Kuhusu taarifa za kimfumo hamuwawezi Kwa sababu wao ndiyo wamiliki wa mifumo, wanauwezo wa kutengeneza taarifa kinzani na zikahalalishwa. Poleni sana kupambania watanzania.
Sukari ilipoadimika tulilalamika na kuilaumu serikali, hatua zilipochukuliwa kunusuru hali ile tulifurahi, leo tunaambiwa taratibu zilikiukwa tunaunga mkono. Hao ndo SS wa tz.