Тёмный

KITANZI !!! 🫣WACHUNGAJI WAKUBALI KUWA NABII ISA (YESU) NI KIUMBE CHA ALLAH. 

Straight Path Dawah
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Опубликовано:

 

19 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 121   
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi Год назад
Mwalimu hiyo sehemu fanya tena urudi hpo siku nyengine wazakulewa hao na Allaha awaogoza inshallaha
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Год назад
Mashallah mashallah mashallah ramadhan kuria bin kaguoo,, kuletaa part three Allah akuhfz zaid
@Jingajinga64
@Jingajinga64 Год назад
Sheikh Ramadhan, Mashallah, namuomba Allah akuzidishie subra maana hawa jamaa....
@zohramariga6678
@zohramariga6678 Год назад
Asalam alakumu huyu mzee anaushubufu sana achana nae
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Год назад
Tukoo pmja Sanaa Allah akujazee kherii,,mtaalam,,nipo Tanzania,, nakelewa vizr snaaa
@umahmed8273
@umahmed8273 Год назад
Salam aleykum warahmatullahi wabarakatu. Kweli shekh Ramadhani kweli hapo kuumiza kichwa hata mpk kesho hatoi jibu. Allah akulipe kw kazi yako na nia yako
@ayubibrahim1827
@ayubibrahim1827 Год назад
Mungu akuzidishie ilmi ndungu wangu ramadhan♥️
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Год назад
Masha allahy Sheikh Ramaradhan
@bahatikenia39
@bahatikenia39 Год назад
Mashaalah
@Maryam-h4y1q
@Maryam-h4y1q Год назад
Shekh unakazi Allah akupe nguvu
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Mbona huyo shehe amastaki kwenye swali moja Mungu hajaleta dini
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Mbona unauliza hapa kuna dini ngapi?siundai ukristo sio dini unajikanyaga kanyaga
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Umekutana na vigongo
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Dini sio dili la kupotezea watu muda .mbinguni hatuingii kwa kibali cha dini
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Mavazi hayampeleki watu mbinguni
@marvelousofzanzibar9556
@marvelousofzanzibar9556 Год назад
Watching this from green and spice island Zanzibar, kaka Ramadhani mtafute huyu mzee ili ajifunze tena uislamu.
@hamisijm8437
@hamisijm8437 Год назад
Masha allahy Sheikh Ramadhan
@mohamedhozi8110
@mohamedhozi8110 Год назад
Maashaallah baarakallah wallahi hii ndio kazi ya watu wema waliotangulia nkazi ngumu mungu awajaze kheri nyote wahubiri wa dini ya hakki ya uislamu
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 11 месяцев назад
sheikh ramadhani kazi unayo kweli kweli ila allah atakufanyia wepesi inshallah.hakika uongofu ni wa allah tu
@mohamedbaridhwan3017
@mohamedbaridhwan3017 Год назад
Amazing finish!!!!!
@nasramusaro
@nasramusaro Год назад
Kwa kweli una subra Allah akulipe si mchezo
@RajabuAbrahaman-l6x
@RajabuAbrahaman-l6x 11 месяцев назад
Sh wangu hiyo ndio kazi ila fanta kwa ihklaswi alla atakulipa lnshaalla
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 Год назад
Masha Allah Ustaz.Kazi nzuri.watching from Boston USA
@MohamedAhmed-ns5mi
@MohamedAhmed-ns5mi Год назад
Mashallaha
@tahlil2015
@tahlil2015 Год назад
Mashaa Allah One Islam!!
@nooor1120
@nooor1120 Год назад
Huyo pasta ni pasua kichwa tu Allah amhidi aingie ktk uislam dini ya haki ,aamiin
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 Год назад
😅😅et pasua kichwa
@nooor1120
@nooor1120 Год назад
@@halimahbwelele694 😄😄😄
@mohamedmithowe3923
@mohamedmithowe3923 Год назад
Mashallah barakaallah
@najmaalabri8835
@najmaalabri8835 Год назад
Mashallah Mashallah ramadhani Allah akupe umri
@jumamsembe1213
@jumamsembe1213 Год назад
Elimu ndogo hua hatari sana...pastor anahitaji mafunzo sana..
