MASHAALLAH MASHALLAH.... MOLA WETU MKUBWA SANA... SAUDIA MMEFANYA KITU KIZURI SANA KWA WADHALIMU HAO MAREKANI.. NA BADO HAO MAREKANI WATAANGUNGA KAMA MAJI TIRIRIKA MABONDENI...
Big power big contractor kuanguka kwa usa 🇺🇸 iyo ndoto sio jana wala juzi wala kesho uyo mtoto watamlaumu zaid maana American 🇺🇸 hainaga ujinga subiri wamuashie moto Mwarabu maana usa 🇺🇸 haiwezi kushindwa na mtoto Tena mtoto mdogo kwa usa 🇺🇸
Nimekuelewa Sana mchambuzi kilalaheli wote wanaopambania swalaili mwenyezi mungu awalinde na hila za wamaghalibi ewee mwenyezi mungu walinde warussi walinde wa arabu walinde wa Africa
Brother Ally M na brother Sky Kwetu bado Sanaa kwasababu GDP ya Span au California ipo juu ya GDP YA AFRICA CONTINENT pamoja na mikoa yake 54.... SISI bado sanaaaa
Shida kubwa ya viongozi wetu ni uporaji wa pesa za umma, ubinafsi, ukabila, endapo viongozi watakua na lengo. Basi wangewekeza pesa za umma kwa uzalishaji wa bidha na vyenginevyo. Lakini shida ulafu mwingi viongozi na kujali maslai yao.
Its good move but trust me hii itakuwa ni pigo kwa uchumi wa dunia maana dunia haijajipanga vzr kupambana na dora.. kama vita ya mrusi na ucrain mafuta yalikuja juu kama anapigana mmareken kumbe ni vikwazo tuu sasa kutotumia dora ni kuivamia moja kwa moja marekani coz hii ndo silaha yake kubwa i think kuna jambo si zuri marekani ataplan dhidi yao vzr wajiandae kisaiikolojia like putin yan kupigana na dora you must hv fugnatve plans
Think twice mataifa kaza mpaka wanafikia hatua ya kugomea huo mkataba wameshapata njia mbadala mfano urusi iran wamepigwa vikwazo vingapi lakini ndio kwanza wanazidi kusonga mbele
asante sana Ally Masudi kwa maelezo. sie tuna rasilimali nyingi sana ambazo nchi hizo wanaitaji. sema tuu nchi zetu tumekuwa waoga na wao kututawala. Ona Congo- malighafi inayoitajika mno duniani ambapo nchi tajiri wao ni silaha tuu..jmni sie mmh
Tatzo hili taifa laongozwA na wanafiki kuptiliza Hayo tunayoshuudia na ujinga wa suudia Anawatajirisha wamarekan Alaf marekan inawAfadhiri waisrael iwauwe waarabu
kwenye kubadilishana pesa na mafuta hasa kwa tz na saud , mtu mmoja tu ndo alikuwa anaweza , si mwingine bali JPM so kaa kwa kutulia dollar litaendelea kutumika kwa kila kitu mtake msitake
Kiukwel saudia wamefanya poa lkn hofu yangu saudia itasaini tena sabab ya utegemez wa usalama sabab hila za mmarekani zinajulikana ajiandae kwa regime change waasi na vita visoisha plus vikwazo
Tuombe uzima kwani yajayo yanafurahisha mno, lakini kuhusu hili tulipe muda, muda umebeba majibu ya kila kitu, ila Saudi Arabia ni kibaraka mtiifu wa mabeberu Marekani hivyo ana sura mbilihawaaminiki kabisa, muda ukifika utaongea tu.
Kweli kabisa kaka aly lakini ndio juzi viongoz wetu kwenye bunge la bajeti wamekataa manunuzi ya ndani kufanywa kw dolaa sa sijui wanamyazamo gani hapo
Hakuna kwaheri yoyote kwa Marekani yani USA iyumbe kisa huo upuuzi mdogo tu yani Media za Tz za kufala mnapenda vi Habari vya hovyo vya kuisema Marekani 😊😅 USA mwnyewe hata muda hana wa kuwaza.
Dj smaa atuandalie makala inayohusu huu mkataba wa saudia na Marekani na ziara ya putin katika nchi za kiarabu inaonekana ziara hiyo imezaa matunda mimi Ustadh hamad kutoka pemba
Hawa jamaaa waarabu sasa wana jambo lao kwanza viza yao kuipata siku zijazo itakua sio kirahisi kama sasa, lkn pia wanaiunganisha sasa kama ile ya schenngen wow em tuangalie itakavokua badae
Kwa hakika mabadiliko katika hii dunia yana kuja kwa haraka sana namuomba dj smaa atuandalie makala inayohusu huu mkataba wa saudia na Marekani na ziara ya putin katika nchi za kiarabu inaonekana ziara hiyo imezaa matunda mimi naitwa Ustadh hamad kutoka pemba
Tatizo siyo mafuta uwe unaelewa nasiyo kukulupuka tatizo nikutumika Kwa dollar katika ununuzi wa mafuta maana yake pesa yoyote itumike pesa ya china, Tanzania Kenya n. k
Saudia anamafuta na rasilimali watu pia, maana kila mwaka waislamu dunia nzima kutoka ktk kila nchi wanakwenda kuhiji pale makka, na gaharama za kwenda huko utumika dollar ndiomaana dollar hatakama ukaikataa vp kwamamilion ya waislamu dunian kila mwaka inafikia hatua nilazima waitafute dollar ili waende makka, sasa saudia kitendo cha kuikataa dollar na kuiruhusu pesa yoyote ile unafikilia dollar itaanguka kiasi gani ?
Hana ajualo Hayo mafuta ya nigeria kwa cku ni bpipa hata lak havifi Saudia ndio nchi ya pili dunian kuzalisha mafuta safi yakwanza urusi Kbl ya vkwazo ilikua inaingza sokon pipa milion 12 Jitu lingn bichwa debe tupu Ajisemea tu Haya nigeria yk niyangap Unapozungumzia mafuta ya suudia unazungmzia uchumi waduniA