Тёмный

KUNGWI DUME: KUJAMBA KWA UKE 

Ibrah Thedon
Подписаться 133 тыс.
Просмотров 32 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 138   
@AishaRashid-qr7le
@AishaRashid-qr7le 3 дня назад
Asalaam aleykum kungwi naomba uniunge kwny group lako naitwa hawa
@ShamsaZamda
@ShamsaZamda 2 месяца назад
ASante kungwi allah akulipe kheri nabaraka 🎉🎉
@EURO-PATRICK-Tz
@EURO-PATRICK-Tz 2 месяца назад
Wow I like it Mr ibrah you are the most🎉
@ZuhuraAthuman-u2i
@ZuhuraAthuman-u2i Месяц назад
Ahsante kungwi somo nzuri maji ya moto tiba lkn kumbe ni majanga Kwa upande mwingine Sasa kwenye uzazi yanatumika sana
@Naima-o9r
@Naima-o9r 3 дня назад
Mmnawasha sana
@shishiShishshi
@shishiShishshi 2 месяца назад
_Hongera_ _sana_ hun _Kwa_ *_mafunzo_* _mazuri_ __ _unaelimisha_sana _wanawake_ _Gods_ ~bless~ ~you~ ~hun~ 🤭
@MariamWilson-x3k
@MariamWilson-x3k 8 часов назад
kungwi naomba niunge kweny group lako
@HalimaRajabu-f4e
@HalimaRajabu-f4e 2 месяца назад
Ahsante sana kaka mungu akupe maisha marefu ,ila kaka samahani naomba nkulize nivipi naweza kumrishisha mume wang kama nikiwa kipindi cha period
@GhatiMwita-e8t
@GhatiMwita-e8t 2 месяца назад
@@HalimaRajabu-f4e ukiwa period maliza period. Na yeye awe mwelewa na asubiri umalze ndo heshima iyo
@Fatuma-x7j
@Fatuma-x7j 2 месяца назад
Asante kaka mimi nilikuwa napenda sana maji ya moto ila kuabzia leo situmii tena.
@NizarBakari
@NizarBakari 2 месяца назад
Habari kungwi,naomba uniunge kwenye group lako
@mwanakombojumaakhalid
@mwanakombojumaakhalid 2 месяца назад
Naitwa mwanakombo jumaa khalid ninabinti yangu akitaka kuolewa nitakutafuta uwe kungwi wake nimekupenda sana ❤❤❤❤ 6:52
@FatmaAbubakari-ki5tv
@FatmaAbubakari-ki5tv 2 месяца назад
Wallah nimecheka apo kwa panya😂😂 Alhamdulillah shukran kaka kwa mafunzo ndo mara ya kwanza kufatlia mm mkenya 🇰🇪 ❤
@AnnaMundia-d3o
@AnnaMundia-d3o 2 месяца назад
Laiti upate channel ya runinga ili mafunzo haya yafikie wanawake wote ulimwenguni..Ibra umebarikiwa..kenya
@shishiShishshi
@shishiShishshi 2 месяца назад
Usijali Kila kitu na mda wake mambo mazuri hayataki haraka😊😊
@Aishanasma
@Aishanasma Месяц назад
Asalam alaykumu kungwi samahan mie sina hisia namie wangu je nifanye ili nipate hisia nae mana mh doa yangu inakufa kungwi
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 2 месяца назад
As, allaykum warahmatullah wabarakatu kungwi dume, Mimi ninayo huyo shida ya kutoka na upepo mfano wa kujamba ukeni kwangu na hio hali imenitokezea tangu sijaolewa na ata sijamjua mwana ume hio hali ninayo Hadi Sasa naomba msaada wako yani niseme ukweli Ina niumiza namara nyinyi hunitikezea nikiwa ktk swala au nikikaa tuu ivi Ina nitokezea ila ktk tendo lando ilikua haitokei nakumbuka iliwahi kunitijea mara Moja tu , ila ktk hali ya kawaida ipo sana
@MwaidaMsiku
@MwaidaMsiku 2 месяца назад
Asante kaka kwa darasa lako pendwa
@FatmaMohamed-i7b
@FatmaMohamed-i7b 2 месяца назад
nakukubali brooo unafundisha vizur mnoo
@HafsaAmour-h6x
@HafsaAmour-h6x 2 месяца назад
Shukrani sana kugwi nakupenda sana
@nancyackland7176
@nancyackland7176 22 дня назад
Naomba uniunge kwenye group
@godblessbwire979
@godblessbwire979 2 месяца назад
Ahsante kwa mafunzo yako bro, ningependa kuuliza na kujua kwamba, mwanamke akiwa period anaruhusiw kusafisha uke wake kama ilivyo kawaida... maan huw nasikia hawaruhusiwi kusafisha kutkana na taratib za kisayansi kwamba unakuta mrango wa uzazi upo wazi so akijisafisha inaweza pelekea kupata changamot kweng uzazi..
