa sio mchana wala usiku ndani ya miezi sita au saba nahangaika tu baada ya kusikiliza hiki kisomo alhamdullah kirakitu kikakaa sawa nalala kama kawaida allah azid kukuweka shekhe wentu amiina rambi amina
Mie kuna siku nilikuwa nakabwa na ata anaenikab simuoni ila kwa uwez wa Allah akanipa ufahamu wakuingia RU-vid nikakuta kitson iko nikasikiliz bas uwez amin kunakit kilikuwa kinanivuka milini mwan adi nikaa saw na sijaacha kusikiliz dua za uyo shekhe mungu ape ujila wake
Yallab nikubalie dua yng km kuna mkono wa mtu katika ndoa yng kukataliwa kwa wanangu kupitia kisomo hiki mwenyezimungu kanifungulie kila palipofungwa 😭😭🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ya Allah kwa kupitia kisomo hiki naomba unijaalie nikisikilize cku zte7 ili unifungulie milango ya heri na uniondoshee ziki katika familia yangu na umati Muhammad na unijaalie mm na familia yangu tuwe miongoni mwa wenye kufuata muongozo wa laa ilaa hailakahu;
Wasalamalykum twawapongeza masheikh wote mutatusaudia sana mana ubaya upo sana hapa duniani nahata uko wazi ambae hajafaninyiwa uhadui ashukuru mwenyezi."
Ya Allah kupitia kisomo hiki niondoshee matatizo na unafungulie kizazi changu unipe watoto wenye kher na mimi, yarabbi najua hushindwi na lolote niepushie dhati zote na unipe kila lenye kher na mimi
Bismillah mashallah nitasikiliza dua hii kwa uwezo wa m.mungu na malaika wote aniondoshe majin na maradhi makubwa na hasada mim na family yangu na wengine wote inshallah 🙏👐😍
A.aleykum....Namshukuru Allah kwa Dua hii kupitia Sheikh Shar Yusuf nasema asante kwani nimeteseka sana na ndoto za kuzaa kila baada ya muda zinanirudia,Mara Niko sehem za bahari, nakuwa MTU wa hasira Mara kwa Mara ugomvi kwangu hauishi muda mwingine kuhish nyakat za usiku kuingiliwa,,,,Namshukur Allah toka nimesikiliza Dua hii sijapata tena na Hata zile hali za maumivu maumiv ya mwili hakuna tena Shukran sana Shekhe Allah akuzidishie kheri ikadumu zaidi na zaidi.... Kupitia kisomo cha kinga zidi ya majini na wachawi nimepata kheri...Mwenyezi Mungu akupe mwisho mwema!!!! ISHA ALLAH ^( Habibt'y Said)~from Rwanda Kigali
Alhamdulillahi rabbil a'alamina. Mwenyezi Mungu akusimamie Innshaallwah. Wengi tuna matatizo makubwa sana lakini hatujui jinsi ya kujikwamua. Mwenyezi Mungu ukujaalie kwa kila ulitakalo lenye kheri na wewe
Mwenyezi Mungu naomba unifungulie vifungo na husda zote nilizowekewa katika Ndoa yangu na shughuli zangu kwa ujumla. Malaika wa Mbingu naomba mnisimamienkatika kisomo hiki. Ameen
Assalam Alaikum Namwamba ALLAH kupitia dua hii iniondelee majini mashetwani wote ambao wamwsukumwa kstika maisha yangu wadudu kutambaa kwa mwili kuuumwa kwa kichwa Yaa Allah kupitia dua ikaondoe kila baya kwa maisha yangu wanangu jamii yangu inshaallah Mwenyezi mungu akufanyie wepesi kws kila jambo waitaji Sheikh sharif🤲🤲🤲🤲 Amiin
Mwenyez Mungu kupitia kisomo hiki niondoshee shida zote zinazonisumbua zinazoniumiza nafs yangu ukanifungue kila kilichobak fungwa ktk maisha yangu amin
Alhamdulilah Allah akulipe kila la kheri shekhe kisomo leo siku ya pili lakini majini wanatoka wenyewe, namshuku sana Allah kwani Quran ndio ponyo ya kweli. Amiin
Quran ni ponyo la majanga yote ya dunia maana mm nimemfutilia uyu shekhe allah amzidishie maana nilikua niko kma sipo wasiwasi ulinitawala sna nimeskiliza kisomo chake alhmdullah.
