Тёмный

KUMBE GOVI 

Joti TV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 209 тыс.
50% 1

Baadhi ya makabila mpaka leo yana utamaduni uliopitwa na wakati hasa wanaume kufanyiwa jando... Ila ukiwaona njiani kama watu kweli kumbee...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 454   
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 3 месяца назад
Huyu ndio mfalme wa comedy kama una bisha tubishane kwa hoja😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hamzaIlunga
@hamzaIlunga 3 месяца назад
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
@Twahamwela-ch5lz
@Twahamwela-ch5lz 3 месяца назад
Ha ha haha haha ha tangu nizaliwe hii style ya kutaili na chensoo nmeiyona mwaka huu dah!! Hatarii kwa kwel
@HamisiChipotele-fl8xo
@HamisiChipotele-fl8xo 3 месяца назад
Majemeni mbona nyie mnapata likes me sipati 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@personpeter2221
@personpeter2221 3 месяца назад
Unachembe cheme za kufirwa ww mwanamme uko na mambo ya kike like za nn ww punga
@annaki318
@annaki318 3 месяца назад
Aweeeeeeeeeeee kama unamkubali joti na govi lake sema awotreeeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassankhamisi4857
@hassankhamisi4857 3 месяца назад
😅
@wasilaahmad7913
@wasilaahmad7913 2 месяца назад
​@@hassankhamisi4857😂😂😂😂
@dicksonlipingu5915
@dicksonlipingu5915 3 месяца назад
Nimeiwahi yamoto moto kabisa...😂❤ Joti huna mpinzani Aseee 🔥
@IsihakaPatrick
@IsihakaPatrick День назад
Jot ana jua paka ana kelaaaaaaa mtaaaalaaaam
@KidogeDolie
@KidogeDolie Месяц назад
Sasa😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩nichai iyi team naipenda sana
@RehemaKaingu-c1z
@RehemaKaingu-c1z 3 месяца назад
Nimecheka sana😂😂😂alafu baba na mama joti uwa wananifurahisha zaidi nikiwaona😅
@captainjoseph8131
@captainjoseph8131 3 месяца назад
Nishaii ntombangile 😂😂 nakubali sanaa
@ZilaboAmbonisye
@ZilaboAmbonisye 3 месяца назад
Duuuuh ndo mpaka Chesooo kwelii govi limekomaaa😂😂
@liliansauwa8448
@liliansauwa8448 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@truthnafact9081
@truthnafact9081 3 месяца назад
Dogo mwehu kaka mwehu....."nilikuachia ziwa,ziwa Victoria,ziwa nyasa'
@lareineminah1353
@lareineminah1353 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂
@ChristianMirengeri
@ChristianMirengeri 3 месяца назад
Anaishi Kwa Kulibenjua 😂😂😂 Ila Joti 🙌🙌
@YusuphShira
@YusuphShira 3 месяца назад
Vp
@MudiSaid-y7u
@MudiSaid-y7u Месяц назад
😂😂😂😂 ubaya ubwela umemkuta 😅😅gomvi joti
@joycerajabu8448
@joycerajabu8448 3 месяца назад
Never disappoint jotiii😂😂😂😂
@mukandamaakbar599
@mukandamaakbar599 3 месяца назад
Wanduzangu wenye kuomba like tuwe tunatowa maoni wapi wamekosea na wapi wamepatia mambo yakuomba like ayapendezi .Mungu akubariki kua kazi yako unayo ifanya
@numpefikimwaipopo
@numpefikimwaipopo 3 месяца назад
Waomba like wanakera Kama nini 😊
@servantjosiahtv3129
@servantjosiahtv3129 3 месяца назад
Yani Mi wananikera kweli kweli.. Hafu hadi wanaume et wanaomba likes
@revocatusanton7863
@revocatusanton7863 3 месяца назад
Hv likes wanazpelekag wap?