@jamamohamednooh5802
@jamamohamednooh5802 Год назад
MASHA ALLAH ustad ramadhan
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 Год назад
Napendaga sana mikutano hii ya maswali na majibu ya dini ,sheikh Ramadhan ana kazi kubwa sana na ana knowledge kubwa sana, ila mzee pia ni anaongea sana .
@isseamin2017
@isseamin2017 Год назад
Niko pamoja na wewe ustadh kutoka Garissa county
@jamilaomari2444
@jamilaomari2444 Год назад
Huyu mzee anabore.
@aburaasmedia3682
@aburaasmedia3682 Год назад
Kwa kweli una subra Allah akulipe si mchezo. mimi singemvumulia huyu pastor na sauti yake ya utapeli
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Год назад
Masha Allah kazi nzur sana mwalimu wetu Allah akufanyiye mambo yako wepesi
@SalehM200
@SalehM200 Год назад
Really i like this pastor very much, he has valid points but problem he does not reply direct Ramadhan questions. and as Sh. Ramadhan says " huyu mzee mjanja".
@Creatives254
@Creatives254 Год назад
Si mjanja Ramadhan is forcing points on him, especially akiona anaenda Kwa jawabu anamtwist ama anachukua point Kwa mraia yenye inadivert completely na anauliza wenye hawaelewi zaidi same question...
@AngoSheriff-be5mq
@AngoSheriff-be5mq 7 месяцев назад
Huyo pastor ni master kweli
@feisalhanad7896
@feisalhanad7896 Год назад
Dacwa Illalah
@AhmedMwaipopomazinge
@AhmedMwaipopomazinge Год назад
Mashallah...kwa mara ya kwanza umegonga ndipo...issa bin maryam ni kiumbe cha allah.....asifananishwe na Yesu Kristo ambaye ndiye muumbaji!! Maana kwake vitu vyote viliumbwa kila kitu duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: Wenye enzi, watawala, wakuu na wenye nguvu. Vyote viliumbwa kwake na kwa ajili yake. - Wakolosai 1:16
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 месяцев назад
Yesu hawezi kufanya neno peke yke wala Yesu hawezi kufanya Miujiza wowote bila ya uwezo wa M/Mungu Mungu ndo anofanya Miujiza kupitia Yesu na Mitume wengine.
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 4 месяца назад
Kufur kubwa mnoo kusema Mungu n mtu kafa msalabani n kazikwa na kafufuka siku y tatu
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 4 месяца назад
Na yesu mwenye hajadai kua Mungu katu wala hakuwa kigeugeu leo mtu kesho Mungu alisema Mungu wangu ndie Mungu wenu mja wapekee
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 4 месяца назад
Tafakar ndugu ngu isome bibila yesu hajasema yeye ndo Mungu wala haezi fanya kitu ila Mungu yaani Ellah or Allah
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 8 месяцев назад
Allah akupe afya njema n elimu n hekm uzidi kueneza dini yake
@Mulki1111
@Mulki1111 Год назад
That's good hurry back.
@Mulki1111
@Mulki1111 Год назад
Marshalla
@halimahbwelele694
@halimahbwelele694 Год назад
MashaAllah ❤
@rashidwalwanda1991
@rashidwalwanda1991 Год назад
Mashaallah brother
@maryamjuma1980
@maryamjuma1980 Год назад
Mhh kazi ya daawa bado inahitajika ili iweze kuifufua mioyo Yao Allah akulipe kheri sheikh Ramadhan hio kazi ni ngumu mno. Allah awaongoze
@samxx411
@samxx411 Год назад
Hao wakristo wanajizonga tu hawana uhakika na dini yao
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Год назад
Kabisaaa
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 9 месяцев назад
kabisa makelele tu
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Год назад
Shekh RAMADHAN unakazi ngumu Sana ALLAH akulipe kheri insha'Allah 🤲 maana hawa watu kuwavumilia inataka moyo kweli 😅
@mutomubaya
@mutomubaya Год назад
Pongezi. Ustadh unafundisha vizuri
@yaqubabdi9532
@yaqubabdi9532 Год назад
Huyu ni mjanja na anapoteza wakati
@twaine40
@twaine40 Год назад
As salaam alaykum warahmatullahi wabarakatuh maalim achana na huyo Mzee atapotezea wengine mda yeye yuaficha mambo ili asikose sadaka
@Adm9464
@Adm9464 Год назад
It’s sad Wakristo can’t even Agee on anything anymore
@BabuNL
@BabuNL Год назад
RAMADHAN huyu mzee unafaa ufanye kazi na yeye he’s very funny na anajua kusoma bible
@jumahamad9463
@jumahamad9463 Год назад
HUYU MZEE ATAA SAUTI YAKE NI YA UTAPELI NAPIA MACK ANAFANYA KAMA PEREMENDE
@oopsm3574
@oopsm3574 Год назад
Amesoma kwa kigugumizi mimi sijafahamu!!!
