Тёмный
No video :(

KODTEC MANARA VALENTINE SPECIAL 

KODTEC OFFICIAL
Подписаться 1,3 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

KODTEC Sisi ni wauzaji na wasambazaji wa bidhaa bora kabisa zinazotumia umeme.
-Tunabidhaa bora kwajili ya matumizi yako ya nyumbani, offisin na vifaa vya mziki fika kwenye maduka yetu yote nchi nzima na mawakala wetu wote au Tupigie +255 744240595 Kuwa wa kwanza kupata video zetu kwa kusbscribe youtube channel yetu.Tutembelee kupitiaInstagram: / kodtecstore Facebook: / kodtecstore #kodtec #kodtecmakinglifemoreperfect #cookwithwemasepetu #mapishi #mapishiyakiswahili #cook #homeappliances #wema #wemasepetu #mandonga #tanzania #portableblender #nitongoze #mandongamtukazi #ndoige #tanzania #blenderlovers #yanga #yangasc #simbasc #mchumba #juice #juicelover #juicewrld #cook #oven #kodtecoven #juicelover #juicerblender #cookwithwemasepetu #bread #breadmaker #breadrecipe #waffle #wafflemachine #wafflemaker #hajimanara #zainab

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 81   
@nidaquincy5669
@nidaquincy5669 5 месяцев назад
iyo chapati maker yafanya chapti ziwe ngumu utamu wa chapati nikusukuma
@mahidatatang521
@mahidatatang521 5 месяцев назад
Nibora piano halitoka uko kwa dula angeyaona wapi hayo yote😂😂😂😂
@MwanaMwita-ks7xv
@MwanaMwita-ks7xv 5 месяцев назад
Uvivu tu😂
@godlivermwasha2791
@godlivermwasha2791 5 месяцев назад
Safi kabisa,najua wenye wivu hawaachi kuongea na kupondea Mambo mazuri,weewe unayesema vipo Tu siajabu Hata kisu kuzuri kwako huna.Acha kudhalau maisha ya watu,kama huna huna Tu kupondea haisaidii, waswahili mnapenda kuwashusha watu kwa vimaneno vya mkosaji.bugati na zai msonge mbele Saima
@user-hp6pq9fb2l
@user-hp6pq9fb2l 5 месяцев назад
Asante 🎉
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 месяцев назад
Zag kapatae ngangania dada wenginee wanataka izo nafasii
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 5 месяцев назад
Komaaa zai umependeza sana mdogo wangu😂😂😂😂😂😂
@mayrose9772
@mayrose9772 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 5 месяцев назад
Tunazipataje
@user-hc8fi9lc6t
@user-hc8fi9lc6t 5 месяцев назад
Mke ajisitiri basi
@user-yj7gj9mp7h
@user-yj7gj9mp7h 5 месяцев назад
Nataka hiyo blenda bugat
@anciladelay6316
@anciladelay6316 5 месяцев назад
Mashallaah❤❤❤
@user-ef6tl6fy1g
@user-ef6tl6fy1g 5 месяцев назад
Hivo😂 nivitu vya watu wasiojuwa kupoka😂😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@mariymukhatibu4919
@mariymukhatibu4919 5 месяцев назад
Apo umeo ngeya kabisa
@user-yz8ny1uf7r
@user-yz8ny1uf7r 5 месяцев назад
Wivu tu umewajaa waacheni watu na maisha yao.