@mukandamaakbar599
@mukandamaakbar599 3 месяца назад
Wanazila
@allahisone6386
@allahisone6386 3 месяца назад
​ AJABU
@mengiluwa8377
@mengiluwa8377 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂 we ndo king uliepaki Tz J
@salimseif
@salimseif 3 месяца назад
Hahaaha leo joti hujapewa upenyo wakuenda mbiooo...😅😅😅😅😅
@AthumaniMajora-qi7rc
@AthumaniMajora-qi7rc 3 месяца назад
zina faida sana kwake anae omba like akifika levo flan zinamnufasha
@stephanog.493
@stephanog.493 3 месяца назад
Et si napenjuaa 😂😂😂😂 Joti mwehu kweli
@Allysapeur
@Allysapeur 3 месяца назад
Wa kwanza Leo naombeni liké zangu 🙏😂😂
@rodgersmwagu239
@rodgersmwagu239 3 месяца назад
Kanyinyi nimekuachia ziwa😂😂😂😂😂
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
Safi sana joti:fundisho kwa walikuwa bado❤❤❤❤❤🎉🎉
@gentiljabpretty
@gentiljabpretty 3 месяца назад
From goma DRC ❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 3 месяца назад
Naishi kwa kulibenjuaa.😂😂😂😂 ila joti hatari sana mamaeeeeee
@denismasele4130
@denismasele4130 3 месяца назад
Chainsaw was necessary 😂😂😂😂😂
@Basagamp4
@Basagamp4 3 месяца назад
Si hua nalibenjuaaa
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 3 месяца назад
NALIBENJUA....🤣🤣🤣🤣.. mtoto joti maku mjue...🤣🤣🤣🤣
@emanueldanstan8904
@emanueldanstan8904 3 месяца назад
😂😂😂naishi kwa kulibenjua😂
@besteva499
@besteva499 3 месяца назад
Timu joti onyesha upendo wenu hapa❤❤
@lareineminah1353
@lareineminah1353 3 месяца назад
Dah😅😅 Una olewa unakutana na hilo balaa😂😂😂😂 Dah
@kizarusati6526
@kizarusati6526 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 joti mkali kabisa. Never disappoint. Love from China ❤❤
@liliansauwa8448
@liliansauwa8448 3 месяца назад
😂😂😂😂Hilo govi mbona limekua Gogo 😂😂😂, chainsaw na panga juu😂😂🙌🏽
@ibbu-tz
@ibbu-tz 3 месяца назад
Kwa chain saw daaah ... mecheka kifala sana. Govi lilikomaa au 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@chadrackrunogeza3302
@chadrackrunogeza3302 3 месяца назад
Toka drc kalemie wa kwanza ❤❤❤❤❤
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga 3 месяца назад
Kalemie fasi gani kaka kudave?
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga 3 месяца назад
Nipe namba yako ya Whatsapp kwani huko ni nyumbani Kaka
@SeKikoti
@SeKikoti 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂daaah ila Joti
@AmirAbdallah-pr4uq
@AmirAbdallah-pr4uq 3 месяца назад
Kitu kidogo ni shwiii shwiiii chaaaaaa 😂😂😂
@Khamisi-kipngu
@Khamisi-kipngu 3 месяца назад
Tim jot tujuane Kwa like ❤❤
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 3 месяца назад
😂😂😂lol 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pole daaahaaaa pole wametoa ngozi 😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@ModricZayumba-ri6ll
@ModricZayumba-ri6ll 3 месяца назад
mi n wahi lkin sjawai kupewa hata like moja jamn 🎉
@innocentchaz7495
@innocentchaz7495 3 месяца назад
Nichakula kwani
@DonsoDonsolg
@DonsoDonsolg 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@wasilaahmad7913
@wasilaahmad7913 2 месяца назад
​@@innocentchaz7495😂😂😂😂
@Awadhi-lc8kd
