Тёмный

Ushahidi Askofu Mwingira Siku 4 Akihojiwa Polisi, Waliotaka Kumua ikiwa baada ya Kauli zake alizotoa 

Taifa Digital
Подписаться 606 тыс.
Просмотров 75 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 64   
@AnnaKijazi
@AnnaKijazi 16 дней назад
Mungu akutetee baba yetu wewe ni nabiii waukweli apa ndunian mungu wangu akuongoze baba
@jesusiscomingback4896
@jesusiscomingback4896 2 года назад
Nakuelewa sana mwingira Moja ya manabii WA ukwel waliobaki Tanzania..naomba Bwana Yesu akutetee..tunakuombea
@catherineezekiel3292
@catherineezekiel3292 2 года назад
Mungu akutunze baba yangu Mwingira, Nakupenda sana
@betitympeleta9697
@betitympeleta9697 Месяц назад
Mungu yu pamoja nawe baba
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 года назад
Mwingira anayo macho ya kuona mambo ya mbele sana. Jitu la mbinguni.
@NancyMwaibula7634
@NancyMwaibula7634 2 года назад
Sinashaka naye kabisa
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 года назад
Huyu ndio mtumish wa Mungu. Hapend kupepesa macho
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 года назад
Mwingira anao msimamo , nakumbuka hata kipind cha kikao cha viongoz wa din alisema, maswala ya haki
@neemashayo-mg7mv
@neemashayo-mg7mv Год назад
Huyu ni mtumishi was mungu jaman ni mungu amemchagua
@kubwaichebestfriend8673
@kubwaichebestfriend8673 2 года назад
Muziki wa nini sana wakati watu wanataka kusikiliza maelezo, hopeless
@issaalfani1030
@issaalfani1030 2 года назад
Serikali yangu ya Tanzania nawaomba sana sana sana kiongozi yeyote atakae soma msg hii awe mjumbe wa tarifa kuifikisha juu, tufanyieni yooooote ila msiwaguse guse viongozi wa Dini nihatari sana kwa Taifa nawaomba sana sana asanteni
@emmanuelmichael3012
@emmanuelmichael3012 2 года назад
Kwa kweli MUNGU akubariki sana umetukumbusha kuwajibika kwenye nafasi Zetu
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 2 года назад
Zaburi 14:2 toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu aone Kama Yuko mtu mwenye akili,Amtafutaye Mungu
@Ezekiel_abel
@Ezekiel_abel 2 года назад
Askofu we pray for you,GOD IS THE WINNER!
@faustinammilla757
@faustinammilla757 Год назад
Baba we love you forever nakupenda daddy
@danielshimora5315
@danielshimora5315 2 года назад
Mungu amesha muinua na sisi wanadamu wa Dunia nzima tutamuinua. Samia Suluhu Hassan.
@CatherineNyako
@CatherineNyako Месяц назад
Mwachen uyo baba askar...mtakufa kwa tamaa zenu
@mchungajihekimafungo8072
@mchungajihekimafungo8072 2 года назад
Mbona aliongea vizuri tuuu!!!!
@Tusajigwekiblaga
@Tusajigwekiblaga Год назад
Ameen Baba 🙏🙏🙏
@youngsonsiwale5404
@youngsonsiwale5404 2 года назад
God blesses
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 года назад
Haya mambo ya mungu kaniambia au kanipatia kibali siyapendi. Kwakua Hawa watu ni wanasiasa ambao wamejificha nyuma ya pazia. Hivi mungu kwanini akutume kwangu wakati na mimi nipo? Huo sio umbea? Mungu Hana taifa. Mataifa yamegawanywa na watu. Mwingereza, Germany, Marekani, ufransa, sio mungu kugawa africa,
@calimahad9274
@calimahad9274 2 года назад
Usipotoshe , tuhuma zake hazijaleta ukakasi kwa wananchi , wananchi tulifurahi kumsikia akitoa maoni yake.
