Тёмный

Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 1 

YahStoneTown
Подписаться 397 тыс.
Просмотров 141 тыс.
50% 1

#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidS...
Jina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania.
Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia baada ya kujua pia tunafanana kwa mambo mengi kwa kweli. Gabo ni MTENDAJI, kuongea anaongea pale anapokua huru na mazingira ila mara nyingi huwa hasemi sana bali anatenda zaidi. Toka nimemsikia mara ya kwanza mwaka 2016, kijana huyu amekua akishinda tuzo mbali mbali na kutengeneza base yake vizuri kabisa. Na ukimuuliza mtu yoyote anayefuatilia mambo ya filamu kuhusu yeye basi hakika utaskia kipaji chake kikizungumziwa pia. Tuzo mbali mbali Gabo ameziokota sana na mpaka kuna kipindi ilikua inasemekana kwamba yeye ndo ‘mrithi’ wa Marehemu Steven Kanumba kitu ambacho kinaweza ikawa motivation au viatu vikubwa sana kwa miguu yake. Swali ni je, anajua watu wanamuona huko?
Kwenye kikao chetu zaidi mimi nilitaka kumfahamu haswa, kumfahamu yeye binafsi na familia yake, nilitaka kufahamu kinachompa raha na karaha. Nilitaka kujua alianzia wapi, nilitaka kujua starehe yake, mipango yake, mitihani yake. Nilitaka kujua kuhusu jina lake, kuhusu kipaji chake, kuhusu dini na mahusiano. Kuhusu industry na ushindani wa ndani na nje na Sanaa kwa ujumla. Na nashkuru alinipa time yake na yangu matumaini humu utapata chochote kitu cha kukufunza jambo. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 232   
@rosemofuga6313
@rosemofuga6313 4 года назад
Yaani salama huwa napenda sana maswali kwa wageni wako, yaani huwa una maswali fulani hivi amazing l real like it
@ujudiabdull9442
@ujudiabdull9442 4 года назад
Kwanza nimependa matching blackblack mmetokelezea ....pili Salama nakupenda mana maswali yako huaga yanachangamoto hufkirii km utaulizwa wajipange..huchoshi love it..
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 года назад
One of my favorite INTERVIEWER-Salma Jabir, tafsiri sahihi ya Interviewer
@alush3138
@alush3138 Год назад
Nampenda gapo anamaneno yahekmaa
@hamenyayohanakasase5836
@hamenyayohanakasase5836 4 года назад
Bonge la interview asee, huwezi kuchoa kutazama. Kwa kweli Salim (Gabo) ni mwana Kiswahili, na muitikio wake kwenye maswali yako Salama yanafanya mahojiano yavutie. Hongera Salama kwa mahojiano ya kistaarabu.
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 года назад
Gabo ni actor mkubwa asiye na majigambo atafika mbali..anajibu maswali vizur sana🤗
@Officalnaph
@Officalnaph 4 года назад
BADO HAUMJUI GABON WEWE
@mohgamhooga1270
@mohgamhooga1270 4 года назад
Napenda maswali yako kwa mgeni wako salama,,,,,ni maswali yeny uhai ivi,,,,,na hasa majibu yaendane na maswali,,,big up kwenu,,,Allah awahifadhi insha Allah
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 года назад
Gabo nampendaga hasa ngozi yake ni Natural macho yake ndiyo ya nanivutiaga zaidi na huo urefu wake sasa 👌
@annemakaka210
@annemakaka210 3 года назад
Nami napenda kicheko, busara na hekima anapojibu maswali. Yaani yuajibu kiufundi kabisa. Kudos from 254
@evnglst.rahniel5238
@evnglst.rahniel5238 4 года назад
Good convo salama na kila mgeni wako unaemualika ... Special applause to you mamaa, and whole crew of yours ... Nawapenda na ninapenda kipindi chako ...ni fireeeee,
@zamamuuhamisi6654
@zamamuuhamisi6654 4 года назад
Yaan katik wasanii wa kiume ninao wapenda GABO jmn uko vzr hngera sana dada salama kwa kumleta huyu mtu
@twalibutwalibu5252
