Asante sana prof kwa jitihada zako kuhakikisha afya za wananchi. Tunakushukuru sana kwa elimu yako na nasaha zako, allah akulinde. Wale wote wanaokejeli elimu yako, kwa kuandika ujumbe mchafu, mungu awasamehe na awakinge na maradhi wabaki kuwa na afya njema. Sisi tuliokuwa na maradhi au tunauguza ndugu na jamaa tunaelewa umuhimu wako sana. Mungu akubariki. Amiin
inabidi utembee na ifanye kazi ngumu kama za babu zetu na ule michemsho, babu zetu walikuwa hawali vyakula vya kukaanga, kuku wa kisasa na nyama zenye dawa.
Huko vijini wananchi wanajua hayo. Matunda! Wacha kukonfuse watu. Wacha wale walivyonavyo! Hiyo ni elimu baguzi, ya wenye hela tu. Waambie mwenye ubuyu haya, mwenye uji haya, mwenye nyama choma haya, mwenye ugali wa Tumtemeke haya, acha ubaguzi weee Professa!!
Sasa anaishi kijiji mpaka afundishe ya kijijini pili wa kijijini wameingia online saa ngapi kwanza hata hawamjui janabi wewe fata unayoona ni ya muhimu kwako usioona ya muhimu acha
Hapa hapa tuu mjini 2000 ya Apple analolisema ni mlo wa siku kwa mtu dagaa 500 mafuta 300 unga sijui ngapi hapo leo anazungumzia Apple wanakula wenye nazo.watu wana ugua sio wanapenda ni maisha magumu ya kula hovyo.chai ndio chakula kikuu kwa mwananchi wa hali ya chini nyie acheni tu muogopeni Mungu wee kama unacho pia mshukuru Mungu Elimu zingine niza baadhi ya watu sio za kila Mtanzania.
mkimsikiliza sana huyu kwa maisha ya Tanzania mtakufa na vidonda vya tumbo,unapofundishwa darasani ili ufaulu vizur muangalie mwalimu vile alivyo ndio ufanye anavosema,ishini maisha ya kitanzania tu tiba tosha,maana nikimuangaliga huyu jamaa na vile anasema haaaa siwezi fanya yeye anasema
Wanafki utawajua ndo kama huyu hivi afya za watanzania we ndo unaziongoza jua Kuna mungu na wewe ni kama sisimizi tu kila kitu mjuaji wewe watu tuna kula nyama tunakula ugali kila siku asubuhi uji mchana ugali usiku ugali na tupo shwali hayo ni matatizo ya mtu binafsi tu usi singizie wanga
Ila binadamu aisee huyu Msomi kakosea nn badala ya ss tumshukuru kwa kutupa elimu? Au mnamwenea vivu? Nenda na ww ukasome na uwe Prof.tusikie utakachotushauri juu ya afya zetu.
@@ManswetKimario Watu wa zamani wali ishi maisha marefu na afya zao bora! Kwani walisoma vyuo gani? Mwamini MUNGU tu, zamila yako itaku ongoza kwa kila kitu.