Jina la Bwana Yesu aliye hai lizidi kuinuliwa siku zote kupitia kwenye Sauti hizi za watoto wake. Bwana awabariki siku zote katika jina kuu la mwokozi wetu Yesu
Kurasini Mko vizuri wimbo umeamsha nia yangu upya kuwasha taa yangu nisiwe kwenye kundi la wanawali watano wapumbavu bali kwenye kundi la werevu.Kurasini nawapenda.Mungu awapigani siku zote za maisha yenu .Endeleeni mbele kujihusisha Yesu anakuja upesi kea hakika asiwepo Kati yenu anayetatizwa na jambo lolote mwambie Yesu,yuko nawe kama kivuli chalo. Samahani wapendwa ,Nawapenda zaidi,nionapo soloist wapya pia.
"Wale wanawali 10 ni mfano wetu, kati yao wachache hawakujali " Nimeu repeat huu wimbo tangu nimeupakua , umenifanya baki kuusikiliza wenyewe kila ninapopata nafasi. Mungu atukuzwe duniani na mbinguni
A good example of God's true form of worship by music.. kurasini has and will be for ever be the best choir.. may God bless you people 🙏 dressing has never been compromised 🫴
Amen my family,tuwe macho wokovu u karibu ..I love this more❤ happy to see my Sister Matrida Mbunda no matter wat she still prayers her King in Heaven wow
Amiiinaaa,My best chior,my number 1 Chior,i feel blessed,May God continue blessing you Kurasini Choir,you are a blessing to many,we are with you always in prayers,May God lift you high and highas you lift God's name high,go! go!Amen,am happy for you i tell you.