@Awadhi-lc8kd 3 месяца назад
Nakubali joti fan wako kutoka Kenya
@haule6japhet
@haule6japhet 3 месяца назад
Kitu shwiiiiii...shaaaaaaa😂😂
@debapro6889
@debapro6889 3 месяца назад
You are very creative bro am from kenya keep it up bro
@draivonkuranga2031
@draivonkuranga2031 3 месяца назад
Ila joti 😅😅😅😅 ko ndio utumie chenso 😂😂
@MichaelJacob-f9n
@MichaelJacob-f9n 3 месяца назад
Mana umenizaa,unashindwa nambia 💯💯💯😂
@KaimuKarubandika
@KaimuKarubandika 3 месяца назад
Daa sio poa unaweza jot
@Morrismwenda-kr6mk
@Morrismwenda-kr6mk 3 месяца назад
The top comedian in Tanzania
@Morrismwenda-kr6mk
@Morrismwenda-kr6mk 3 месяца назад
Dame mmoja kutoka Tanzania aseme kitu sasa,
@IssaHamisi-tf1bf
@IssaHamisi-tf1bf 3 месяца назад
❤😂🎉😢😮😅😊😊 umetisha mwambaaaas jotii88iiiiii babaaaaaas
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 3 месяца назад
watching from Qatar🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lilianpuka218
@lilianpuka218 3 месяца назад
Mama atari swiiiii😂😂😂😂❤❤
@Jeysen_lemar
@Jeysen_lemar 3 месяца назад
Naishi kwa kulibenjua 😂😂😂😂😂
@azizally5283
@azizally5283 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂nimekuachia ziwa Victoria 😂😂
@albertykawishe5833
@albertykawishe5833 3 месяца назад
Duh ndio mkatie chainsaw kweli 😂😂😂
@Petitejollie
@Petitejollie 3 месяца назад
Eti naishi kwa kulibenjua hahahahhaa 😂😂😂
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 3 месяца назад
Toeni maoni ya kazi,sio kuomba likes tu.
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 3 месяца назад
Kaaah!!eti kwa kutumia mashine ya kukata miti 😂😂😂😂
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 3 месяца назад
Naishi kwa kulibenjua😂😂😂
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 3 месяца назад
Mtombangile leo umetwango na chensooo 😂😂😂😂😂😂
@Shadia544
@Shadia544 3 месяца назад
Leo nimekuwa wa 106😂😂😂 watu kuwahii tuuu kuomba LIKE AAAAH😂😂😂😂😂
@remmynchamatwi-dx9hg
@remmynchamatwi-dx9hg 3 месяца назад
Duuu!!🤔 Ni Shwaaaaaaa 😂😂😂🙌🙌
@nahagamshele4092
@nahagamshele4092 3 месяца назад
Kitu chenyewe ni shwiii😂😂😂
@matanobaya619
@matanobaya619 3 месяца назад
Jamani huo ni uonevu 😂na ukiukaji wa kibinadamu mjulus wake mwenyewe nyinyi inawauma😂😂😂😂😂 hamjamtendea haki😅
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 3 месяца назад
Ongeza wasanii joti nakushauri ila Kazi nzuri
@ZackDaniella-wi5ur
@ZackDaniella-wi5ur 3 месяца назад
😂😂les congolais manifestez-vous 🇨🇩🇨🇩😂😂😂
@AbdallahOmar-bp8ij
@AbdallahOmar-bp8ij 3 месяца назад
Wallai huyo mama ana chekesha snaaa😂
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 3 месяца назад
Kanyinyi Kawa mweupe kweli pesa ipo🤣
@saadboss5783
@saadboss5783 3 месяца назад
Sema ninii Nishai unazinguaaa😂😂😂
@PonsianMnyangali
@PonsianMnyangali 3 месяца назад
Eti naishi kwa kulibenjua😂😂😂
@omaryadam6884
@omaryadam6884 26 дней назад
Nalibenjua😂😂
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 3 месяца назад
Joti bhana we kiboko yao😂😂😂😂😂
@ErickmidoMsodock
@ErickmidoMsodock 3 месяца назад
From Japan Kuma moto I love u YANGA bingwa 25/26
@ALBERTNyemba-uk3fr
@ALBERTNyemba-uk3fr 3 месяца назад
