Kongamano la Wiki ya Ununuzi wa Umma inayofanyika kwa mara ya kwanza katika ukumbi wa AICC-Simba hall jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7 Mei, 2022 ikiwa na kauli mbiu "Matumizi ya Teknolojia katika Kuuboresha Ununuzi wa Umma".
Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.
17 янв 2024