Тёмный

SILAA AUAWA kwa KUCHOMWA KISU ARUSHA AKIPAMBANA KUMUOKOA MWANAYE USIKU BAADA ya KUMTUMA DUKANI..... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

SILAA AUAWA kwa KUCHOMWA KISU ARUSHA AKIPAMBANA KUMUOKOA MWANAYE USIKU BAADA ya KUMTUMA DUKANI.....
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

18 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 58   
@globaltv_online
@globaltv_online 8 часов назад
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
@AirinSumeno
@AirinSumeno 8 часов назад
Hofu ya Mungu imeondoka Tanzania 😢😢😢
@upendogreutert199
@upendogreutert199 8 часов назад
Yaani ukisiliza hizi habari kila siku ni mauaji tuuuu jamani alafu ni ya Kikatilii
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 8 часов назад
Jmn kwahyo tufanyeje tuhame nchi au vip maana ukikaa kidgo taarifa za kuhudhunishaa 😢😢😢
@ZainabuMsengec
@ZainabuMsengec 6 часов назад
Alafu Rais yupo kimya tu jmn
@user-jn8us1qi1z
@user-jn8us1qi1z 7 часов назад
Saa 5 mama hayupo watoto hawajala baba anatoka mahangaikoni ndo anarud kuhudumia watoto 🙆 Vijana tuoeni tu😭😭😭
@mgayan1222
@mgayan1222 3 часа назад
Yaaaaaaaaaaani 🙌
@user-yl2br2ts3i
@user-yl2br2ts3i 7 часов назад
damu ya mtu aiendi bure....asante mungu kwa kukamatwa huyo kibaka.mungu awape uwepes hyo familia
@HeppyRafaeli
@HeppyRafaeli 5 часов назад
Poleni sana ndg zetu. Watanzania tunaenda wapi! Jamani kwa habari hii ya maumivu na ushahidi kamili hivi!! Seeikali ichukue hatua kali jamanii Alieuwaa na yy auwawee haraka sana ili mavibaka wengine waambiane waache mara moja kuriski maisha ya watuu.
@SaleheGiza
@SaleheGiza 8 часов назад
Muhuaji unampeleka police ili kafanye nn sasa.mmekosea sana mahakamani kuna kesi nyingi huyo muhiaji alitakiwa na yeye apige kisu kama alivyofanya yeye
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 8 часов назад
Tatizo Arusha bangi nyingi na pombe jamani watamalizana kuuwaana kisu unamkata.mwenzako.kama mntama😢😢😢😢😢😢😢
@Kutaila99
@Kutaila99 7 часов назад
Na sehem zingine wanauwawa kwa nini kama arusha ni bang
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 8 часов назад
SubhanAllah😢 haya mambo yataisha lini? Yaani kila siku mauwaji tu
@carlosmizambwa8790
@carlosmizambwa8790 7 часов назад
Ujue haya mamb awamu ya 5 hayakuwepo kwa7b watu walikuwa wanachukuliwa hatua kali me naamini kama hatua stahiki zikachukuliwa kwa wahusika imani yangu mambo yatabadilika tunaliomba jeshi la polisi na wizara husika iyafanyie kazi mauaji yanayojitokeza hali imezidi kuwa mbaya
@yusufismail3116
@yusufismail3116 7 часов назад
Ulikuwa bado mtoto sio kosa lako.
@Kutaila99
@Kutaila99 7 часов назад
Awamu ya 5 namba au nini we ulishawaiona haki imetendeka Tanzania hii lini? Muozo miaka nenda rud
@LaurentLushingemasanja
@LaurentLushingemasanja 3 часа назад
Yaani likipita kwa mwenzio unajiuliza linaweza tokea kwangu yaan mioyo juu😢😢😢
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 8 часов назад
Yaan tumefikia hapa kwel😢😢😢😢Tz km sudani dah
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 8 часов назад
Subhanallah 😢😢 hawa wauaji kwanini hawnyongwi wakikamatwa??
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 7 часов назад
Dah kungekuwa watu wananyongwa ingekuwa poa sana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 часов назад
Allhamdulillah kwakukamatwa huyo sweitwani. Daa kilakifokinasababu. Kaka kaondoka kama masiala. Allah amueke panapostahili vile yeye anaona.
@DevotaKatumba
@DevotaKatumba 7 часов назад
Mliacha kumuuwa mkawa mnampeleka police jmn
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 3 часа назад
Dawa yao ni kuuliwa tu hakuna kuwa onea huruma watu wa aina hio. Hasbuna Allah Wani'mal Wakiil kwa kila dhalim
@HellenaMky
@HellenaMky 5 часов назад
Nawatanzania. Hatuna. Huruma. Wanaeza onamtu anauliwa. Wasmsaidie.badae. Wanatoa ushuhudatu.
@KhamisHassan-ql5ut
@KhamisHassan-ql5ut 7 часов назад
SASA MBONA MUNAMSINGIZIA MAMA KWANI WAKATI WANACHOMANA KISU SAMIA ALIKUWEPO
@Kutaila99
@Kutaila99 7 часов назад
Ataulizwa siku ya Qiyama yy kiongoz sheria za mungu anae ua nae auwawe yy kakaa kimya watu wanaua tu kisha wao wanaendelea kuish
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 часов назад