@twalibutwalibu5252 3 года назад
Mtangazaji bora wa kike wa mda wote.... Kwa muongo wa pili Sasa
@OmanOman-gc1zu
@OmanOman-gc1zu 4 года назад
mungu akupe afya njem na umri mrefu ln shaa Allah.. najifunza mengi sana tena sana.. 🌹🌹❤️❤️
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 года назад
Salamaa fanya uje unihoji na mimi mjuba bEshuu mii nna saloon ungujaa
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 года назад
Salama Tuletee manGe kimambii yaani najikuta nampend BURE😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@aishakidotigakii6157
@aishakidotigakii6157 4 года назад
Salama looks like Ellen
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 4 года назад
Yeah had kuongea
@ebrohmedia
@ebrohmedia 4 года назад
No is Ellen looks like salama
@kh3rirn398
@kh3rirn398 4 года назад
Yan body, face, hairstyle sometimez na utomboy pia
@islandgirl4578
@islandgirl4578 4 года назад
Exactly
@zablonrobert1522
@zablonrobert1522 4 года назад
@@ebrohmedia si ukubali
@shariffabdallah4669
@shariffabdallah4669 4 года назад
Baadhi ya waandishi wadogo waige mfano wa Salama ktk kuhoji ili wakue kitaaluma,haichoshi kumsilikiliza Salama anapohoji kama inavyochosha baadhi yao,kuanzia jinsi ya kuhoji mpaka lafudhi zao zinachosha kwani hawajui tofauti kati ya L na R....Ahsante Salama........Ombi...tuletee na viongozi wa dini
@POGtv-xp9ee
@POGtv-xp9ee 4 года назад
Daaaah my brother gabo anajibu maswal so nice one day Nita fanya kazi I believe and I know
@celestin4684
@celestin4684 3 года назад
Duuu Gabo mi nakukubali sana tangu zamani. Kwenye *Bado natafuta* Nakubali sana Sara kwa kumuita Gabo
@ajaxjunior4151
@ajaxjunior4151 3 года назад
Good interviews, good questions, good answers Mimi ninapenda hivyo vyote cause ninajifunza vitu vingi sana
@mzulunatal8062
@mzulunatal8062 4 года назад
Bro #Gabo huku kuna kitu kinaitwa #panguso, ndio habar ya mjini kwa sasa, ikifuatiwa na shilingi. Natumai ukimya wako sio wa bure, bila shaka kuna bomu unaliandaa, tupo tunalisubiria kwa ham, najua hutatuangusha. Fikisha salam kwa bro Ray, mwambie tumechoshwa na kufoka foka, abuni style mpya ya kuvutia mashabiki. Watu wanapenda kuona mambo halisi yanayojir uswahilini sio maofisini tu kila siku
@misslovria
@misslovria 4 года назад
Jaman Gabo amenifanya nicheke mpaka basi love u so much GZ
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 года назад
Ellen wa Tanzania Salama jabir ❤🥰
@CoachHafidh
@CoachHafidh 4 года назад
Kiswahili kizuri jamaa anaongea...alafu nidhamu kubwa ya maneno yake mwanzomwisho
@yassinkassim5241
@yassinkassim5241 4 года назад
Yaani kingereza hakuna kabisa nimependa sana
@mwanajakalatv8656
@mwanajakalatv8656 2 месяца назад
Huyo ni mtoto wa kitanga.. So, Ki​swahili lazima kinyooke...@@yassinkassim5241
@alexiamruu7581
@alexiamruu7581 4 года назад
Throug your interview i learn alot and get courage where i have fall.....Big up kwako sis Salama💋💋💋
@elyzahlizzy7674
@elyzahlizzy7674 4 года назад
I love gabo so much..🍎
@richardmollel2032
@richardmollel2032 3 года назад
Gabo baba lao salama vipindi vyako navikubali sana iyani upo ameizing
@charlesdamas1863
@charlesdamas1863 3 года назад
Salama leo umepatikana Maana bro anaongea kama ana rap
@youngtuso3048
@youngtuso3048 4 года назад
Sio muigizaji niliyemtazama Nilipokua mdogo kama SINGLE MTAMBALIKE.. JACOB STEPHEN AU NATASHAA MAMVI lakini Nimemjua kama Muigizaji Bora Katika Generation Yake... Namkubali Sana Gabo...!!! He is One Of The Best Actors in Tanzanian film...!!!
