Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺 🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!! 🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz.. “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿” Acheni tu..🤦🏽♀️
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,, Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax Happy birthday to U darling.
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge. Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti. Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
Tuacheni kumsema na kumlalamikia Mwijaku , Hili limetokea ni mipango ya Mungu tu kuwakumbusha wazazi wote wana wajibu wa kuwalelea watoto au mtoto. Pole Ommy
Mwijaku needs to be human enougj not to cross certain bounderies regardless of his profession viti vingine ni personal sio for promotion he is heartless.
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
Acha maisha yapite lia baba ni baba Hakuna mubadala wake USIPO shukuru kwa kwa maisha uliyo pita Basi shukulu kwakuwa chanzo cha kuwepo wewe hapa duniani Maana kuja kwako hapa duniani ndio njia pekee uliyo pitia hilo nalo je utasahau Usivune maumivu ya hapa duniani Vuna UPENDO uliyo kujanao Ili uwepo sababu ya wewe kuwepo hapa ❤️❤️❤️❤️💘💘💘💘
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
You are right…Mzazi kamili ni ule aliekulea…haijalishi Ni Baba wa Kambo au jamii…Wazazi wengi sana wamezoea kutekeleza watoto wao wanasahau Mungu Ndio anampa Mwanadamu uhai
Hatuishi maisha ya milele duniani, na tunafundishwa kusamehe ili nasisi Mola wetu atusamehe madhambi yetu maana hakuna mkamilifu chini ya jua, bora usamehe moyo ubaki na amani kwa huna deni
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu. Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
Nakama unahakika mama alikuambia yeye ndo baba yako lakini hakuleta matumizi basi wewe mjibu baba yako kea matusi ya tumtunza hadi aone aibu ukimtunza vzr hayo ndo matusi yanayomfaa baba yako cyo kumkana, wewe ushakua na ni meanaume je hujui vitimbi vya wanawake? bahati nzuri naona kama una uweleo kdg wa kini japo shetani kakuganda.
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
Safi sana ommy dimpoz endelea na maisha yako mazuri hakuna laana yoyote itakayo kupata kwa kumkataa baba alie kutelekezw ukiwa mdogo.kwanini mwinjanku asimchukue km baba wa ziada amsaidie.
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
Halafu mzee yupo vizuri tu na Wala hajalalamika kama mwanae hamuhidumii na Wala hajasema kama kakataliwa na mwanae hajasema hayo Leo Omy umepatikana mana Huwa unapenda kuyavalia njuga mambo ya wenzio.