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 5 месяцев назад
sio wivu ni kweli ​@@user-yz8ny1uf7r
@user-fc7vm5lk7u
@user-fc7vm5lk7u 5 месяцев назад
Punguza wivu dada
@user-gy3dv3tq8d
@user-gy3dv3tq8d 5 месяцев назад
Buga anatunza mke kapendeza uvumilie tu gubu
@bas2823
@bas2823 5 месяцев назад
YES HIVI VITU VIKO KILA NYUMBA SASA NA WENGINE WANAVYO TANGU ZAMANI HUKO USA NA EUROPE COUNTRIES WE WERE IN USA ALSO WE GOT ALL THOSE N MORE IN THE USA NA HAPA OMAN TUNAVYO! NI VIZURI KUMWEKEA MKEO ATUMIE LAKINI SIO MARA ZOTE SOME TIMES SHE CAN USE THE COOKER TO COOK N SOME TIMES SHE CAN USE THOSE KITCHINE! AQUIPMENTS OR KITCHEN'S SANITARRIES! OR ELECTRIC COOKERS N MLANDINGS N JUICIES MAKERS! U R A GOOD HUSBAND U DONT LIKE YR WIFE TO SUFFERS IN THE KITCHEN SHE SOULD PROUD OF U👌 ! N LOVES U MORE❤👍"
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 месяцев назад
Mimi nipo uk na wala situmii nachoma kwa mkaa kuchoma kwa mkaa kuna utamu wake n
@shamzone388
@shamzone388 5 месяцев назад
@@FatimaAli-of4ghasante umejua kumjibu ….kupika kwa mkaakuna raha na harufu nzuri ya chakula
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 месяцев назад
@@shamzone388 Kweli hivo vitu ukiwa huna tu lakini wala sioni uzuri wake na hiyo machine ya coffee sasa hivi watu tumelemaa hata kupika chai kwenye sifuria hatuwezi
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 5 месяцев назад
Wanafanya matangazo ya biashara baadhi tunavyo miaka kumi iliyopita Ila kuna wasio navyo ñdio wanunue
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 5 месяцев назад
yupo kazini anatangaza baishara sio show off
@rerisamba
@rerisamba 5 месяцев назад
Warabu jamani yani hivi vitu vyote wanavyo halafu hawajui kuvihifadhi n
@JeniferNgolanya-gt5xx
@JeniferNgolanya-gt5xx 5 месяцев назад
Na ajue kupika basi😅😅
@mohammedabdullah3868
@mohammedabdullah3868 5 месяцев назад
Zai tulia dada upendwee ❤❤❤❤❤
@user-hp6pq9fb2l
@user-hp6pq9fb2l 5 месяцев назад
Sawa kabisa APENDEKE
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 5 месяцев назад
Zailysa hapo hajaelewa hata moja.vimeingilia huku vimetokea kule😂😂😂. Bora angeletewa moja ipita miezi kadhaa ndio nyingine lkn kiivo, hamna kitu kichwani kilichoka Hapo Asije akarushwa tu na umeme😂
@BMboss108
@BMboss108 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@jamaal1300
@jamaal1300 5 месяцев назад
😂😂😂😂 send me your number
@shamzone388
@shamzone388 5 месяцев назад
Usiseme hawajui kuwifadhi kwao vipo huna haja kufitafuta madukani ya ghali na yarahisi vinapatikana kikiharibika unatupa unanunua kipya
@mohamedswaleh6778
@mohamedswaleh6778 5 месяцев назад
Utakuta hapa watu wakijishauwa eti vitu vya toka Zaman sw unavyo bando lenyewe umekopa mbwa ww
@user-hs1en8dm7n
@user-hs1en8dm7n 5 месяцев назад
We Christina huyo zylisa umemfanya hajui kusoma au umemdharau haifai kumdharau mwenzio hicho Nichoyo kinaitwa unamuonea chocolate wewe huna kama hivyo acha kudharau watu
@user-ds5tf9xx1d
@user-ds5tf9xx1d 5 месяцев назад
Ongera zai umetoboa life
@naturelle1097
@naturelle1097 5 месяцев назад
Nuthin new ..hio sio chapati maker its for waffles🙄
@HassanHassan-vh6pc
@HassanHassan-vh6pc 5 месяцев назад
Basi hta karatasi la kujifunika kichwani hana
@rayahamisi118
@rayahamisi118 5 месяцев назад
Mwenzako yupo soko je wataonaje watu kama kapendeza 😊😊😊 atanguo aliyo vyaa kajionesha umbo lake ata kajisahau kama mke wa mtu ss atuna waume lkn siwesi kuvaa ivyo kwa nikivaa nguo kama iyo sitoki bila ya baibui
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 5 месяцев назад
​@@rayahamisi118😂😂😂😂😮 we zeruzeru kula nyoko
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 5 месяцев назад
😮😢😢😊😊❤❤🎉🎉🎉
@mahidatatang521
@mahidatatang521 5 месяцев назад
Sasa nikuuliza hizo sikuzote ulikuwa hauna hizo vitu mbona vishapitwa na wakati😂😂😂😂😂
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 5 месяцев назад
Manara Ramadhan hii mbona ur beautiful wife kichwa wazi
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 5 месяцев назад
Hii ilirekodiwa mda now ndo inaruka
@khatibmako3500
@khatibmako3500 5 месяцев назад
Kichwa wazi jamani
@user-ec2he1uo3d
@user-ec2he1uo3d 5 месяцев назад
Eti mkate wa vilejs
@ZainabAbdullah-bc6pu
@ZainabAbdullah-bc6pu 5 месяцев назад