@fathumramadhan7567
@fathumramadhan7567 3 года назад
Mambo vp salama napenda sana vipi vyako na uko sawa one love watching you from Qatar Doha
@aminahamis9377
@aminahamis9377 4 года назад
Hi salam I love ur show never miss it love from Dubai I can’t wait see wema sepetu or Diamond Platnumz on ur show
@mohammedmaulana5289
@mohammedmaulana5289 4 года назад
Amina karibu Sharjah
@aminahamis9377
@aminahamis9377 4 года назад
mohammed Maulana asntee
@barryjeremiah1099
@barryjeremiah1099 3 года назад
Sure diamond platnumz akujeeee
@reenlis7665
@reenlis7665 4 года назад
It will be best if we get to know your story salama.... so its NA SALAMA
@frankngereza6373
@frankngereza6373 4 года назад
Kazi nzuri sana napenda kukufatilia toka zamani dada
@fidelisraymond940
@fidelisraymond940 4 года назад
Lini utamleta 20% hapo jamaa ana mengi ya kuongea pls dada salama
@vailethamin8439
@vailethamin8439 4 года назад
Mnapenda udaku😀😂etu anamengi yakuongea
@jamesgovela4768
@jamesgovela4768 3 года назад
Kabisa yaaani, tuletee na 20%
@kazunguthoya8800
@kazunguthoya8800 2 года назад
Watching it today although watched others before but this is my fav with my fav artist so far I enjoyed
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
Lungembaaa hiyooo!!!!wazee wa matukio machifu hataree sana
@maryamhamad5158
@maryamhamad5158 3 года назад
Kumbe ni wa 3 ndio maana ana akili mingi like me
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 года назад
Namkubali sana Gabo , Intevie imetulia👏👏👏
@saidahj2543
@saidahj2543 4 года назад
My favourite actor...Mr Brown
@Emmy22655
@Emmy22655 4 года назад
Love u so much form sauza Africa my salama .😘😘😘😘😘😘😘really I like u
@omarmaryam9889
@omarmaryam9889 3 года назад
Duh gabo hadi nakupenda yan unafurahish kwel
@remmyrahma841
@remmyrahma841 4 года назад
Salama mm huchelewa sana ila sipitwi kabisa gabo namkubali hana sifambaya am Remmy from Mombasa Kenya
@beshuuambarali4960
@beshuuambarali4960 3 года назад
Yaan hii interview ni Yaajabu Gabo hana kuekti kiingrezaa ata kidog so awo wengne wangkuja tusingeelewana.
@juniormushi8178
@juniormushi8178 4 года назад
Gabo ni mnyamwez xanaaa 🙌🙌🙌🔥🔥
@faswilatniyonkuru3861
@faswilatniyonkuru3861 4 года назад
Dash my favorite actress Gabo zigamba
@husnazahoro7082
@husnazahoro7082 4 года назад
Salama nakupenda sana mm ni shabiki wako na Gabo ni msanii wangu
@makamefaki9513
@makamefaki9513 4 года назад
Kipindo kiko poa sn mung akujalie mafanio mazur pia gabo namkubali sn big shara kwake 👊
@magicfighter5475
@magicfighter5475 4 года назад
Wooooh big up dada salama huyu brooh namkubali sanaa
@therealmsopa
@therealmsopa 4 года назад
Aire Kama Hailesalasie 🔥🔥 Gabo Katisha
@charlesyapuka4992
@charlesyapuka4992 3 года назад
Kwani Da SALAMA BROTHER K usha mwita😀😀😀😀😂😂
@seventcentlothy105
@seventcentlothy105 3 года назад
Daaah!!broo kuna kitu kimoja ivi haukipendi sana ktk life lako na ni kweli kinakera sana ZARAU daaah!!! Ni kitu kibaya sana icho nami no 1 icho big up broo
@reyshard3770
@reyshard3770 3 года назад
Ur my favourite salama😍
@narcosmaoze9486
@narcosmaoze9486 4 года назад
YahStone Town ♥️♥️
@lizziesylivester3159
@lizziesylivester3159 4 года назад
Nakuelewa Zigamba👑
@hajiramadhani2699
@hajiramadhani2699 3 года назад
Nakukubali Sana dada anipa unafanya kazi nzuri Sana Mimi natamani pia nifanye kipindi hichi na wewe ninamengi ya kuismbia na kuifundisha jamii
@mwajabumalekela4511
@mwajabumalekela4511 3 года назад
Nzuri saana!!! Ila natamani nipate jina la movie uliyokuwa na JB kwny kampuni ya usafi ...... jina tu jmn!!
