Тёмный

KUMEKUCHA HII NDIO KAULI YA DKT MWINYI 

Tifu Tv
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 47   
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 3 месяца назад
Masha Allah,,,,president good luck our president 👍👍👍👍
@binmakame3881
@binmakame3881 3 месяца назад
Hongera Dr.Mwinyi Ni mojawapo ya hatua ya kiuchuni nadhani bei ya ges inaweza kuwa ya chini
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 3 месяца назад
Mjinga ww
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 3 месяца назад
Mashallah Asante Sana Dr Mwinyi
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 3 месяца назад
Weye si mzanzibar ndio maaana kwenu ni bara unamshangirikia mbara mwenzako
@ZaitunAbdallah-ol1bb
@ZaitunAbdallah-ol1bb 3 месяца назад
Tukanunue gesi urusi gesi urusi rahisi kuliko Tanganyika
@SaidMohamed-k9h
@SaidMohamed-k9h 3 месяца назад
Huyu mtu anafanya kazi aisee
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu 3 месяца назад
Nakukubali sana rais Mungu akuzidishie uwe hivyo hivyo maendeleo tunayaona mambo taratibu
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo 3 месяца назад
Good rais wetu
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 3 месяца назад
Zanzibar nilikuape wiki imepita watu njaa sana kuliko hapa kenya 🇰🇪 yani watu km wazee wote tafaut na miaka ile nakuja kuchukua nisshara Sasa me I don't understand maendeleo watu wakakufa kwa njaaa
@Yunussmuhsinmitii
@Yunussmuhsinmitii 3 месяца назад
Tunataka maisha mazur
@hajiiddi6728
@hajiiddi6728 3 месяца назад
Maisha mazur yatakuja bila miundo mbinu.. tembea ujifunze
@Yunussmuhsinmitii
@Yunussmuhsinmitii 3 месяца назад
Tunataka micheleipunguwe sio manene yagesi
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 месяца назад
Unajua saiv bei ya mchele wa mbeya una anza bei gani au hujaowa bado hujui bei za michele unakua kwenu
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu 3 месяца назад
Na ujenzi holela pia huchangia miti kupotea sio kwa kupikia kuni tu
@KhatibSalehKhatib
@KhatibSalehKhatib 3 месяца назад
Upinzani hatuupi nafasi kwasasa tumechoka malumbano waache watu wafanye kazii
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 3 месяца назад
Yaaaan Dr mwinyi ungetutafutia mamalaka yetu tu basi tungefika mbali sana lakin baado unasiasa zilezile za zaman naona barabara ,maji, umeme halaf hatuoni cha maaana Ruto
@CholoNassor-h8r
@CholoNassor-h8r 3 месяца назад
Good 👍kamanda
@saidal-hind5338
@saidal-hind5338 3 месяца назад
​@@CholoNassor-h8r tunataka mamlaka kamil
@fanaualmazrui733
@fanaualmazrui733 3 месяца назад
Kibaraka wa Tanganyika 2025 utarudi kwenu mkuranga
@IddiKhamis-u6c
@IddiKhamis-u6c 3 месяца назад
Hatutaki maneno tunataka vitendo.
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 3 месяца назад
Wazanzibar wanataka nchi yao, tumeshahama huko kwenye siasa za ya maendeleo ya umeme na maji.. tunataka mamlaka yetu kamili
@TheOthmoney
@TheOthmoney 3 месяца назад
ukishapewa nchi. Chakwanza unafanya nini kwa mfano?
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 3 месяца назад
@@TheOthmoney tukishapewa nchi yetu tutakua tumepewa utu, heshima, utaifa, na uhuru wetu.. huwezi kutudanganya na vipande vya karatasi(noti) hizo siasa zimepitwa na wakati Zanzibar
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
Mwinyi anakula pesa hao wengine wazanzibari wanapiga makofi kwa njugu tu wanazogaiwa
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 3 месяца назад
Kivipi?