Tuoneshen na chumaban kwenu
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 5 месяцев назад
Unataka ukalale
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 5 месяцев назад
Zeruzeru kula nyoko
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 месяцев назад
Si mpaka ajue kupika😂😂
@user-ef6tl6fy1g
@user-ef6tl6fy1g 5 месяцев назад
Nakwambia hivo ni bizaa za wasiojuwa kupika km yy zailisa sijui atajuwa kukisia maji mchele
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 месяцев назад
@@user-ef6tl6fy1g ndo hapo kuwiva vitawiva test sasa si mpaka ujulie viungo vyake na vifaa vya umeme vina mkono wa mtu ukiwa na mkono mbaya vikianza kuharibika utaijua bathdei ya bibi yako 😂😂
@user-gv8kv2zd6x
@user-gv8kv2zd6x 5 месяцев назад
Kwaiyo chakula anacho kula unapikaga weye acha umbea yako yameku shinda kazikusema yawe nzoko tu hovyo kagonwe uko wa napende zana
@annafrancis7313
@annafrancis7313 5 месяцев назад
Acheni wivu. Kuna mtoto wa uswazi asiyejua kupika. Mnamsikiliza Dula kama alikuwa hajui kupika alimuoaje? Baada ya kuachwa ndo aseme ajui kupika
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 5 месяцев назад
@@annafrancis7313 watoto wa uswazi wanajua kupiga ugali na wali sasa kakutana na mtoto wa mjini anataka mahanjumati ya maana sio ugali na maharage. Na atapika saa ngapi na mwenyewe haji kasema anatoka saa 3 asubuhi anarudi saa 3 usiku eti anaenda kushoot movie 😂😂😂
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 5 месяцев назад
Haji wangu kampuni imekuonea kukupa kazi ya kuadvatize bidhaa zao.mbona vinamuda takriban miaka 5 nyuma vimetoka watu walishatumia mpaka wakatupa nje.hivyo vitu vilianza kutumika kabla wa china hawajaingia tanzania na africa yote. Kampuni ikutake radhi haji wangu.kwani watu watakuona mshamba bureee.
@saidjelani1566
@saidjelani1566 5 месяцев назад
Wewe mwehu nini watoka wapi hivyo ni vitu vya kujisifiya
@asmahassan5661
@asmahassan5661 5 месяцев назад
Anatanga biashara mbona una makasiriko
@FatumaBaruti-qw6jm
@FatumaBaruti-qw6jm 5 месяцев назад
Yupo kazini kaka tuli soma alama za maisha unauza bangi nini kuitangaza huwezi😂😂😂😂😂.
@naturelle1097
@naturelle1097 5 месяцев назад
Angefanya hayo matangazo mke wake ndiye anae shinda jikoni ..mwanaume tangaza bidhaa tofauti manly like kama magari
@user-tg2mn3xu1y
@user-tg2mn3xu1y 5 месяцев назад
Msenge mboro kula nyoko zake
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 5 месяцев назад
Tumeshavitumia hivyo vitu miaka 3 iliyopita wewe ndio una tangaza sasa hivi mshamba kweli kweli sasa hivi kuna macrowave inafanya vyote airfrayer, oven na microwave Huna haja ya kuwa na mavitu mengii kuja a jiko,
@kilimanjaro695
@kilimanjaro695 5 месяцев назад
I think you’re missing the point. I think Haji anafanya promotion si kuwa anajigamba. Tuangalie big picha si kukurupuka na kuanza kushambulia
@FatumaBaruti-qw6jm
@FatumaBaruti-qw6jm 5 месяцев назад
Biashara iyo wangu ata kama miaka mitatu imepita lazima utangaze biashara yako wapo wanaoanza maisha kabla ya iyo miaka. Ukiona biashara imezoeleka na imedolala jaribu kutangaza.magidoro dodoma mbona kabla hujazaliwa na yanatangazwa .😅
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 5 месяцев назад
Kwa umeme huu, huu wa luku au?
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 5 месяцев назад
😂😂😂😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 5 месяцев назад
@@ngwacahnyagwaswa9979 yaani 🙌
@aminakasim1198
@aminakasim1198 5 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@rayahamisi118
@rayahamisi118 5 месяцев назад
Umeme wenyewe watz mara paa ulee aurudi mpaka baada siku😂😂😂
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 5 месяцев назад
@@rayahamisi118 yaani 🙌
@henryndosi2002
@henryndosi2002 5 месяцев назад
Manara utaoa lini?😢
@sophiamziray
@sophiamziray 5 месяцев назад
Huyo ni mke wake wa ndoa. We upo nchi gani?
Далее
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,6 млн
3d printed demon core vs real
00:24
Просмотров 7 млн
PENDEZA AMLIPUA LUKAMBA, AANIKA KILA KITU KILICHOTOKEA
11:03
HAMISA MOBETTO NA KODTEC SABASABA 2024
1:31
COOK WITH WEMA SEPETU NA PILI WA KITIMTIM
1:18
Просмотров 9 тыс.
ПРОСТИ МЕНЯ, АСХАБ ТАМАЕВ
32:44
Просмотров 1,6 млн