@adanabdi5249
@adanabdi5249 Год назад
Safi sana.
@joelkimanzi9644
@joelkimanzi9644 3 месяца назад
Umeongopa mzee
@nelsonochieng5216
@nelsonochieng5216 Год назад
Huyo mzee ni msumbufu ungewachana na yeye
@twaine40
@twaine40 Год назад
Yuafunga wakristo macho ili asikose sadaka 😂
@mutiembingi-le6kz
@mutiembingi-le6kz Год назад
Yesu ni mungu hakuna dini inahitwa ukristo na hakuna yesu katika dini lakini Isa ni WA dini
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Год назад
❤❤❤👏🏾👏🏾
@ufafanuzi4382
@ufafanuzi4382 Год назад
Ameamua apoteze wakati ili watu wasifaidike na kujua uislamu.
@malackmaati3234
@malackmaati3234 Год назад
Masha, Allah, lakini huyo mzee anazingua
@samxx411
@samxx411 Год назад
Nadhani sheikh Ramadhan mzee kama huyo huo yupo kwa ajili ya kupoteza muda sio kwa ajili ya kutoa hoja..
@shamsiyasalim6866
@shamsiyasalim6866 Год назад
Huyo Mzee nimuongo na anapiga kelele hakuna dini inayoitwa ukiristo hakuna dini hiyowala sio dini
@jamalathman6219
@jamalathman6219 Год назад
Huyu mzee ni mbishi anapotosha watu hakuna neno issa lamau ni maneno yake amejiwekelea tu mungu amshinde na vitimbi vyake
@Maryam-h4y1q
@Maryam-h4y1q Год назад
😂weee mzee nimshindani
@benin9773
@benin9773 Год назад
Huyo Mzee mjanja kweli ! Alisema anawakilisha wakristo wote halafu baadaye akamsema mtu kuwa yeye ni SDA ambaye ni wapinzani wake 😳
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Год назад
Huyu mchungaji ni majanga kwa kweli
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 Год назад
Huyo mzee ndio hovyo haswaa
@Kaweza-mu6hy
@Kaweza-mu6hy 7 месяцев назад
Zilongwa mbali zitendwa mbali
@maryamyusuf-t6c
@maryamyusuf-t6c Год назад
issa bin maryam, kama kweli alikuwepo...ndio kiumbe cha Yesu Kristo. Fahamu Yesu Kristo alikuwa nani kabla kufanyika mwili!!
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 4 месяца назад
Mungu aje aishi n watu ale achoke alale iyo inamake sense
@HNs-px8mz
@HNs-px8mz 4 месяца назад
Sote tulikua kw Mungu ilo lisiwe shaka kwako
@saidali2981
@saidali2981 6 месяцев назад
Walo wengi wanataka kudilimu huku Gilgil
@princesspatra5494
@princesspatra5494 Год назад
Hao wachungaji wako sawa kabisa 😂😂😂😂😂 KITANZI !!! 🫣WACHUNGAJI WAKUBALI KUWA NABII ISA (YESU) NI KIUMBE CHA ALLAH. Yesu Kristo sio issa ...hata kwa bahati mbaya!!
