Тёмный

EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAZA UWANJA SIO SABABU" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 84 тыс.
50% 1

EXCLUSIVE: SALLAM SK - "DIAMOND Analipwa MILIONI 255 Kwa SHOO 1 / KUJAWAZA UWANJA SIO SABABU"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

5 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 122   
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 4 месяца назад
Nimependa kusikia kwamba bado mpo pamoja! Kazi iendelee!
@officialmapesa3618
@officialmapesa3618 4 месяца назад
Nani amegundua kuwa daimand amekopi uongeaji wa salam sk, gonga like twende sawa
@user-nh9hh3vq7d
@user-nh9hh3vq7d 4 месяца назад
Moyo wangu kwa duia ni diamond 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👊
@user-nr7zq2rr1r
@user-nr7zq2rr1r 4 месяца назад
Mziki wetu African mashariki bado tunasubiri,sana ju tunagawanika sisi wenyewe ndio West Africa wanatuburuza Kila pahali SI mziki SI mpira,ata afcon finally ilikua afro beat, Nigeria vs ivory coast wote ni west Africa
@user-oe5eg9ji4h
@user-oe5eg9ji4h 4 месяца назад
Oya mungu akupe upendo unaichi nawatu vizuri bila wewe pengine wcb tisingue mbali
@SmilingBeaver-rf6sf
@SmilingBeaver-rf6sf 4 месяца назад
Nimekuelewa sana menezi
@OHANGYAAMISI
@OHANGYAAMISI Месяц назад
Diamond to the world 🌎🌎🌎🌎
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d 4 месяца назад
Bongo Flava bila Mendez no Music No Business
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 4 месяца назад
Maswali ya BABALEVO yameshiba sana Na SALAAM YUKO SAWA
@MudyNyau
@MudyNyau 4 месяца назад
ASIEKUELEWA MENDEZI NI MJINGA AKILI HANA❤❤❤
@yohanepeter6800
@yohanepeter6800 9 дней назад
Unacoment utumbo na haujala
@Duanny-jm8fr
@Duanny-jm8fr 4 месяца назад
🔥🔥🔥🔥💯💯💯👑👑
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 4 месяца назад
Aisee
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 месяца назад
Ohooh ohooh yauyau #
@HusinaKarama-ti9jm
@HusinaKarama-ti9jm 4 месяца назад
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@hassansammy1076
@hassansammy1076 4 месяца назад
Nakubali mendez
@davidpeter8099
@davidpeter8099 4 месяца назад
We kama meneja wa msanii mkubwa diamond platnumz tuambie wasafi festival kwa nini haikufanyika kwa mkoa wa dar
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 месяца назад
Na wew km ni mashabiki mkubwa wa diamond utuambie Kwann wasafi festival haikuja mkoa wa shinyanga 😂
@ZINDUKAMUISILAMU30
@ZINDUKAMUISILAMU30 4 месяца назад
​@@cleveronlinemedia820😅😅😅
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 4 месяца назад
​@@cleveronlinemedia820Ukiona paka anauliz hvy ujuh nishabik wa wasafi na yupo dar kwhy anataka jibu Kwa uongozi Sasa cjuh ww nishangaz wa mond au vp maan umejibu kama mtu usi kuwa na akili timamu
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 4 месяца назад
Kwani dar ndiyo festival region? Acha ujinga
@misanamohamedi8438
@misanamohamedi8438 4 месяца назад
kwa dar ndo kitu gan,mbona mikoa mingi tu haijafanyika
@EzekielChija
@EzekielChija 4 месяца назад
Saut azipo sawa
@prosperabison1368
@prosperabison1368 4 месяца назад
🔥🔥🔥
@josephvenus3259
@josephvenus3259 4 месяца назад
💪💪🇹🇿🦁
@Wil_thug
@Wil_thug 4 месяца назад
Sk salamu nilisema wewe ni Suge knight wa bongo soko la muziki unali hold sana
@ruu6592
@ruu6592 4 месяца назад
Bora umwambie kujaza sio kufanya vizuri kumbwa jinga ilo
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 4 месяца назад
😂😂😂😂
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 4 месяца назад
Uyu jamaa namkubaligi Sana salam Yan..ichi nikichwa Sana Yan..anamadini sana
@nehemia397
@nehemia397 4 месяца назад
dah jamaa anaongea sana
@muduboy726
@muduboy726 4 месяца назад
Tv ya familia
@user-gx9hg3dp1e
@user-gx9hg3dp1e 4 месяца назад
Puakatoka mbio kaenda kupokea simu ya asma nini😂😂
@kwisa4899
@kwisa4899 4 месяца назад
mendez mgojwa
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 месяца назад
Kijibaba levo kimedhalilishwa bila kujua maskini ... Ati akiitwa show ya milioni 5 anafanya. 😅
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 4 месяца назад
We unayo laki apo?