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 года назад
Asante sana.kwakuturetey gabo zigambo tureteya na Rammy..mu somaria
@charlesmabena954
@charlesmabena954 4 года назад
Daaaaah Nampenda Sana Gabo Zigamba/ Salim ❤️❤️❤️❤️
@vanpower9798
@vanpower9798 3 года назад
Gabo uko vzr 💪💪
@samkiria450
@samkiria450 4 года назад
Jamaa akili nyingi Sana 🔥🙌
@charlesmabena954
@charlesmabena954 4 года назад
Daaaaah Jamaa Namkubali Alafu Anapenda Sana Majani Yaaaan Kitu Cha Jamaica Yaaaan Kwa Bongo Wanaita Kitu Cha Chuga
@scripturetz1056
@scripturetz1056 4 года назад
From Tabora unyamwezini naichek show APA #madsoft
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 4 года назад
GABO ni mtu safi sana... Nilisoma naye pale Ipogolo, Iringa na tukala maharage pamoja.... BigUp sana mzee 👏.... Watching from Vereeniging, South Africa 🇿🇦
@stevenmeless9734
@stevenmeless9734 4 года назад
We katarina karatu njoo ukuu
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 года назад
MHEHE kumdharau ufanye KAZI🙆🙆🙆kamwene be mwagito
@furahasalim5962
@furahasalim5962 4 года назад
nakipenda hichi kipindi mm
@AlexKarisa
@AlexKarisa Год назад
Tunakupenda sana Gambo likini moves hatuzipati lete move bwana.
@didahbebe3866
@didahbebe3866 2 года назад
Hahahahaaa wallahi this dude is so good ma sha allah anakipaji kikubwa sana namkubali kinyamaaaaaa
@baruthdickson9463
@baruthdickson9463 4 года назад
Nakubali sana kazi zako
@deograssymwavipa6887
@deograssymwavipa6887 4 года назад
Nakubari sana gabo
@zailulu7781
@zailulu7781 4 года назад
Salama mwite na wema please
@rashidinyakanyaka5992
@rashidinyakanyaka5992 4 года назад
Kpind kzur na nafuatilia kwa kuwa nakufuatilia salama kitambo sana kabla hata ya mkasi
@ramadhanimbegu2384
@ramadhanimbegu2384 4 года назад
Nice interview from nice guys
@salehsalmin1972
@salehsalmin1972 4 года назад
Big show big up my sister
@shadrackngovano5747
@shadrackngovano5747 8 месяцев назад
Unyamaaa sana
@MctMct-tt4rq
@MctMct-tt4rq 4 года назад
NAMKUBALI SANA GABO NI MTU MSTARABU NA HAPENGI UNAFIKI NA HAPENDI KUONEWA NAMKUMBALI SANA
@mohamedhussein-qb5sg
@mohamedhussein-qb5sg Год назад
big up salama and gabo ..much love from Kenya
@mwljohnray1725
@mwljohnray1725 3 года назад
Nakielewa sana hichi kipindi, Naomba tuletee Mtitu G wa Game first Quality
@elizajuma5616
@elizajuma5616 4 года назад
It was an Amazing interview ever.... Gabo your the best indeed
@dorisnaboti9902
@dorisnaboti9902 4 года назад
Napenda sana kz za gabo hasa kapuni niliipenda sana naomba utoe move hii ya kapuni tupate yote pale nilipata vipande
@salamasaid6905
@salamasaid6905 3 года назад
Ni kweli upo vzr inshaallah
@salamasaid6905
@salamasaid6905 3 года назад
Uyo ni Kk yetu mzuri Salim na ss salama tupo vizuri mzuri kwa sura na tabia ndio siraha kubwa mungu akusmamie inshaallah
@salamasaid6905
@salamasaid6905 3 года назад
Yani zegamba ni mtu kipaji cha uwongozi tena ni mkweli ana mamno ya zuruma mbska Queen darin anamsfia yani anasema kuwa ana longolongo kwa wema wake na mungu atampa uwezo zaidi inshaallah