@victormutunga4177
@victormutunga4177 20 дней назад
Hi doctor Mimi nimekaa Na huu ugonjwa wa kisonono Kwa miaka mbili naeza Pata ujauzito?
@RizikiZiki
@RizikiZiki 2 месяца назад
Nafika kwa kungwi Dume 🎉🎉🎉🎉🎉
@marylynliseche773
@marylynliseche773 2 месяца назад
Habari kungwi naomba n jiungi kwa grp yk
@HafsaAmour-h6x
@HafsaAmour-h6x 2 месяца назад
Asantee sana
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 2 месяца назад
Mashaallah tabaraka Allah Akbar 💞❤😍💖🥰💕😘🔥
@KhadiaKhadia-w3d
@KhadiaKhadia-w3d 2 месяца назад
Asant kaka Allah akupe umri mref utuelimishe na ntamani uwe mume wngu dah
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 2 месяца назад
Congratulations keep it up good job ❤
@ibrahthedon
@ibrahthedon 2 месяца назад
Thank you!!
@SaraA-r8w
@SaraA-r8w 2 месяца назад
Mashaallah kaka etu Leo katukumbuka ❤❤❤❤
@ShadyaSaid-r2q
@ShadyaSaid-r2q 2 месяца назад
Habari kungwi, mm baada ya kujifungua mwanangu wa kwanza nimepata tatzo la uke mkavu nisaidie tatizo nn
@HappyBamboo-wm4ep
@HappyBamboo-wm4ep Месяц назад
Assalam aleykum kaka naomba niunge grupu lako plizi thx brother
@QudratSaid-p4t
@QudratSaid-p4t 9 дней назад
Niunge kwa group kungwi dume
@AshaJuma-eu2wk
@AshaJuma-eu2wk Месяц назад
Asalm aleikum kunguwi niekekwa group yko
@mesa-he2tt
@mesa-he2tt 2 месяца назад
Maneno mazuri
@KhayratHaji-x8e
@KhayratHaji-x8e Месяц назад
Habr naomba uniunge kwenye group kungwi dume
@safinafadhili5074
@safinafadhili5074 2 месяца назад
Shukran bro
@merylyatuu
@merylyatuu 2 месяца назад
Naomba niunge kungwi nimeenda somo lako...