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 4 месяца назад
Mnalisha sana watanzania matango pori yupi wakupewa dolla 50 sukari au selemani
@malianonicass7029
@malianonicass7029 4 месяца назад
Naina tahira ushakuja
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Endelea kulia
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 месяца назад
We mpuuz
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 4 месяца назад
Kaka mkubwa
@tinejuxfrancis729
@tinejuxfrancis729 4 месяца назад
Ila baba levo alivyo chomoka hapoo
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 4 месяца назад
Sio kweli ni uongo, inabidi kwenye show yake ili hela hiyo irudi inabidi waingie kwenye show wafu elfu kumi, bado hela ya promota hapo hajapata faida, acheni uongo bsna
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Leta ukweli wako
@user-lp5bj3vi3w
@user-lp5bj3vi3w 4 месяца назад
Mendez kili kubwa
@lanezboy7016
@lanezboy7016 4 месяца назад
Wanakelele sana hawa mbwa kwanza hotel ipo wap ,ndege ipo wap 😂😂😂😂 ila wasaf
@eliashibundabalinze2754
@eliashibundabalinze2754 4 месяца назад
Unataka ndege ukapande? Unataka Hotel ukalale? Endelea kupiga kelele
@omariselemani6578
@omariselemani6578 4 месяца назад
Anayekubali huyu jamaa kipara ni mnafki Like hapa
@ernestcharles4288
@ernestcharles4288 4 месяца назад
Sasa mnafkia kamnafkia nani?? Acheni chuki na m2 😂😂
@user-jq9rj4dm5u
@user-jq9rj4dm5u 4 месяца назад
Acheni chuki binafsi
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 месяца назад
Stories ndo hizo hizo kila siku population sio Kigezo mana kuna Wasanii wanatoka viji Nchi vidogo na wanajaza ma Arena kila kukicha
@rereshap9416
@rereshap9416 4 месяца назад
Tuambie wasanii gani hao na kutoka viinchi gani ?!
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 месяца назад
@@rereshap9416 Bob Marley anatoka Jamaican population yao ndogo, Shaggy, Sean pol Angelique Kidjo Benin na anashinda na Ndio Msanii anaeongoza kwa kuchukua Grammy nyingi Africa Marehemu Oliva Ntukuzi Zimbabwe alikua anajaza Ma Stadium’s Marekani Ulaya, Sonia Jorbat from Gambia kila siku anajaza ma Stadium’s Ulaya na Marekani na wote hao Population zao ndogo nje ya Nchi zao na music yao wanaimba Kilugha chao mana wataanza kusingizia Kingereza kuna Salf Keitta from Mali Faotmata Diwara Mali tena Salfu Keita na Youss Ndoor from Senegal ndo ma legendary from African washajaza Show zao Duniani kote na wanaimba kwa Lugha zao, Tukubali tu kama Mziki wa Bomgo bado na sio kutafuta Sababu zisokua na Mashiko kila siku
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 месяца назад
Hlf kuna wasanii wakubwa tu wa huko nje na wanafanya vizur wana struggle kuijaza 02 arena
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 месяца назад
@@rereshap9416 Sonia Jorbat Gambia, Fortunata Diwara Mali Alipha Blonde Cote waimbaji wakubwa wa Jamaica karibia wote Angelique Kidjo Benin hao wote hawana population’s kubwa Nchi zao wanaoishi Ulaya hau Marekani na wanazaja Ma Stadium’s Ulaya na American, kama Angelique Kidjo ndo Msanii anaeongoza kwa kutoka Africa mwenye Grammy nyingi kama Population Mettar basi Burnboy kishafanya Show Ireland Arena watu Elfu 22 na Wazungu watupu walijaa mana Nchi yao wabaguzi Burnboy huyo huyo kishajaza Greece arena watu Elfu 18 na wote Wazungu hakuna Wanaijeria hapo imefika time tukubali tu Tanzania or EastAfrica Music wao bado kabisa
@nicksonmwaringa144
@nicksonmwaringa144 4 месяца назад
Sallam Sk , vp album kubwa ya Simba na O2arena ni lini mzee baba maana wanaijeria wanatukandamiza sana
@SilaMinanda
@SilaMinanda 4 месяца назад
Propaganda za mziki tu, Diamond hana kitu
@pengefeza2563
@pengefeza2563 4 месяца назад
Tunajivunia Diamond huku sisi. Wanaigeria ni wengi sana huku nayo ni sababu kubwa ina wa push.