Yaaani joti😂😂😂😂😂😂unalibenjua
@naomisamwel18
@naomisamwel18 3 месяца назад
Leo hujàfanikiwa kukimbia😂😂
@everlynkimaro40
@everlynkimaro40 3 месяца назад
Wa kwanza leo 👌👌😇
@AmaniRamadhani-rw8jp
@AmaniRamadhani-rw8jp 3 месяца назад
Sasa ndio tutumie chenso jamani afu bila ganzi😂😂😂
@janethndunguru3538
@janethndunguru3538 3 месяца назад
Nalibenjua😂😂😂😂😂😂
@Awoshy
@Awoshy 3 месяца назад
Ila joti😂😂😂😂😂jamani nalibenjua naishi kwa kulibenjua 😂😂😂😂
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 3 месяца назад
Mwamba kaingia na chainsaw 😂😂😂
@lisahenry570
@lisahenry570 3 месяца назад
Please record za Kiboga tume mmisi😭😭
@ZakahModise
@ZakahModise 3 месяца назад
Ilo govi la joti kiboko mpaka machine y kukata mbao ndio limefanya kazi.....kweli govi sugu
@Mgala_jr
@Mgala_jr 3 месяца назад
Kumbe Govi😂😂😂😂🙌🙌
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 3 месяца назад
Pis kali ni shwii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BabyCharles-jl3gv
@BabyCharles-jl3gv 3 месяца назад
Jamni nishai tumemiss ukiwa kiboga 😊
@MathiasNgalya
@MathiasNgalya 3 месяца назад
Hahahaahaaaa anabaraha huyu joti
@AnnastaziaNjovu
@AnnastaziaNjovu 3 месяца назад
😂😂😂naishi Kwa kulibenjua😅
@ReeMsafi
@ReeMsafi 3 месяца назад
Jotiiiii, nilibenjuaaa😅😅
@calmanmichael7789
@calmanmichael7789 Месяц назад
Uyo samia mrembo sanh
@Richardmaige038
@Richardmaige038 3 месяца назад
Kaka ushauli wa bureee badirisha vazi !!tunajuw unatuburudisha miaka sasa
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 3 месяца назад
maisha ni maamuzi
@imrannuhu2784
@imrannuhu2784 3 месяца назад
Location ya mke wa kipof na govi aaaah
@Nyalafu
@Nyalafu 3 месяца назад
Du huyo Dr wa GOVI,ni mwendo wa chemisoo tu
@emanueldanstan8904
@emanueldanstan8904 3 месяца назад
NAISHI KWA KULIBENJUA😂😂
@Mubamushimushi
@Mubamushimushi 3 месяца назад
Nalibenjua 😂😂😂😂
@aminamfuchu9566
@aminamfuchu9566 3 месяца назад
Umetishaa
@mariaserafini6562
@mariaserafini6562 3 месяца назад
Anaishi kwakubenjua😂😂😂😂
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 3 месяца назад
Joti akifanya mambo yake😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nazaabraham5317
@nazaabraham5317 3 месяца назад
😅😂😂😂😂 jambo zito kweli
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 3 месяца назад
😂😅😂😅😅😂code imezua kizaa zahaah.
@hilarymariki5696
@hilarymariki5696 3 месяца назад
Joti falaaaa snaaa 😂
@dollardavid955
@dollardavid955 3 месяца назад
Wakwanza leo, sitaki like hata moja!
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@Omarionkichege
@Omarionkichege 3 месяца назад
mtombangile kumbe ni mtubyu😂😂😂😂
@safarikarisa5912
@safarikarisa5912 3 месяца назад
Asalaaaaala😂😂😂😂😂😂😂😂nomasana
Далее
TAMAA
8:43
Просмотров 272 тыс.
BINTI YANGU
7:30
Просмотров 227 тыс.
MADAWA
9:09
Просмотров 480 тыс.
NATAKA GARI LANGU
8:04
Просмотров 409 тыс.
MTEGO
6:30
Просмотров 731 тыс.
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
CHEKESHA : MTANGA YAMEMKUTA NA WATOTO WA MJINI
14:17
Просмотров 230 тыс.
MKE WA KIPOFU
10:37
Просмотров 325 тыс.
KACHOMESHA
9:36
Просмотров 205 тыс.