@Mwajumasaidi-o4k
@Mwajumasaidi-o4k 7 дней назад
hilo group unalipia
@WangulutaNguluta
@WangulutaNguluta День назад
Mwanamke kila ikiingia nyumbn ugomvi hiv inaletwa na nn
@RuhaymanSinani
@RuhaymanSinani Месяц назад
Habari Kaka Mimi ndo Kwanza leo nione masomo yako nimependa naomba kuungwa grup na nijue garama zake au utaratibu wakuungwa naomba
@KhadijaNuru-e4n
@KhadijaNuru-e4n 2 месяца назад
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nimekuelewa kaka
@MwanamisiMwamakalo
@MwanamisiMwamakalo 2 месяца назад
Mashaha ❤❤❤
@SaraA-r8w
@SaraA-r8w 2 месяца назад
Kweli kabisa kaka Mimi niliapitia hayo
@PendoSaid-v4u
@PendoSaid-v4u Месяц назад
Kungwi habari mimi ni mara yangu ya kwanza naomba uniunge kwa group lako ili niweze kupata masomo yako tafadhal
@HusnaLibuburu
@HusnaLibuburu Месяц назад
Hbr za Leo naomba uniunge kwny group lako
@BalqeesSaif-s7b
@BalqeesSaif-s7b 9 дней назад
Kugwi naomb uniung kweny group namie
@RamadhaniJabiri-p2x
@RamadhaniJabiri-p2x 2 месяца назад
napenda sana
@JudyChazya
@JudyChazya 28 дней назад
Naomba niunge kwa group
@HuzaimaAmeir
@HuzaimaAmeir 2 месяца назад
Shukran my dear
@MerashidSaidi
@MerashidSaidi 2 месяца назад
🥺😮jaman somo la leo😢😂😂😂. Limenigusa ndio maana Sina hamu nikiwa na mpenz wangu
@SaudaKibona
@SaudaKibona Месяц назад
naomba uniunge kwenye group
@KuvunaGonda
@KuvunaGonda 2 месяца назад
Asante
@Sidrat-q6p
@Sidrat-q6p 2 месяца назад
Mimi naomb linki nijiunge kwenye ilo group lako
@fatumakushonda4277
@fatumakushonda4277 2 месяца назад
Tupoo kungwi wetu🥰
@Beibshinninglight
@Beibshinninglight 2 месяца назад
😂😂😂😂Jamani tepeta tepetepeeee
@franciscakija1702
@franciscakija1702 2 месяца назад
Naomba niulize swali Mwanamke akijifungua anatumia maji ya moto na wewe umesema maji ya moto yanasababisha k kutepeta. Je kwanini mtu akijifungua anatumia maji ya moto??
@RayyanMohammed-r6b
@RayyanMohammed-r6b 2 месяца назад
Samahan kungwi kunasehem ulielekeza kutumia mick sa mick cjaelewah nimick ya rangi gani?
@fatmaali6571
@fatmaali6571 Месяц назад
Miski nyeupe
@RayyanMohammed-r6b
@RayyanMohammed-r6b Месяц назад
@@fatmaali6571 Ahsantee my
@Asmini-xp5ld
@Asmini-xp5ld 2 месяца назад
Wawooo je daw yake niipi mtu akiacha naon tuambie
@Trifozanestory
@Trifozanestory 2 месяца назад
Kuna changa moto nyingine ya bisuti midomo ya key kuwasha kungwi naomba utuelezee kama inatokana na nini??
@fathimakarama2362
@fathimakarama2362 21 день назад
Naomba namba
@RahimaHamza
@RahimaHamza 2 месяца назад
Shukurani
@ChidasedaLupaa
@ChidasedaLupaa 27 дней назад
Nilichelewa wapi mie jamaniii
@SabihaMasoud
@SabihaMasoud 12 дней назад
mimi mume nikiwa katika priod alud nyumbn huwa ana sema awez kulala na mm bila kufanya tendo
@AnnaMpogole-h4v
@AnnaMpogole-h4v 2 месяца назад
Naomb niung kweny group lak
@maryamChumas
@maryamChumas 2 месяца назад
Aaaaa hapo kwenye maji ya moto aaaaaa kungwii mie nipo huku nchi ya joto maji moto na napenda kutumia maji ya moto hata wakat wa hedhii maana majiya bomba ni yamoto na sijawah kuwa na mwanaume lakini toka nnje huku nilipo sasa ni miaka 6 natumia maji ya moto mungu wangu 😢😢sa itakuwaje nisaidie
@ThelesiaLuwena-i3u
@ThelesiaLuwena-i3u 5 дней назад
Sawa ya uke kujamba inapatkana wap piy kuhusu garama zake
@FatimaFatima-uo5of
@FatimaFatima-uo5of 2 месяца назад
Kaka Ibrah mimi nikimaliza period nakaa week mbili alafu natoka Tena damu damu nyepesi week moja Kisha naingia kwa period tatizo ni nini mana uwa nashindwa ata kuswali na kama n Ramadhan kufunga pia uwa nashindwa
@We_zombie
@We_zombie 13 дней назад
Nenda hospital kpnz huend una ttzo kwenye kizazi
@ZenaMustapha-tj8yn
@ZenaMustapha-tj8yn 2 месяца назад
❤❤❤❤❤❤
@OtiliaElick
@OtiliaElick Месяц назад
Naomba uniunge Kwenye Glub Lako
@NIISHIYBAEBIY
@NIISHIYBAEBIY 2 месяца назад
Jee !! Wakati wa tendo ama baada ya unatowa damu kitu gani kinasababisha na je inaweza mpa madhara mwanaume ?