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 месяца назад
​@@SilaMinandahufatilii muziki wew propaganda mtu anachukua matuzo makubwa anakutana na mastaar weng wa nje nyimbo zake wanajirekodi mastar wakubwa wa muziki mpira na wengine hivi unamdanganya nan sasa😂😂
@SilaMinanda
@SilaMinanda 4 месяца назад
@@cleveronlinemedia820 Taja hapa kajirikodi star gani mkubwa wimbo wake?
@jocktanchristopherokinyi
@jocktanchristopherokinyi 4 месяца назад
​@@SilaMinandaVictor Osimhen pamoja na Jesse Lingard wamekua wakijirekodi wakicheza wimbo wa Diamond na Chley unaitwa "Shu"
@Mouffassa
@Mouffassa 3 месяца назад
Punguzeni makelele ongeeni kwa formula fanyeni noise reduction , Kuna mda mnaongea kwa pamoja mnakera
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 4 месяца назад
uhakika
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 4 месяца назад
Salam muongo Sana Arena ni muhimu kujaza diamond Hana uwezo huo
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 4 месяца назад
Sasa jibu Tyla kachukuwa Grammy kashajaza Arena?
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 4 месяца назад
​@@MrTop-wj7nobonge la jibu
@josephmorris8194
@josephmorris8194 4 месяца назад
Jibu na nusu
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 4 месяца назад
​@@MrTop-wj7nohamjui hta hyo Tyla nd kwnz anamskia Leo
@IbrahimMohamedally
@IbrahimMohamedally 4 месяца назад
Analipwa Dola laki mbili Kwa shoo
@masiradavid
@masiradavid 4 месяца назад
Dollar elfu mbili kaka....sio laki mbili😅
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 4 месяца назад
Kinywaji milioni 40 acheni kuzinguwa
@user-ht7ik5wy8h
@user-ht7ik5wy8h 4 месяца назад
Unachekesha sana we mpumbavu...Diamond ana nyumba hapa dar karibia 35 kama haujui. Kuna wakati kaa kimya kama hujui vitu mzee. Au anakuchanganya sababu amepanga pale anapoishi mpumbavu wew
@Thomas-g8f
@Thomas-g8f 4 дня назад
pale mwanjelwa mbeya tz tunasikilizana kwauzur
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 4 месяца назад
Diamond aki hamia Marekani ndio mwisho wa mziki wake hakuna anae poteza muda kumsikiliza huku labda wa Kongo, na wakenya
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 4 месяца назад
Kuna wa bongo,zambia africa nzima wapo kule we jichetue eti kongo na keny
@john_1trader
@john_1trader 4 месяца назад
Nyie watz hamjivunii kuwepo diamondi taifa lenyu i wish angekuwa mkenya
@Amanivicent-lp4sk
@Amanivicent-lp4sk 4 месяца назад
Aamie marekani kwan Tz hawezi kuishii acha pigo za ajabu ww
@rereshap9416
@rereshap9416 4 месяца назад
Kama weweee humsikilizi wako wanaomsikiliza na ndo maana hapa TZ hana mpinzani ? Na kama humfuatlilii kwenye social media hii umefuata nini mpaka uka comment ? HOVYOOOO !
@chapombe_mlafi
@chapombe_mlafi 24 дня назад
umeishiwa point
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 месяца назад
Mijitu ya tanzania baadhi uwa inaroppkaga tu haijui ht biashara ya mziki
@erickkagisa833
@erickkagisa833 3 месяца назад
Huyu jamaa ni mnyamweZi kinyama
@malimanyanja562
@malimanyanja562 4 месяца назад
200 apo Mie nimeshu nimefka safali njema ndg zangu
@JustinMkanje
@JustinMkanje 4 месяца назад
Siyo hazi yake hadhi yake b 20
@user-nx2vj4wd2x
@user-nx2vj4wd2x 4 месяца назад
Uwo unafki salam sk utakufya na humongous wako...
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 4 месяца назад
Diamond kazungukwa na watu wenye akilii kama sallam sk
@user-yu3mf6em1v
@user-yu3mf6em1v 4 месяца назад
Yaan mondi na meneja wake wanaongea lafudhi moja
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf 4 месяца назад
Huo niuongo😂😂😂😂😂
@user-ht6wt6kt5f
@user-ht6wt6kt5f 4 месяца назад
Nyie iv wasafi festival imeishia wap jamn??
@zuli.comedy.
@zuli.comedy. 4 месяца назад
Viwanja haviruhus watu kufny show
@user-ve1xm7gn9y
@user-ve1xm7gn9y 4 месяца назад
Sallam Sk kama Yuda alivyomusaliti Jesus... Sallam Sk amemusaliti Diamond kwa Harmonize State House...⚠️⚠️⚠️🇹🇿🇹🇿
@ChordCrafted
@ChordCrafted 3 месяца назад
Duh kweli
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 4 месяца назад
Blaa blaa blaa uongo mwingiiii
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 месяца назад
Kuhusu arena unatudanganya
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf 4 месяца назад
Arena ipi amewahi kujaza wewe para unauongo😂😂😂
@zanzibarboyzanzibar509
@zanzibarboyzanzibar509 4 месяца назад
Inategemea anafanya wapi hiyo show kwa Zanzibar hajawai kulipwa ata mIlion 50
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 4 месяца назад
Una uhakika?
