Sasa shangaa ni kwanin Diamond bado anawazid wasanii wa Kenya japo wew unaona pesa yenu iko juu kuzidi ya Tanzania na wanaziwa hadi na José chameleon wa Uganda ambapo Uganda iko chin zaid ya Tanzania na kenya
Hesabu rahisi, show kiingilio average 10k wakina diamond walikusanya watu dar uwanjani mwaka Jana wakafika watu karibu 4000 na walilipa kuanzia 5k maanake jumla ni million 20 + na VIP inafika Kama 30million. Waligawana sh ngap wasaniii wote? Unasema unamlipa mbosso million 45 Ina maana show yake walijaa watu zaidi ya 4500 ndio hesabu yako😂😂.... Nyie acheni ujinga