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 месяцев назад
Issa Bin Maryam ndie Yesu Kristo wazungu ndo wamekujakubabaisha watu wasiutambue ukweli
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Hapo hupati kitu shehe wote wameiva
@shamsiyasalim6866
@shamsiyasalim6866 Год назад
Wakiristo ndio wanao vaa mavazi mafupi kanisani je wanamaana gani? Au mavazi hayo yanakubaliwa na mavazi hayo
@yabdul1782
@yabdul1782 Год назад
😂😂😂mzee ajichanganya na mwerevu wakudanganya mwenyewe na watu😂😂😂
@abcfisheries2865
@abcfisheries2865 Год назад
Hata ingawa huyu Pastor MJANJA ame SHINDWA kutoa andiko 'UKRISTO' ni Dini, WaFrika walio kusanyika, wako TAYARI ku fuata UWONGO wa huyu Pastor dangerous sana! Watu wa SHAKAHOLA wali ULIWA hivi hivi na UWONGO, kama huyu Pastor, William the LIAR!
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Год назад
Huyo mzee anapoteza tu muda, achana naye.
@shamsiyasalim6866
@shamsiyasalim6866 Год назад
Wewe wacha kudanganya watu wakirito ndio wanaovaa mavazi
@oopsm3574
@oopsm3574 Год назад
Huyu pastor mkora ,maneno mengi hayana maana yoyote
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 Год назад
Shekh hekma zimekuzid sn,una mpa nafas ya kuongea huyo kafir mpk anaona kamaliza
@adanabdi5249
@adanabdi5249 Год назад
Anaongea sana iliapoteze wakati.
@SaidMgeni
@SaidMgeni 8 месяцев назад
Assallam Allaikum umeambiwa maana ya Islam ni isa Sallam kwanini wapinga😂😂
@Creatives254
@Creatives254 Год назад
Pastor bado amewakalima ten nil,you are just trying to out do him but hamuwezi..hamuwezi bishana three hours eti ukristo na Kristo...kama mtu anafuata Kristo si lazima uambiwe anaufuata ukristo. Nikama mtu aje na katiba Yao inasema uingereza akilazimisha mkenya aonyeshe katiba yake akisema ukenya...pastor amesema kunadiffernce Kwa maelezo ya Bible na Qur'an.
@ntulisuzan897
@ntulisuzan897 Год назад
Allah anaemswalia mtume wake?
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 месяцев назад
Unajua maana ya kumswalia Mtume kwanza?
@ntulisuzan897
@ntulisuzan897 10 месяцев назад
@@dulividuli5237 Najua kumswalia inatokana na neno sala au kiarab salat ikimaanisha omba ko kumswalia ni kuombea
@PascalMwita-bv8kr
@PascalMwita-bv8kr 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂allah akufanyie wepesi
@SheikhNassorMuhammad
@SheikhNassorMuhammad Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😅 leo ramazani amekutana na mashine yani haelewi mtu
@ufafanuzi4382
@ufafanuzi4382 Год назад
Eti isaya lol. Anasema uongo akijua hao maskini hapo wata muamini
@ipyanamwasampeta653
@ipyanamwasampeta653 Год назад
Internet ina umaliza uislam. Wakristo wajinga ndio wanao kubali kuwa Mungu wao ni sawa na mungu wa waislamu. Mungu wa Wakristo ni Roho Yohana 4:24 na mungu wa waislamu sio Roho ni kitu cha kufikirika na mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja. Pili kwa Wakristo Yesu ni Mungu. Tatu Yesu sio Isa kama waislamu wanavyo dai, maana ya isa kwa kiarabu ni shahawa za ngamia. Je maana Yesu ni sawa na maana inayo maanishwa na isa? Uislamu ni ya wanaojidanganya, wanaodanganya na wanaodanganywa. Hi ina maana Wakristo na waislamu wanaabudu Mungu tofauti.