Yarab kupitia Dua hii niondoshea hasad zote katika mwili wangu na u ipe Nuru nameangaza unijalie ridhiki unitinizie hitaji LA moyo wangu unisamehe nilipo teleza nikakukosea mola wangu amin😢😢😢😢
Mashallah sheikh yusuf.mimi nilikua naumwa na sikia kitu kinatambaa mwilini.na.gas.nyinyi.nateuka Sana mpaka nashuka.kama.mshipa waja mbele yakifua na nyumba mgogoni.leo.ni.siku.ya.tatu.na.zikiliza kisomo .naona chanisadia Sana nimekula.dawa.sikupata.nafuu.lakini.dua..ni.dawa.mashalllah.mungu.akupe.umri..ameeen
Masha Allah Sheikh this supplication/Dua super powerfully special when we listen wearing headphones 🎧..We truly appreciate Sheikh Barak Allah Fik and May Almighty Allah grant you Tranquility and long life including your fans Ameen yarab
Alhamdulillah Sheikh nimeanza kuisikiza kulingana na maagizo na kwa hakika nimeoona tofauti kubwa ndani ya hizi siku saba .Allah ajua Zaidi tuzo na taji la kukuvisha InshaAllah
Salam aleikum warahmatullah wabarakatah, na mimi na anza kusikiliza roukiya hiyi na amini Allah na kubali bila chaka kama Coran ni chiffa, Allah atu ondoleye chari na fitna ya wa binadam na ma jini mimi lewo mwaka tano malade na nikapoteza yote kazi sina pesa akuna tena ata wakini zawadiye hayi nifayidiye nazulumiwa na kilakitu kila mutu na warafiki yote wamenitoka alhamdililah na mu chukuru ni mitihani nimekubali amri ya Allah na kwa nguvu yake ichallah ye joo yuko na wezo yaku ni ondoleya matatizo ata wa toto awapate za kuchunga wenye wanatumika. Yengine niko nabo apa akuna kazi umoja anaswali sana me anakuywa siku mojamoja paka analewa,wakwaza ame achika 15ans paka mimba ametoka nayo fille anakuwa musichana, na ye garçon wake anayiba aki ona tu franga wanachukuwa nachoka sana ,na tengemeya sana kwa mungu na aya za Coran, na duwa ya nabi ayub jo natumikicha nazingine mingi tena,na wewe ilmu enye Allah amekupa Naku omba uni fatiliye kunitunza na famille yangu, résidence yangu abidjan.unisamehe ndungu ni msg ya kutuma kwa SHEIKH SHARIF YUSUF, ika enda ku jubu zako, atafazali umutumiye nimechinda ku modifie
Mwenyezi Mgu atupee shifaa na atufanyie wepesi kwa kila jambo la kheir tutakalo amilia kulifanya,na wewe Mwenyezi Mgu azidi kukupa uzima na umri mrefu kwa kutupa faida kwa kila jambo la kheir,shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh Shariff Yusuf
Allah kwa kisomo hiki tulinde Yarrabi waja wako na utuepushe na husda na shari za sheitan,na wachawi na viumbe wote walio wabaya,tunajikinga kwako subukhannah wataalah pokea dua hizi yarrabb
Jazaka lah kheyr Sheikh , may Allah reward you . Truly Qur-an is the cure for everything as long as you have strong believe in Allah and follow the instructions of his messengers
SHAREEF... MashaAllah! MashaAllah! Tafadhali naomba ukirudie kisomo hiki kwani kuna kituo kimoja katika vituo ''MUBIIN'' uliruka bila du'a katikati yake. kama sikosei MUBIIN YA 4 AU YA TANO... Shukran, mie nasaidika na hiki kisomo ALHAMDULILLAHI..JAZAAKALLAHU KHEIR....
@@karimasalahudeen334 mubiin ni part ya sentence mwenye hiyo sura. Surah inaitwa yasin. Ina mubiin 6. Kila kwenye mubiin anatia dua, ila kwenye mubiin moja kaacha kutia dua