Pamoja na kuwa mie shabiki wa Yanga lakini hakika Manara huenda ni mlemavu hadi ndani ya ubongo.Mbele ys viongozi wa heshima hao bila aibu unatambulisha wazinzi,kulikuwa kunaongeza furaha gani katika tamasha?Manara ni KIVURUGENI kweli,Duh!!!!!!!!?!?😅😮😢😊😂🎉
Wakati mo ana tambulisha dada zake timu ni ya familia hile manara ajaribu chote amisa alikuwa Simba kasilimishwa yanga utaki au kamuita pakome amfungie viatu
Manara yupo kiushabiki zaidi na utundu mwingi sasa nyie watu wazima furaha yake ilizidi sizani Kuna mkamilifu mpeni onyo Moira uende MARA oyeeeeee ft yanga!!!
Kabla hayajawa mengine manara hatumtaki jana anahojiwa anasema akimpiga yanga kwel huyu mnamuweka wann na Ally kamwe yupo jaman tuungane kwaumoja apingwe manara hatumtaki
Manara haitaki mema Yanga huu udalali anaowafanyia mabinti wasiodumu na wapenzi kama Moberto ambaye tunasikia kapita na mastaa watatu na kuachwa eti ndiye analetewa Azik Ki kuunganyishiwa kimahusiano hamwoni mnamharibia Aziz Ki yaani mnataka kiwango chake kishuke Yanga ipate hasara ya kimsajili?Manara acha udalali wa.kuwatongozea wachezaji wetu mabint.acha wafanye kilichowaleta yanga usituulie timu