@nyama2085
@nyama2085 Год назад
Well said
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 8 месяцев назад
Allah akuogoze wapi ulipata et Mungu wa waislam ana mikono n mguu.kaa huna lakusema zip domo kimya
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 8 месяцев назад
Izo n porojo hazina ushahidi kaa utue
@ipyanamwasampeta653
@ipyanamwasampeta653 8 месяцев назад
@@Nora-v1m3p dini yako imejaa porojo na uongo. JE YESU WA KWENYE BIBLIA NDIYE ISSA WA KWENYE KORAN? JE YESU ALIKUWA MJUKUU WA IMRAN? JE MARIAM MAMA YAKE YESU ALIKUWA MTOTO WA IMRAN? JE MUSA NA HARUNI WALIKUWA WAJOMBA WA YESU? JE MARIAM MAMA YAKE YESU ALIKUWA DADA WA MUSA NA HARUNI? JE WAKRISTO WANAAMINI HIVYO? Hizi ndizo porojo za mungu wako. Ni mungu gani huyu anaye ruhusu kasichana ka miaka 6 kuolewa na jibaba la miaka kadhaa soma al talaq sura 65:4. Mungu wa Wakristo ni ROHO. JE mungu al lah wa waislamu ni ROHO? Jibu ni hapana, mungu al lah sio ROHO ana sehemu za mwili( has body parts) ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Kwa hiyo Wakristo na waislamu hawaabudu Mungu mmoja, Mungu wao sio mmoja. Ni mijitu mijinga( wawe waislamu au Wakristo) ndio inayo sema Mungu wetu ni mmoja. YESU SIO ISSA. INTERNET INAUA UISLAMU!!
@ipyanamwasampeta653
@ipyanamwasampeta653 8 месяцев назад
@@Nora-v1m3p INTERNET INAUA UISLAMU. Waislamu wengi hawamjui mungu wao, ni dini ya wanaodanganya ( mashehe na maimamu), wanaodanganywa, na wanaojidanganya. Nenda Google wewe type Allah hands (mikono ya Allah ) utalikuta somo hilo la mungu wako al lah kuwa ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Au nenda RU-vid tafuta Allah hands utawaona wanazuoni wa kiislam wanakuelezea mungu wa waislamu kuwa ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Dini yenu imejaa uongo na wengi waislamu walio kwenda shule wanaachana nayo kwa sababu uongo ulio wazi na hadith za mtume nyingi zikiwa za utata mpaka kufikia mtoto wa mfalme wa Saud arabia kufikia uamuzi wa kuzifuta baadhi na hata zilizo kuwa na sifa ya SAHIHI NA HASSAN. YESU SIO ISSA!!
@trezynjeri8288
@trezynjeri8288 Год назад
Wee hungonji upewe mandiko waislamu mwapotosha watu
@emmanueltoroitich8244
@emmanueltoroitich8244 Год назад
Huyu pastor mkweli kabisa...story ya spelling ajana nayo Ramadan, umejibiwa kwelikweli...
@kutailass6671
@kutailass6671 Год назад
Nlijua tu kuna mkosa Elim atatokea wakumuunga mkono huyo Mzee lkn mwenye akili timilifu hata akiwa Mtoto Mdogo hawezi muunga mkono yan anaongea mambo yasiyo eleweka kabisa😢
@emmanueltoroitich8244
@emmanueltoroitich8244 Год назад
Huwezi amulia mtu dini yake ewe kaka,mbona ukambeni ivo?,but to be sincere origin of Islam is Catholicism!!!
@dulividuli5237
@dulividuli5237 10 месяцев назад
​@@emmanueltoroitich8244ukatoliki na Uislamu ni vitu viwili tofaut wakatoliki ni dhehebu miongoni mwa madhehebu ya kikristo.
@pungopungo411
@pungopungo411 Год назад
Wanapumbaza watu hao muwe makini nao wanamiliki majini
@dicksonmambo8623
@dicksonmambo8623 Год назад
Hao niwachungujii wango,mbe ni sawa wakubali hajui wasemacho
@khadijanigogo698
@khadijanigogo698 Год назад
Mashallah
Далее
Waislamu mbona mnambandika Mungu jina Allah?
1:05:45
Просмотров 9 тыс.
ASKOFU WA DINI YA MOWAR ROHO AAHIDI KUSILIMU.
33:34
Просмотров 4,5 тыс.
MAJI YAZIDI UNGA KWA PASTOR JACOB
1:00:13
Просмотров 35 тыс.
GODBLESS LEMA AKIZUNGUMZA NA RAIS SAMIA MAMBO MAZITO
21:28