@karamahfoudh8
@karamahfoudh8 3 месяца назад
Kodi na faida na uwepo wake bado kama hatuna mamlaka kamili ni Bure hivo basi itakua n jambo lamsingi kufanya jitihada za lazima kuifanza zanzibar kua na mamlaka kamili ili wanufaike
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 3 месяца назад
Kafungua biasharangwa isafirishwe biashara ya wenyewe wenye nayo.
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 3 месяца назад
RAISI ANASTAHILI PONGEZI ZA ZATI KABISA ANACHAPA KAZI SANA NA KAZI INAONEKANA KAMA BANDARI BARA BARA MASKULI HOSPITALI NA AJIRA KWA WAZANZIBARI HONGERA SANA RAISI HUSSEN ALI HASSAN MWINYI
@Aisha-lj8bu
@Aisha-lj8bu 3 месяца назад
Hakunaajira kwa wazanzibar anatoa ajira kwa wana ccm
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 месяца назад
Umesema kweli maneno yako.
@Yunussmuhsinmitii
@Yunussmuhsinmitii 3 месяца назад
Kila kwanza ngio gesi
@delasdiego6537
@delasdiego6537 3 месяца назад
Commenter wote ni wa puuzi TU humu kwani mmeshajisahau kua ccm nyakat zao ni za mwisho ni nyinyi ndio mmesema huyu ndio fisadi
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 3 месяца назад
WAFANYAKAZI UWALETE KUTO TANGANYIKA KAMA ULIVYO WALETA BODABODA. MYINYI WEWE NI JAMBAZI RUDI KWENU MKURANGA AAA!! 👀👁️👁️
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
Tunataka nchi yetu haya mazungumzo ya habari hatuyataki
@mbaroukally8655
@mbaroukally8655 3 месяца назад
Chukua
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 3 месяца назад
Si uichukue maana yani unaandika meseji kumikumi maana wewe ndo mzanzibar saaana kuliko yeyote , we ka humtaki huyo kuna wanaomtaka msitake fika mahala mkaona kuna walowanzanibar sana kuliko wengine we hizo hasira na jazba na ushasema unataka nchi yako nenda kamtoe ichukue kelele za nini sasa
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
@@fahadfaraj6474 wapo wanaomtaka wazanzibara .. wenye akili za slavery
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
@@fahadfaraj6474 tumechoka nae na usanii wake ... he has to go
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 3 месяца назад
@@salyali7807 he can go when time comes, sio kwa kusema tu na hii hoja ya watu flani kuona wao wazanzibar kuliko wenziwao it is such an hypocritical akija mzanzibar mwenye asili ya kihindi tutasema atoke sio mzanzibar akija mpemba waunguja watamkataa kuna unafiki wa hali ya juu baina yetu ndo huo nsoutaka tuwe real na pasi unafiki na si kufanya personal attacks Kua huyu vile mara Hivi,
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
Mdomo nyumba ya maneno ... msanii tu .. utaufunga mlango wa duka zanzibar ... kama ushaiona dhahabu zanzibar basi ni ya wazanzibari
@MuzneOthman-l7i
@MuzneOthman-l7i 3 месяца назад
KWANI HUYU MWINYI SI MZANZIBARI?. NA MZANZIBARI NI NANI?
@salyali7807
@salyali7807 3 месяца назад
@@MuzneOthman-l7i Mwinyi anajijua mwenyewe kwao ni wapi ... wengine wanajitia punguani tu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 месяца назад
Hakuna wazanzibar ,tumeshaondoa iyo wote nyinyi ni wakaazi ,na mumetengengezewa kitambulisho cha ukaazi ,kinaitwa kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi.
Далее
Hii ndio dhikri bora 2023
13:12
Просмотров 92 тыс.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
AMIR FARID AMWELEZA RAIS MWINYI IPI ARAFA SAHIHI
18:07
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
Просмотров 31 тыс.
NDACHA AKUBALI KUSOMA MADRASSA
1:00:22
Просмотров 16 тыс.