Masomo mengine achaneni nayo kutafutia wanafunzi bala na masaibu kwa wazazi milimamani kuna mambo mengi 😢😢utoe pesa na mwanao apote me wangu uwa sikubali mtandao uko wazi si enzi za zamani mpaka muende wafanya utafiti mweyewe na simu ama labtop wengine wataka kutoa kafara 2😢😢😢😢😢
Mkuu row call unayoongelea ni ipi wakati mtoto abainika mapema tu mlimani kuwa hayupo. Hata vijana wenzake huko huko mlimani waliliporti mwenzao hayupo
Unajua mkiwa porini pengine mtu anaweza kwenda haja,na kama ndiyo anaweza kuarifu mwenzake. Ila kama harudi baada ya dk 10 kuna haja ya kwenda kumuita.Sasa hiyo ya kwao sijui,huyo dogo waligundua hayupo baada ya muda gani
Tokea jmosi mwanafunzi kapotea leo ndio unakuja kujiongelesha apa tunamtaka ndugu yetu kwasababu uzembe ni wawalimu wenu kutokua na ulinzi mkubwa kwahao wanafunzi
Wapo walioongea.. waalimu wengine, wanafunzi, wapanda milima..nafikiri mkuu alikuwa kwenye mshtuko kidogo siku za mwanzo. Bagara ni kati shule yenye waalimu makini
Angekuwa mtaani asingepotelea mlimani naona mnaangalia pllan B.JOEL siamini kama YUPO mtaani TAARIFA imesambaa Tz na Dunia nzima atajificha WAPI?TUANGALIE KWA JICHO LA PILI