@amazi6796
@amazi6796 2 года назад
Hii channel Ni ya Kihuni, press ya mwaka juzi kabisa 2020 akiwa kibaha. Channel hii imetumwa na wahuni
@godlovemunuo4167
@godlovemunuo4167 2 года назад
Wewe mwandishi ni pumbafu kabisa... kwanini unahadaa watuu..Mungu akakukemee mwenyewe
@rehemadaudi742
@rehemadaudi742 2 года назад
Mmm huyu mtumishi ana utiisho na mamlaka isiyo ya kawaida, ombeni macho ya rohoni mumuone hakika kila mtu atahofu na kutetemeka, namuona Yesu ndan ya mtu huyu
@neemaAlexander-y8e
@neemaAlexander-y8e 7 месяцев назад
mungu akubalik
@saidipara4134
@saidipara4134 2 года назад
Tunajua sasahiv lile genge la mama na mwemnzake wa msoga.watakuwekea chuki sana mpa wanaweza kuuwa.magufuri alikupenda na wewe ulimpenda pia wewe ndio ulikuwa rafiki wa kweli wa mjomba.
@barakanestory3521
@barakanestory3521 2 года назад
Jamani,viongozi wadini ni hatari,hawaguswi jamani,Mimi naogopa sana,Wako na Mwenyezi mungu Tena Kwa ukaribu sana.Tuche jamani,watu mishi wa mungu wowote wale,wadini yoyote Ile,nihatari mno,sawa.
@amiwitu1445
@amiwitu1445 2 года назад
Eti kuna uhuru!!!uhuru gani??? Maneno tu, uhuru wa watu fulani tu!! Ni neema ya Mungu tu inayoibeba Tanzania.
@danielshimora5315
@danielshimora5315 2 года назад
Askofu ondoa shaka tuko kwenye mikono Salama ya Rais Samia Suluhu Hassan.
@mathewjohn8740
@mathewjohn8740 2 года назад
Sijaelewa Mtanzania mwenzangu kwa clip hii ni kibaya alichoongea Askofu Mwingira mpaka akaitwa kuhojiwa na jeshi la polisi?au haikurushwa yote?
@konshazikonsha6180
@konshazikonsha6180 2 года назад
Kumbe unajua kiswahili vizuri hivi🤔🤔!!!!!!
@CatherineNyako
@CatherineNyako Месяц назад
Kama mwingira akinyamaza mawe yatainuka..mwachen uyo baba yetu wa kiroho
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 года назад
Kweli hiiyazamani nimekumbuka aisee
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 2 года назад
Background music inaharibu ujumbe kutoka kwa Askofu.
@maishaedward3628
@maishaedward3628 2 года назад
Ukakasi kwa jambo la kweli, ni wapi au wananchi wangapi umewahoji na kuwauliza na kusema ni ukakasi?? Na hii press conference ni ya zamani Sana kipindi Cha corona miezi kama Tisa iliyopita, acheni uongo NYIE kwa jamii mnayoisema, si ya wiki iliyopita
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Tatizo hili taifa sijuwi kwanini babu akuweka katiba yenye usawa
@AweMagdalena
@AweMagdalena День назад
Hii ni wakati wa magu Wala siyo sasa na Hana kosa lolote acheni uhuni mnatafuta ugomvi na Mungu na hii clip ilikuwa wakati y Corona
@happynuspilula8670
@happynuspilula8670 2 года назад
Hii video ya Mtume na Nabii Mwingira, ni ya miaka miwili iliyopita, kipindi kile tumepata wimbi la kwanza la UVIKO-19. HAIHUSIANI NA YANAYOENDELEA KATI YAKE NA JESHI LA POLISI
@lucaelibosco2232
@lucaelibosco2232 2 года назад
Mmh mnafel hii press ni ya mwaka jana au mwaka juzi acha uongo
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib Месяц назад
HUO UTUME NA UNABII KAKUPA NANI WE BABUUUU MUOWAJII?
