Please subscribe now on our RU-vid channel to be the first to hear about latest news and updates on Time. #middlesimba #WeAreEverywhere #diamondplatnumz
In truth, they are only wasting their time. It's been a long time since platnumz said he doesn't want to fight with lyrics in music anymore but he does it for the good of everyone. go ahead dear brother
Traduction Française: En vérité, ils perdent leur temps seulement. Il y a longtemps que platnumz avais dit qu'il ne veut plus se battre avec des paroles dans la musique mais il le fait pour les bien de tout le monde. va de l'avant cher frère
Simbaaa plutnumz huyo ni baba n'a kama Ni kweli ana haki ya kula hata pesa za uyo fala zote kwani bila Diamond hatunge mjua huyo... Tayari nime vuta nyimbo zake kwani hana shukran Platnumz baki kimya baba endelesha kazi kwani YATAPITA YANA MWISHO NA IPO SIKU UTA SAHAU HUYO ... haku aribii kitu ana ji aribia ku gombana na chuma na yeye ni udongo
#diamondplatnumzz🇹🇿……LIVE LONGER BROOH usisikilize maneno ya #harmonize🤬………Alidhani akiunyea mkono wako utaukata bali wewe ukauosha na kuendelea na mambo yako ONE LOVE BROOOH ❤
Bado mwanzo wa mwaka tuu kijana ameshaanza kutetema kwangoma 3 za Simba. Na usubiri uyu mwaka atamu nyosha kwa hit songs nyingi sana sijui atakwepea wapi jamani. Huruma sana Harmo
unakumbuka pale airpot alisemaje baada ya kutoka kufanya utoporo marekani??? huyo tumuombee make bangi zinachukua sana nafasi yake ndo maana na ngamia mbebaji (kajala ) ame muve one malipo ni hapa hapa
do aven know how is sex hundreds millionlook like if is u had give to someone else for ungekuwa busy n washawi kumuwuwa that's too much and are saying horm don't give thanks wt fro ?
Mungu atakulipia harmo pamban tu achan na hao wanyonyaj wanao tumia pesa zak kuzulumu wat wa hali y chini sis dua zet zik na wew tu 1day yes atakuj kuheshimu tu mond kila kit kina mwisho
Yaani huyu akishavuta tu hizi bangi anabwatuka tu! Sasa kama ana uhakika na anayoyasema si akafungue kesi mahakamani? Sie watu wa mitandao tutamsaidia nini kama sio kutafuta huruma kwenye jamii. Kweli nimeamini Kajala kazikomba hela za huyu jamaa🤣🤣
Uyu panya ni mngese sana yani inakuaje mkataba asaini yy afu pesa iende kwa mtu mwingine aaache uku....wake tushamchoka sasa na malalamiko yake yan uyu jmaa ni demu kabisaa yani middle simba mwambie uyo panya ata kama akiendelea kumsambazia chuki diamond Sisi tunaojua mziki toka zaman izo hatuwezi kumchukia diamond coz tunajua nn kafanya diamond kwenye ii game ya bongo ata yy uyo panya bila mond wala asingekua hapo alipo...sema mtt hana shukrani uyu afu anatamani nafasi alioipata diamond ndo ingekua yy iyo haiwezekani mana mungu ndo mtoaji yy apambane tu na hari yake mziki ukimshinda aende zake akalime korosho kwao
Hyu,anastress za Kajala,hv nn maana ya kuwa huru,n Nan anaweza kuchukua hel Yako n wakati hati unayo,means kunavitu akuweka saw,....au mambo yameanza kwenda mrama
Kaka uyo mvuta vida kasha pagawa mangoma dunia yatapita na zuwena hache maneno apige mziki kama anatafuta kiki kwa munyama ata mpa muuni anapiga mipago yake ya kibiashala zaidi yeye adili na mapezi ndio anayo yaweza mbwa mfuta sigala poli
Tabia ya Mtu Asiekua na Shukrani Hua Anapenda Kupakazia Watu Machafu Ili Awe Msafi Wakati Kaogotwa na Kukuzwa na Kulelewa Leo Anawatuc Mond Anayo Haki ya Kuka Pesa ya Wasanii Alio Wakuza Wawe Ndani ya Wasafi Au Nje ya Wasafi Maana Kaupa Dhamani Sana Mziki wa Bongo
Maswali mengi kwa 🎶 🎵 hauna hela nini? Hi shingapi hi shingapi 😄 🤣. Toa upuzi apa kidudu mtu. Wenzako wanaomba kazi wewe unaomba pesa? 🎶 🎵 Mvalisheni chupi ya Bambino hahaha 😆 😂 🤣 😅 😄
Harminize hawez kwenda mjni bl umuomba diamond aweke daraja avuke,so tunaelewa siku zote akitaka.kutoa nyimbo au km ametoa anaomba msaada wa kuibust,hana lolote