Huyu jamaa ananikubusha timu ya reli morogoro ilivyo kuwa inacheza lakini ilikuwa inashuka daraja na huyu jamaa anajikakamua tu mwaka huu baada ya uchaguzi atakuwa kwao akikamua ngombe maziwa bye bye 👋
Mh Heche nakubali michango yako coz imekuwa chachu hata kama hawafanyii Kazi mawazo yako naamini wanakusikiliza. Mara nyingi umekuwa ukitusemea vijana wa Masikini tusio na kwa k usemea Wala tusiosikilizwa na yeyote tunaoteseka na familia zetu kwa u masikini tuliowaandalia wazazi waliotoa pesa zao nyigi ili angalau tupate elimu na baadae tuwafute machozi leo tunalia nao ila wao wanalia mara mbili yetu. Binafsi elimu yangu ni ndogo ila tangu 2015 mpaka leo Hajira hakuna. Sekta ya kilimo serikali inavotudharirisha last year walikuwa wanaitaji watu 126 ila wanaita interview watu 1000... tunatoka mikoani mpaka dsm unakaa wiki 2 alafu majina yanatoka umekosa. Umetumia gharama kubwa na bado ukifika mtaani unakutana na mtendeji wa serikali anaelipwa mshahara unaotokana na kodi ya jasho lako anakwambia kajiajiri. Sasa unajiuliza huyo BOSS ANAEITWA KAJIAJILI wakati yeye anaajiliwa na serikali hakumuona kama mzuri aende nae akajiajiri?? Ukienda kwa huyo boss kila kona kodi mlango wa biashara kodi,tra kodi,halmashauri ushuru,tfda ushuru,tpri ushuru yaani huyu huyu boss kajiajili anatutesa mpaka tunajiona watumwa na yatima kwenye nchi yetu
Tena sana yaan bora kipindi cha kikwete wanyonge walikuepo wachache ila sasaivi mhh zunguuka uswahilini ujionee au maospitalini mtu akiumwa akienda hospitalini shida kupata matibabu km huna pesa na pesa yenyewe ngumu kuipata utafanya kzi kutwa nzima hata ya kuifadh kdg hupati leo unatuambia serikali ya wanyonge kweli wanyonge wanakufa sana wanapokosa pesa za matibabu maana wanyonge wengi hawana bima ya Afya
Inasikitisha sana maelfu ya wasomi watoto wawakulima hawaajiriwi ,wanaajiriwa wanasiasa tu ,sasa bunge linajadili nin wakati wTu wakufanya kazi wapo barabarani wanaendesha bodaboda .Elimu ya miaka 3 mtu hajaajiriwa kichwani kuna kitu kweli alichosome au elimu ishakuwa maji..halafu unasikia taarifa .... Serekali wakumbukeni wanyonge jaman elimu zao zinaishia kufuga kuku
Umesikia hicho kimama pembeni kitoa tarifa et unasema haijajili kisa chenyewe kina mshahara hakijui tunapitia shida gan huku mtaan hawa wabunge ccm bas tu
Dyana Tanz , Uzalendo katika nchi yako; Naamini kuwa umembusu hata ukiwa bado ukàli mbali , Hongera kwa kusubutu kukubaliana na points zake za Mh. John Heche za ukweli. Stay blessed....!!!
John heche we n mmoja ya wanaharakati wangu saaaana yan- hua sikupingii sio mnafiki kama watu wengine# kila lakher jOhn ,sio pombe# .... Get well soon shujaa mnyaturu bedui- tundu lissu# huku kwetu singida tunaamin wew ni kama mzimu unaotenda maajabu- hakika mungu mkubwa saana - ✌
Serikali imeajiri watu wengi sana, kwa mfano TRA tu imeajiri watu zaid ya 500. Kada za afya washaajiriwa watu wengi sana tena sana. Hawa wabunge wengine wanatafuta umaarufu tu kwa watu na kudanganya jamii.
Kwan kuna mkataba uliingia na serikali kwamba ukimaliza kusoma lazima ikwajili?n kwa nn umesoma? Elimu yako inakusaidiaje? Sku zote elimu ikusaidie na syo ww uisaidie elimu
@@amevuai8724 hivi vitu vinaenda na stats sijajua anazungumzia ajila za namna gamn lakin huwezi ajiri watu 500 kwenye nchi ylinayotoa wahitimu si chini ya 50k kila mwaka... mfano mwepesi ni ualim bro... serikal haijatoa ajira then hat kwa waajiliwa aslimia kubwa wafanyakazi mishahara iko domant... tangu awamu ianze. Na usiseme umaarufu ungekua umelima mahind au mpunga yasingekutoka maneno haya maan hasara wanaijua wakulima.
Ifikie Mahali Maoni Ya Wapinzani myasikilize sio Kila Wakati mnatafuta defensive mechanism kwa Hoja zao ilimradi Ni za Kujenga nchi Yetu, coz nchi Ni ya Kwetu Sote. MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU BARIKI ULIMWENGU MZIMA.
Upinzani imara ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Nyie Chekeleeni tu upinzani ukiwa unakufa, just imagine mnaingia bungeni hamna mtu anaekosoa kila mtu anasifia tu. Aisee nchi lazma ita stuck.
Hawa wabunge wengine huwa wanaishauri serikali au wanaijengea chuki serikali kwa wananchi wake?? serikali kila leo inatoa matangazo ya ajira tunayaona na watu wengi tu wanaajiriwa, tusiwe wanafiki jamani kwa kusema uongo tena bungeni hadharani.
Ilo kweli sijui kwa nn hawajir, hususan vyombo vya kijeshi, police, uhamiaji na vyenginevyo wakiajir watu wanajir watu kidogo walostafu wengi na mwaka wa chaguzi ndo huuo unafika ss 2019 iyoo mi nasisitiza ajirin ili tume na walinzi kwenye nchi yetu tuwe na amani zaid, Tanzania oyee
Aisee inauma Sana mbunge umenitoa machozi tumesoma lakini tunawaua wazazi kwa mawazo kwajinsi walivyo tusomesha kwa shida na bado tunawategemea badala ya wao kututegemea Sisi.
Binti umesema kweli roho inauma binti yangu kamaliza chuo kikuu mwaka wa NNE saa anasota home ajira hakuna imebidi nimpeleke ajifunze kushona na digree yake
Mm ni ccm ila nanukuu point ya heche...tulikuta maskini wangapi....sasa wamepungua wangapi....kipindi kile pesa zilionekana sasa .pesa hazionekani...na kodi tumevunja rekodi
Ni kweri serikal yetu hii haitazami wala kufikikilia kuhusu watu walio hitimu wapo watu walosota zaid ya miaka 9 hawana ajira serikali yetu iangalie kwa hili