@EngJosh
@EngJosh 2 года назад
Hii Ni wakat Magu akiwa hai
@NDEWARA
@NDEWARA 2 года назад
Nafanya kwa kibali cha Bwana 😭😭😭
@octavianmushi9916
@octavianmushi9916 5 месяцев назад
watangazaji na waandishi wetu wajaribu kuwa makini zaidi kwani Apostle Mwingira siyo askofu...
@prezidakasuga2595
@prezidakasuga2595 3 месяца назад
Ni nan tusaidie
@sikapendinakapenda4170
@sikapendinakapenda4170 2 года назад
Yupo nje kabisa ya topic iliyokusudiwa, au kaingia upepo?
@yussufpandu1320
@yussufpandu1320 2 года назад
Tafadhali musipige muxiki sisi tunataka taarifa sio muziki
@bashemelajohn
@bashemelajohn 2 года назад
Sikuhizi maasikari nao ni ccm 😂 yani inachosha tatizo wanapenda matumboyao lazima wanyoke safari hii
@EuniceMaige
@EuniceMaige 3 месяца назад
Unasitahir
@luhindakanige2987
@luhindakanige2987 2 года назад
Tatizo mnachanganya din na siasa
@yakwetutv8525
@yakwetutv8525 2 года назад
Ma ling ton yani kwenye vitu muhimu kama hivi
@zainabsaid9264
@zainabsaid9264 2 года назад
Mtume itakuwa mg on I?watakuja manabii wa uongo wakinena kwa jina langu
@protaskindauji985
@protaskindauji985 2 года назад
Waandishi wa habari mkikosa ueledi na mkazidi kuwa waongo umaskini hauwezi kuwaisha. Hii clip ni ya mda mrefu uliopita.
@musaandrew604
@musaandrew604 2 года назад
Unsubstantiated mnatafuta view kumbe CLP ya mwaja juzi mna ileta Leo ?
@JacoboWille-n4z
@JacoboWille-n4z 7 месяцев назад
Wenga mwngila nikuona uronda kurotakujela
@williammajani2152
@williammajani2152 2 года назад
Clip ya Mwaka 2020 inaoletwa kama ya Leo. Waziri mkuu uingereza alilazwa Jana? Rais kama Baba. Maneno hayo yanaonesha ilikuwa wakati wa Magu. Nashauri tu Ukiendelea hivi utapoteza watazamaji acha uhuni
@sangasanga6290
@sangasanga6290 2 года назад
Ya
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 2 года назад
NYIE VIONGOZI WA DINI ISHINI KTK KWELI NA HOFU YA MUNGU.FATENI MFANO WA AKINA MUSA.
@mchungajihekimafungo8072
@mchungajihekimafungo8072 2 года назад
Mhuuu
@salomemchewa5187
@salomemchewa5187 2 года назад
Wachungaji ndo mnaharibu mwelekeo w nchi hamjui mkae wapi,, kwenye dini au kwenue siasa, kwanini mwuwe mnahubilia watu vitu ambavyo havihusiki.. Kazi ya mchungaji nikuhubili bibli, mengine yote ya nini,. Sasa kanisani. Ulileta habari ya tundulisu ua nini, kama siyo siasa.. Mnatuchanya bwana
@edmundmato669
@edmundmato669 11 месяцев назад
We endeleaa kuchanganyikiwaa wenye akili tunamuelewaaa
@zainabsaid9264
@zainabsaid9264 2 года назад
Unajikosha huna lolote
@MariamHamis-t7u
@MariamHamis-t7u 8 месяцев назад
Una laaana kubwa wewee
@johnaloycemushi3371
@johnaloycemushi3371 2 года назад
Sio clip hii ina tatizo ile aliongea akiwa kanisani
Далее
ŠKODA не перестает удивлять
00:48
Просмотров 379 тыс.
Китайка и Пчелке Холодно😂😆
00:21
Wamemgusa Msukuma pabaya, sasa atamba kuwashughulikia
5:53