​@@Kutaila99Usiusingizie uislam kwa kutaja habari za Qiyama, kwani mama aliwashikisha kisu wamuue huyo mzee wa watu?! Hao washenzi si wamemuuwa wenyewe kwa unyama wao, mama kwani mama alikuwepo hapo?! Sasa anahusikaje hapo?! Acheni unafiki hivi na nyie mnaopigana miti gesti na kuvimbishana matumbo pasipo kutarajia kisha baadae mnaotoa mimba au kuuwa vichanga kwa kuvitumbukiza chooni baada ya kuzaa hivi mama aliwaagiza mfanye hivyo huo si ushetani wenu?!
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 4 часа назад
Wauaji wangenyongwa hadharan haya mambo yasngekuwepo,mwenyezimungu amesema muuaji auliwe lakin tukangeuka wanadam,mara utaskia siku 2 tatu mtu anahonga anarud kitaa,matukio yanaendelea
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 5 часов назад
Poleni Wafiwa kea kweli ni huzuni sana
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 6 часов назад
Bangi za Arusha ni shida
@irenebarakeli
@irenebarakeli 8 часов назад
Jamani kifo kinatafuta sababu ya kutokea yaani Tz ni uwanja wa wauaji
@SaidyFaranda
@SaidyFaranda 3 часа назад
Inauma sana
@SalmaSamiry
@SalmaSamiry 7 часов назад
Duuh poleni sana 😢 😢😢😢sijui tuende wapi jamani kila kukicha kuna tukio la kuhuzunisha inauma jamani 😢😢😢
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 8 часов назад
Damu yaaa mtuu haipotei .wamemzurumu rokho yake Arusha Arusha. Jamani kwa nini mauwaji.kila.siku 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@abednego3876
@abednego3876 8 часов назад
Mi5 tena kwa mama.
@yusufismail3116
@yusufismail3116 7 часов назад
Ujinga mzigo, Mama anahusikaje hapa?
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 6 часов назад
Haya mama anaingiaje hapo? Achani bangi
@AmedeusMbanda-gh4rj
@AmedeusMbanda-gh4rj 7 часов назад
.marehem apumzike kwamani,😭😭😭,
@HappynessSoli
@HappynessSoli 7 часов назад
Nchi hii hatari kila siku mauaji ee mwenyezi mungu naomba utuepushe na haya mauaji
@evarestyohanesmaleko2936
@evarestyohanesmaleko2936 8 часов назад
Ndugu yangu maskini😢😢😢
@DaheerK
@DaheerK 6 часов назад
Arusha shikamoni maana mauwaji yenu km ya dar tu kila kukicha nikunuka damu tu bas😢😢😢
@LidyaSilaa
@LidyaSilaa 8 часов назад
Ee mungu tuokoe
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 5 часов назад
Jamani Maisha gani haya mbona watu hawaogopi hata M/Mungu tusimamie
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 8 часов назад
Nimebaki najiuliza usiku wa saa tano watoto walikuwa hawajala mama alikuwa wapi jamani?
@AirinSumeno
@AirinSumeno 8 часов назад
@@sophiakimaro5174 ndyo maana halisi ya siku ya kufa nyani jamani
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 7 часов назад
Huu mtihani wallah
@khadi-z4o
@khadi-z4o 45 минут назад
NCHI IPO SALAMA .IPO SHWARI KABISAA .CCM OYEEEEH
@dignakanje4508
@dignakanje4508 6 часов назад
Hyo sasa ndiebanaetakiwa kuwawa maramoja.Hawapaswi kuishi kbisa
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 7 часов назад
Postmotam imefanyika? Ili mahakamani isiwe shida kupata haki?
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 часа назад
Yaleyale ya dangote,tena,kwamromboo Arusha
@navioma4882
@navioma4882 6 часов назад
Tunakwisha🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😶
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 7 часов назад
Kwan hizi kesi mbona hamtangazi zinaishaje?
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 7 часов назад
Ila mmekosea alivyopatikana huxo moja angemtaja na mwenzie kisha huyo mgempiga mpk afe hao hiyo ndio ilikuwa kazi yao kufanya uharifu
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 6 часов назад
Wananchi,mngeliuwa liuwaji km Dar walivouwa kunguni kunguni lilimuuwa Ibra kwa kisu,wananchi wakaliuwa hill kunguni,sasa nyie wa2 wa Arusha mbona hamkuliuwa hilo jambaxi?
@user-fg8hg9fe1w
@user-fg8hg9fe1w 6 часов назад
Muuwaji ilistahili kuuliwa na yeye
@ednahumazi777
@ednahumazi777 3 часа назад
Samahani kwanini unatum a.mtoto.saa tanousiku
@user-hd7gs5by4s
@user-hd7gs5by4s 3 часа назад
Hiii sio nchii😂😢
@LeylaSaria
@LeylaSaria 6 часов назад
Kiukwel sielew tunaelekea wap jamn was tz
Далее
Psychopath or Sociopath | What You Need to Know
2:23:39