@KuluthumMwemtelo
@KuluthumMwemtelo 2 месяца назад
@@NIISHIYBAEBIY nenda hospital ukachek zipo sabab nyng maan inawez kuwa n dalili ya cancer ya shingo ya kizaz
@MariamMariam-ln1vk
@MariamMariam-ln1vk 2 месяца назад
Havari kungwi naomba uniunge kwa group
@JosephMlelwa-h9w
@JosephMlelwa-h9w 4 дня назад
Maumivu wakat wa tendo inasababishwa na nn
@gracemwingwa-jx7yy
@gracemwingwa-jx7yy 2 месяца назад
Mbona cjaelewa kujamba kwa uke
@NIISHIYBAEBIY
@NIISHIYBAEBIY 2 месяца назад
Kwenye tendo kisha unatowa upepo km unashuta
@gracemwingwa-jx7yy
@gracemwingwa-jx7yy 2 месяца назад
@@NIISHIYBAEBIY Sawa husababishwa na nini,, wengine huwa zinajamba Tu hatakama hukufanya tendo,, je ukiwa kwenye Hali hiyo ni nini chakufanya iliisijitokee
@MervailleMargeritte
@MervailleMargeritte 14 дней назад
Sasa kama ulifanya tendo usiku wamanane utajisafisha
@halimaali3719
@halimaali3719 2 месяца назад
Kabisa kakaau 😢😢
@LucknessPeter
@LucknessPeter 2 месяца назад
mimi ndo mara ya kwanza nmeanza kufatilia kipindi chako nmekupenda bure kaka
@KhadijaOmar-b6j
@KhadijaOmar-b6j 2 месяца назад
Naomba uninge group
@youngbreezytz98
@youngbreezytz98 2 месяца назад
Mbona unatoa kaz kwa kuchelewa why..?
@jumashop700
@jumashop700 2 месяца назад
Ibra the Don ww ni mwamba kaka 🙏
@Shadia-eg7nx
@Shadia-eg7nx 2 месяца назад
Asalam alaikum naomba uniunge
@JosephDebora-r9z
@JosephDebora-r9z 17 дней назад
SS kugwi kuingiy kwenye groupe tunalipiya
@FatimaTanzania-r3j
@FatimaTanzania-r3j 3 дня назад
🤣🤣🤣🤣Pambe tu jomon wewe
@ShaluluBanks
@ShaluluBanks 2 месяца назад
Kujiunga n grp lko n bei gn nko kenya
@FatumaSalimu-pn4vo
@FatumaSalimu-pn4vo Месяц назад
Niuge kwenye group
@Joanmsuya-z5u
@Joanmsuya-z5u 2 месяца назад
Niunge kwenye group lako
@AmizentosAmia-jn8lx
@AmizentosAmia-jn8lx Месяц назад
Niulize maji bado ya kawaida ama ya Kwa fridge
@omanoman3770
@omanoman3770 2 месяца назад
Hongera saana kwa mafunzo mazuri. Naomba uniunge group vp ni kiasi gani malipo?
@AlmasJoely
@AlmasJoely Месяц назад
Sasa wale wanawake waliotoka kujifugua je
@janetmbwana553
@janetmbwana553 Месяц назад
Asalam alleykum kungwi Ivi huu ute wa zile siku za hatari kama unatoka mwingi sana hauwezi kuleta kero kwenye tendo?
