Mimi nawafata toka arabia nauliza hâta sisi tuweke mecap n'a herene kisha mungu yu pamoja nasi ? Mbona loués amepaka mecap n'a nimeona herene n'a amevaa nguo za kisasa tena ana kichwa wazi mbele ya mume Asie wake hapo mungu amependezwa tu n'a hili ? Nauliza tu mimi ili nisiwe n'a hofu
Kielelezo cha kanisa ni Yesu aitwae Kristo....Basi kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii....tukimtazama Yesu.Ebr. 12:1- Hao wanasema Bwana amemwagiza huyo Mwingine sawa....lkn Kitabu cha Waebrani 1:1-3 Mungu alisema na baba zetu....mwisho wa siku hizi amesema nasi ktk mwanawe..... Ah....Nimeanza kuto wapenda watu maarufu wa dunia hii.