Asalam alaikum kungwi dume naomba kujua huo mchanganyiko wa mafuta ya karafuu na roze water je naeza kumfanyia masaji pia kwenye kichwa mana umetaja maeneo yote ya mwili ukianza na shingo ila hukutaja kichwani na ndio mana nataka kujua asante❤🇰🇪
Hatariiii hongera kwa mafunzo mazuri na matam,ila Ibra nakuomba utuambie in Shanga za aina gani hizo Ambazo maalum kwa ajili ya maandalizi hayo ya kumcnga mume,pia kama mume hajuhi jinsi ya kuzitumia shanga je nitamfundishaje,? Pia tufundishe jinsi ya kuzitumia hizo shanga mana raha ya shanga kujua kuzitumia