Salam aleykum warahmatullahi wabarakatu. Kweli shekh Ramadhani kweli hapo kuumiza kichwa hata mpk kesho hatoi jibu. Allah akulipe kw kazi yako na nia yako
Napendaga sana mikutano hii ya maswali na majibu ya dini ,sheikh Ramadhan ana kazi kubwa sana na ana knowledge kubwa sana, ila mzee pia ni anaongea sana .
Really i like this pastor very much, he has valid points but problem he does not reply direct Ramadhan questions. and as Sh. Ramadhan says " huyu mzee mjanja".
Si mjanja Ramadhan is forcing points on him, especially akiona anaenda Kwa jawabu anamtwist ama anachukua point Kwa mraia yenye inadivert completely na anauliza wenye hawaelewi zaidi same question...
Mashallah...kwa mara ya kwanza umegonga ndipo...issa bin maryam ni kiumbe cha allah.....asifananishwe na Yesu Kristo ambaye ndiye muumbaji!! Maana kwake vitu vyote viliumbwa kila kitu duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: Wenye enzi, watawala, wakuu na wenye nguvu. Vyote viliumbwa kwake na kwa ajili yake. - Wakolosai 1:16
Yesu hawezi kufanya neno peke yke wala Yesu hawezi kufanya Miujiza wowote bila ya uwezo wa M/Mungu Mungu ndo anofanya Miujiza kupitia Yesu na Mitume wengine.
Hao wachungaji wako sawa kabisa 😂😂😂😂😂 KITANZI !!! 🫣WACHUNGAJI WAKUBALI KUWA NABII ISA (YESU) NI KIUMBE CHA ALLAH. Yesu Kristo sio issa ...hata kwa bahati mbaya!!
Hata ingawa huyu Pastor MJANJA ame SHINDWA kutoa andiko 'UKRISTO' ni Dini, WaFrika walio kusanyika, wako TAYARI ku fuata UWONGO wa huyu Pastor dangerous sana! Watu wa SHAKAHOLA wali ULIWA hivi hivi na UWONGO, kama huyu Pastor, William the LIAR!
Pastor bado amewakalima ten nil,you are just trying to out do him but hamuwezi..hamuwezi bishana three hours eti ukristo na Kristo...kama mtu anafuata Kristo si lazima uambiwe anaufuata ukristo. Nikama mtu aje na katiba Yao inasema uingereza akilazimisha mkenya aonyeshe katiba yake akisema ukenya...pastor amesema kunadiffernce Kwa maelezo ya Bible na Qur'an.
Internet ina umaliza uislam. Wakristo wajinga ndio wanao kubali kuwa Mungu wao ni sawa na mungu wa waislamu. Mungu wa Wakristo ni Roho Yohana 4:24 na mungu wa waislamu sio Roho ni kitu cha kufikirika na mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja. Pili kwa Wakristo Yesu ni Mungu. Tatu Yesu sio Isa kama waislamu wanavyo dai, maana ya isa kwa kiarabu ni shahawa za ngamia. Je maana Yesu ni sawa na maana inayo maanishwa na isa? Uislamu ni ya wanaojidanganya, wanaodanganya na wanaodanganywa. Hi ina maana Wakristo na waislamu wanaabudu Mungu tofauti.
@@Nora-v1m3p dini yako imejaa porojo na uongo. JE YESU WA KWENYE BIBLIA NDIYE ISSA WA KWENYE KORAN? JE YESU ALIKUWA MJUKUU WA IMRAN? JE MARIAM MAMA YAKE YESU ALIKUWA MTOTO WA IMRAN? JE MUSA NA HARUNI WALIKUWA WAJOMBA WA YESU? JE MARIAM MAMA YAKE YESU ALIKUWA DADA WA MUSA NA HARUNI? JE WAKRISTO WANAAMINI HIVYO? Hizi ndizo porojo za mungu wako. Ni mungu gani huyu anaye ruhusu kasichana ka miaka 6 kuolewa na jibaba la miaka kadhaa soma al talaq sura 65:4. Mungu wa Wakristo ni ROHO. JE mungu al lah wa waislamu ni ROHO? Jibu ni hapana, mungu al lah sio ROHO ana sehemu za mwili( has body parts) ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Kwa hiyo Wakristo na waislamu hawaabudu Mungu mmoja, Mungu wao sio mmoja. Ni mijitu mijinga( wawe waislamu au Wakristo) ndio inayo sema Mungu wetu ni mmoja. YESU SIO ISSA. INTERNET INAUA UISLAMU!!
@@Nora-v1m3p INTERNET INAUA UISLAMU. Waislamu wengi hawamjui mungu wao, ni dini ya wanaodanganya ( mashehe na maimamu), wanaodanganywa, na wanaojidanganya. Nenda Google wewe type Allah hands (mikono ya Allah ) utalikuta somo hilo la mungu wako al lah kuwa ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Au nenda RU-vid tafuta Allah hands utawaona wanazuoni wa kiislam wanakuelezea mungu wa waislamu kuwa ana mikono miwili na yote iko upande wa kulia na ana mguu mmoja na Vidole vitano. Dini yenu imejaa uongo na wengi waislamu walio kwenda shule wanaachana nayo kwa sababu uongo ulio wazi na hadith za mtume nyingi zikiwa za utata mpaka kufikia mtoto wa mfalme wa Saud arabia kufikia uamuzi wa kuzifuta baadhi na hata zilizo kuwa na sifa ya SAHIHI NA HASSAN. YESU SIO ISSA!!
Nlijua tu kuna mkosa Elim atatokea wakumuunga mkono huyo Mzee lkn mwenye akili timilifu hata akiwa Mtoto Mdogo hawezi muunga mkono yan anaongea mambo yasiyo eleweka kabisa😢