As, allaykum warahmatullah wabarakatu kungwi dume, Mimi ninayo huyo shida ya kutoka na upepo mfano wa kujamba ukeni kwangu na hio hali imenitokezea tangu sijaolewa na ata sijamjua mwana ume hio hali ninayo Hadi Sasa naomba msaada wako yani niseme ukweli Ina niumiza namara nyinyi hunitikezea nikiwa ktk swala au nikikaa tuu ivi Ina nitokezea ila ktk tendo lando ilikua haitokei nakumbuka iliwahi kunitijea mara Moja tu , ila ktk hali ya kawaida ipo sana
Ahsante kwa mafunzo yako bro, ningependa kuuliza na kujua kwamba, mwanamke akiwa period anaruhusiw kusafisha uke wake kama ilivyo kawaida... maan huw nasikia hawaruhusiwi kusafisha kutkana na taratib za kisayansi kwamba unakuta mrango wa uzazi upo wazi so akijisafisha inaweza pelekea kupata changamot kweng uzazi..
Naomba niulize swali Mwanamke akijifungua anatumia maji ya moto na wewe umesema maji ya moto yanasababisha k kutepeta. Je kwanini mtu akijifungua anatumia maji ya moto??
Aaaaa hapo kwenye maji ya moto aaaaaa kungwii mie nipo huku nchi ya joto maji moto na napenda kutumia maji ya moto hata wakat wa hedhii maana majiya bomba ni yamoto na sijawah kuwa na mwanaume lakini toka nnje huku nilipo sasa ni miaka 6 natumia maji ya moto mungu wangu 😢😢sa itakuwaje nisaidie
Kaka Ibrah mimi nikimaliza period nakaa week mbili alafu natoka Tena damu damu nyepesi week moja Kisha naingia kwa period tatizo ni nini mana uwa nashindwa ata kuswali na kama n Ramadhan kufunga pia uwa nashindwa
@@NIISHIYBAEBIY Sawa husababishwa na nini,, wengine huwa zinajamba Tu hatakama hukufanya tendo,, je ukiwa kwenye Hali hiyo ni nini chakufanya iliisijitokee
hapo kungwi kwenye kuosha na maji ya moto sasa pale mwanamke anapojifungua kuiosha K na maji ya moto huwa inakuwaje au maji ya moto huwa yanasaidiani nini kama kuosha K kwa maji ya moto inalegea na maji ya baridi huwa yanasaidia kubana na mzazi huwa haruhusiwi kuoga maji ya baridi