Mashaallah kungwi dume mungu akuzidishie kipaji ni Aisha kutoka Kenya kazi safi ndoa yangu ilikua ya msikitini lkn hk mafundzo yko ya linikuza sana nashukuru sana
Kukwe dume Aslam alaykm Mimi jina rangu Aisha waburudi nime jipfuza mengi kwama pfuzo yako kutoka sehemu yakwanza ya kukwe dume paka 26 gusema ukweri nime jipfunza mengi mume wangu mutarajiwa Ata enjoy kweri Asante sana niri cerewa sana kukujuwa
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu naaam ndugu angu asanteee Sana kwa elimu ilyo bora hasa kwa sisi vijana naomba2 hako kamwimbo kako uwe unakaachia kwa dakika kadhaa maana kamenifurahisha Sana
Kubania kwa ndani mala kwa mala ni hatali.kwa mwanamke kwasababu mishipa yako italegea na siku ya mwisho unajikuta umepata matatizo makubwa sana siwashauli wanawake kufinyia kwa ndani mala kwa mala ni hatali kwa afya yako
@@ukthysalma9918 kaa apo apo na ujinga wako 😏 fatilia history ya wanawake wengi waliozaa sana wanavyopata maambukizi ya via vya uzazi na kupata kanza ya shingo wa mlango wa kizazi na kupelekea kutolewa kizazi baada ya kuuma na maradhi mengi
Kaka nashukur sana mejifunza mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maysha marefu ,lakin pia naomba kujua mwanamke akiolewa Kuna kisahani Cha udongo hua kinakaaga chumbani je kazi ya hicho kisahani ni nn??
Mbona kule kwa kusafisha uke umesema unaigiza kidole usafishe..Halafu hapa kutokana na sufuria unasema usitie kidole kusafisha uke ,kwa hiyo unaichanganya kidogo sikuelewi vizuri hapo🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