Tuwe wakweli tanzania akuna demoklasia yakweli aiwezekani ccm tu watawale pekeyao inchi nandio wanatuletea umasikini awa ccm watu wamataifa mutambue tanzania aina demoklasia yakweli
Maelekezo kutoka juu ni juu ya wasafi na huyo ni Diamond anajaribu kulipa kisasi 7bu mlimkataa kipindiflani alikuwa anawania tuzo kubwa duniani. Hakuna juu nyingine zaidi ya hyo
@@zebedayokatamaduni9676 we kupe nn inamaana hujui. Sio chadema ni wanaharakati akiwemo Lisu hawakupenda Diamond anavyosaport ccm alafu aje kushinda tuzo za Bet mbele yao walimnyuka nahisi hadi leo anaugulia mshenzi,Maagizo kutoka juu kwa pale Wasafi unadhani yangota kwa nani?
We ndiyo mjinga wa kutupwa, Vitendo vya mauaji vya Magufuli ndivyo vinavyomhukumu, Lisu kabla hajafa akaonyeshe ulemavu uliosababishwa na Makonda kwa amri ya Magu, Mungu aliamua kutoa hukumu hapax2 duniani, ili watu wajifunze "Ubaya ni deni" Mungu humlipa yeyote aliyetenda ubaya.
Kidini haipendez kumsema marehemu yeyote vbaya.c kwa waislam c kwa waristo.Nashauri kama itawapendeza hembu tusiwe tunawazungumzia marehemu vbaya.tuwaombeeni dua walipo kosea kwa mapungufu ya kibinadam mungu amsamehe.chakufanya kunamaziri waliyo yafanya na yanatija kitaifa yaendelezwe walipo kosea tuyaache.cvema hapaongelewi siasa au jambo ni marehemu flan ni baya nimbaya hayupo sasa na hawezi kuamka kujibu hizo tuhuma inakuaje!!!?
Kwani bila kutajwa yeye siasa haziendi? Kuna viongoz wangapi ambao nimarehemu mnataka kusema wao walikua ni watakatofu na wele walio hai hawana walipo kosea?upande wangu tukiacha mungu hapendi.kibinadamu tuangalie familia zao wanajisikiaje kwakuondokewa na mpendwa wao halafu watoto wazaz wanasikia kila siku mpendwa wao anasema vibaya wanajisikiaje hatulioni hilo!!?au mnataka kusema sooote niwatakatifu hakuna mkosefu nani c mkamilifu!?au nyie hamtakufa je familia zenu wakiwasikia watu wanawanenea vibaya watoto wenu na familia zenu watakisikiaje?sikatai mana hakuna mkamilifu sasa kunamana Gani kila uchao flan alikua mbaya mflan alikuabaya.tumuogopeni mungu kwamtazamo wangu naona sisawa tujengeni hoja Kwa Yale ambayo tunaona hayapo sawa.matehemu hao washaenda mbele za haki tuwawache wapumzike Kwa Amani🤲🤲🙏
Ajenda ya huyo bwana haiwezi kamilika bila kumtaja Magufuli YAFUATAYO yanawezekanaa... A. Inawezekana anatumikab B. Labda anapsychogical effects, lisasi zile hata kama ni feki lazima zilimuathiri.
Yakikukuta utamtaja uyo marehem mpaka cku na ww unatokwa na roho Kinachotakiwa ni kutengeneza kesho yako isemwe vzur Unataka uuwe watu. Udhurumu haki zao alafu utajwe Kwa wema?
Kama ulifanya ubaya kwenye uhai wako usitake uongelewe vzr ukiwa maiti ubaya upo na unaishi na haufutiki kwa gharama yoyote ile Kama mtu alikua mbaya ataongelewa kwa mabaya mpk mwisho wa dunia