Inaonyesha dula anaongozwa Sana na hisia Yan anaongozwa na mihemko,,,inabidi dula akatibiwe na mambo yake yakihasira..inaonekana dula akipenda anapenda sanaaaa kwaiyo anakuwa na wivu na anaendeshwa na hisia kwaiyo anashindwa kujizuia
Mkweli lkn apunguze pupa za mahusiano we huwezi kuachana na mwanaume ghafla ukaanze na mwanaume mwengine na unaona kabisa km huyu Dullah hakumtaka amuoe na ndy kalazimishwa kupost na kucomment maana yupo na Dullah bado anawasiliana na Mingo na ndy 7bu Mingo alitoa ile nyimbo alishajua km ndoa hakuna itavunjika muda c mrefu huyu anapenda mateso mwenyewe haiwezekani kila mwanaume ampige
@@iddykwangaya2794 Nimekurekebisha SPELLING ujifunze uandishi sahihi wa ya maneno ya (kiingereza) uliyotumia kuwasilisha ujumbe wako. Utayari wa kuedit au kupuuza ujifunzaji ni maamuzi yako. Hayo mengine unayosema ni FIKRA zako. Na jinsi ulivyopokea na kureply hoja isiyo ya msingi unaonyesha jinsi gani ulivyo MPUMBAVU NA MJINGA. Na uandishi wako inaonekana sio MWANAUME ni SHOGA mzoefu asiyejitambua. KEEP IT UP
Wamiaka 24 mbona uso umechoka kama wa miaka 50 au ndo make up next time usipake mimi nakuona rangi ya uso na wig zimefanana aliekupodoa atafika mbinguni akiwa amechoka😂😂