@KhadijaNuru-e4n
@KhadijaNuru-e4n 2 месяца назад
Niunge kwenye group kaka angu
@zaburi3487
@zaburi3487 2 месяца назад
Me nataka kujua maana ya shanga au chen za kiunoni coz nazipend
@FarhiaOmary
@FarhiaOmary 2 месяца назад
Som zuli naomb uniung kwenye group lako
@iddifatma5370
@iddifatma5370 2 месяца назад
Weee noma sana😂😂
@PeshiNyongolo
@PeshiNyongolo Месяц назад
Nahomba unihunge kwenye groupe lako nipo u.s.a
@zawadipendeza22
@zawadipendeza22 Месяц назад
Unamafundisho mazuli
@Asmini-xp5ld
@Asmini-xp5ld 2 месяца назад
Kungwi tuba yake inakuaje
@RabiaKitala
@RabiaKitala 2 месяца назад
Kaka mie sina maji uken
@RehemaMohamed-u8k
@RehemaMohamed-u8k 2 месяца назад
Kama mwanaume umbile lake kubwa ikawa unachunika wakati wa kwenda haja ndogo inauma nifanye nn
@ChristinesifaRuwa-jx4qw
@ChristinesifaRuwa-jx4qw 2 месяца назад
Sasa kungwi,, wakati mtu umeingia kwa uzazi wanasema lazima maji moto sasa hapo twafanyaje
@SIKUKUUSAID
@SIKUKUUSAID Месяц назад
Group unaungwa wp
@zawadipendeza22
@zawadipendeza22 Месяц назад
Niweke kwenye gulupu yako
@FatmaSaid-w2h
@FatmaSaid-w2h 2 месяца назад
Kujiunga group kiasi gani kungwi
@BebeMlasi-y3q
@BebeMlasi-y3q 2 месяца назад
Mimi sijaelewa shahawa ndo nini?
@NewNew-ep5dq
@NewNew-ep5dq 2 месяца назад
Ww bd mtot kalale kesho shule tuachie wakumbwa😂
@AgnethaKapinga
@AgnethaKapinga 2 месяца назад
Kama ujui shahawa kalale maana mada haikuusu
@saidaal1679
@saidaal1679 2 месяца назад
hapo kungwi kwenye kuosha na maji ya moto sasa pale mwanamke anapojifungua kuiosha K na maji ya moto huwa inakuwaje au maji ya moto huwa yanasaidiani nini kama kuosha K kwa maji ya moto inalegea na maji ya baridi huwa yanasaidia kubana na mzazi huwa haruhusiwi kuoga maji ya baridi
@bethermassawe929
@bethermassawe929 2 месяца назад
kuoga unaoga maji ya moto sawa, lakn kule ndani kwa bibi huruhusiw kuosha maji moto....
Далее
KUNGWI DUME: MATUMIZI YA UNGO KWENYE TENDO LA NDOA 2
38:58
KUNGWI DUME: KUIFINYIA KWA NDANI
32:15
Просмотров 233 тыс.
HAMU MBAYA |1| Love story❤️😘
30:19
Просмотров 92 тыс.
KUNGWI DUME: JIFUNZE KUSAFISHA UKE
26:32
Просмотров 120 тыс.
KUNGWI DUME: MAANDALIZI YA MWANAUME
26:13
Просмотров 14 тыс.
KUNGWI DUME: MAMBO YANAYOFANYIKA CHUMBANI
29:06
Просмотров 34 тыс.
KUNGWI DUME
42:19
Просмотров 428 тыс.
KUNGWI DUME: Kumsinga mumeo
9:37
Просмотров 145 тыс.
KUNGWI DUME: KUTOKWA NA UCHAFU UKENI
29:09
Просмотров 6 тыс.
KUNGWI DUME: KUTOKWA NA MAJIMAJI UKENI
28:49
Просмотров 26 тыс.