@linusyusuph4583
@linusyusuph4583 4 года назад
Safi interview.... tuletee baba levo now
@MctMct-tt4rq
@MctMct-tt4rq 4 года назад
CHIZI YULE AJEARoPOKE😅😅😅😅
@rosemaryngowo2327
@rosemaryngowo2327 4 года назад
Aje aturopokee chizi yule
@kantizehubert4910
@kantizehubert4910 4 года назад
Gabo namkubali
@maliharajabu8917
@maliharajabu8917 4 года назад
My favorite actor
@sweetnesskway9794
@sweetnesskway9794 4 года назад
Nakuelewa sana asee
@haidarjuma8302
@haidarjuma8302 Год назад
Mnyamwezi snaa
@mactongathe179
@mactongathe179 4 года назад
iyo Background Soundtrac ya kamaa King Zillaaa vle (AAAAh KUMBE ni CHALI..INCREDBLE &Msamiati) il nfanya kufuatlia kpndi. Salama kama vp nawwe jfanyie interview! cjui nan Awe Host apo! kat ya Abby Hstn, Ellen, Opra, Olivia Munn, AU BI CHAU? U R THE BEST AISEE
@vladimirlenin200
@vladimirlenin200 4 года назад
Kitu nachopenda kwenye interview za Salama hasa hii Yah stone town ni yuko open kuuliza watu tofauti maarufu maswali na hafichi kitu..
@grolyqueen5833
@grolyqueen5833 2 года назад
Misemo ndo mahala pakee big up sana gabo
@idavastaborn1818
@idavastaborn1818 4 года назад
1.zahir zorro 2.wananjenje,kilimanjaro band 3.mchizi mox 4.bizman 5.ferooz(ile ngoma ya ndege mtini waliitengenezaje mnk ina ubunifu wa juu)
@pheninhojr5875
@pheninhojr5875 4 года назад
Tema Limeeleweka Lakin??
@nadinebashizi5962
@nadinebashizi5962 4 года назад
Nampenda saana Gabo toka DRC Congo
@madarakashoka472
@madarakashoka472 4 года назад
🌍
@chikotosammy3891
@chikotosammy3891 4 года назад
Big up Madam salama... Shikamoo tena heshima yako ..... Napenda unavyo fanyia watu mahojiano.. nami napata kujifunza vitu vingi sana... MUNGU azidi kukulinda na kukubariki dear...+254🎧..
@mahmudsalim9140
@mahmudsalim9140 4 года назад
Salama mambo vipi? Salama Jana sikukuona mlimani city kwa I AM ZUCHU? Naomba utulete kigwendu hapo tumsikiye na yeye. Nitokeya Mombsas Kenya
@Amneamne-qi2du
@Amneamne-qi2du 4 года назад
Salama Masha'allah nampenda sio mnafki msema kweli
@allysood8003
@allysood8003 4 года назад
salama i wish kuona salama na wana siasa yoyote bongo mkali mwenye impact kwa jamii yetu
@fayjaychriss9156
@fayjaychriss9156 4 года назад
Duhh Namkubali San uyo bro
@maansaitoti3712
@maansaitoti3712 4 года назад
Nice show 🔥🔥🔥
@Emmy22655
@Emmy22655 4 года назад
Wooooooooowwww 9this man is so cut😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@johnwilliam8553
@johnwilliam8553 3 года назад
Ongera sana salama
@yustinageorge1771
@yustinageorge1771 4 года назад
Ww kaka gabo nomaaa
@mohamedmunisi6705
@mohamedmunisi6705 2 года назад
I like this salama u r the best always
@dianakalinga6420
@dianakalinga6420 4 года назад
Nimeipenda apo kwenye mjani 😂😂😂😂
Далее
Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 2
15:52
Просмотров 49 тыс.
skibidi toilet multiverse 042 Trailer
01:57
Просмотров 2,8 млн
Lost LOVE 💔//BabaOlivia Episode 15
33:08
Просмотров 285 тыс.
SIYABONGA MOVIE ( GABO ZIGAMBA )
51:03
Просмотров 171 тыс.