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 4 месяца назад
Ushawahi muandalia show wewe kirandage?
@hudhaimarajab9103
@hudhaimarajab9103 4 месяца назад
Kwa Zanzibar m255 😂 ni unafiki wakowapi ao watu tiket elfu 10 😂 halaf ifike m255 😂 maan izo shoo za Zanzibar watu elfu 3 hawafiki 😂 apo hajapata muandaaji wa shoo watu wa promotio 😂 mameneja wa msanii et m255 😂 makutu ya mbuzi
@suleimanhamza9014
@suleimanhamza9014 4 месяца назад
Unakaza fuvu akili kisoda😂 watu hawategemei get collection wanaangalia wadhamini ndy wanaotoa pesa kwa ajil ya kubrand bidhaa zao.
@yasnshaban9827
@yasnshaban9827 4 месяца назад
​@@suleimanhamza9014akili kubwa
@omariselemani6578
@omariselemani6578 4 месяца назад
Acheni ujinga nyie Eti dogo nasibu aje kuishi usa so mnafiki usa ni kama tandale, haana uwezo wakuishi huku huyo
@user-bt9sm4lh8p
@user-bt9sm4lh8p 4 месяца назад
Acheni kick
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 4 месяца назад
Diamond hana mvuto tena anabidi atafute mbinu mpya na mtazamo mingine, na hiyo idadi ya pesa anayotaja huyo jamaa anadanganya huyu jamaa😮
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 4 месяца назад
Yn 😂 yn kuna wt hamuna akili sn hn mvuto wa nn ss mwenzako kashajiwek vizur n kuek pes kubw ya shoo ili pte muda wkupumzika ss ww kichaa ndo unroppk tu
@user-lr7fj3xc4s
@user-lr7fj3xc4s 4 месяца назад
Mondi ni mondi
@hudhaimarajab9103
@hudhaimarajab9103 4 месяца назад
Rema miaka 4 😂 saiv shoo yke b 1
@maulidjuma8208
@maulidjuma8208 4 месяца назад
Koo m250 ni ndogo kwako ok hongera
@ernestcharles4288
@ernestcharles4288 4 месяца назад
Sasa uyo ni rema mbona kiba na konde hata 100M hawapati 😂😂😂 mondi kajitahidi sana
@deogratiousmerchiory5935
@deogratiousmerchiory5935 4 месяца назад
Tumewachoka bhanange same story nothing new 🚮🚮
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 4 месяца назад
Nyumba yenyewe hana alipwe mia 250 pumbavuu kabisaa kiki za kisenge hizoo
@user-kg6km2gz2h
@user-kg6km2gz2h 4 месяца назад
Wewe unayo mbwa wewe
@cleveronlinemedia820
@cleveronlinemedia820 4 месяца назад
Ko na hiyo unakataa tena kwamba alipwi M250 mbn na page kubwa Huwa zinatoa orpdha za wasanii na yeye yumo wanaolipwa hela nyingi kwenye show au ndo umeisikia Leo hapa
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 4 месяца назад
Haijui milioni 255 huyu jamaa
@josephmorris8194
@josephmorris8194 4 месяца назад
Wabongo wavivu wa kutafuta information ila wanachoweza ni kubisha na kuponda vyao ila angetajwa msanii wa nje akuna hata mmoja angepinga
@sulleymernmannarah7930
@sulleymernmannarah7930 4 месяца назад
Atakua ameskia Leo hyu au simu n ya mkopo ilkua imefungwa zlipotolew ordha 😂​@@cleveronlinemedia820
@helenahiro1402
@helenahiro1402 4 месяца назад
YOU ARE NOT A TRUSTED PERSOM SALLAM.YOU HAVE ONCE CROOKED ME, YOU AND UOUR TEAM ARE USELESS, WOTE WEZI, REMMEBER PRODUCTION YA MBOSO . SOONER OR LATER PESAZANGU MTA LIPA, WEZI NA WAONGO SANA
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 4 месяца назад
Watanzania wajinga tu achaneni nao ninyi fanyeni kazi yenu
@RodrigueHabarugira-zj7uq
@RodrigueHabarugira-zj7uq 4 месяца назад
Ivi naile amefanya Zinziba kalipwa 😂
Далее
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 7 млн
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
Просмотров 154 млн
How Many Balloons Does It Take To Fly?
0:18
Просмотров 154 млн