Тёмный
No video :(

Kujiunga na jeshi Jeshi la Marekani | Taratibu na faida zake 

EBM SWAHILI
Подписаться 69 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

Kuna faida gani ya kujiunga na jeshi la Marekani? Ni hatua zipi na sifa zipi inabidi uwe nazo uwweze kujiunga?
#marekani #ebmswahili #ebmscholars

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 61   
@egmegm6202
@egmegm6202 2 года назад
Dah ahsante sana kaka yetu kwa ujumbe walio na vigezo wachangamkie fursa iyo me napenda jeshi ila kaelimu kadogo ila napenda sana
@mohammedbaraka9230
@mohammedbaraka9230 2 года назад
Nakupata Brother EBM nafatilia vyema kutoka Dar Es Salaam Now time nipo kazini I'm Bajaj Driver... Thank you...
@daimavlog
@daimavlog 2 года назад
Mungu akupuganie ndugu.
@mustafamtupa9061
@mustafamtupa9061 2 года назад
Kuna kipindi ulisema wasiokuwa na High School kuna mtihani maalumu wanaufanya, hii imekaaje ndugu..?
@halisimediatz
@halisimediatz 2 года назад
Ahsante EBM Swahili Kwa Elimu ✊
@thisandthat1523
@thisandthat1523 2 года назад
Nyinyi waTz mna ndoto ndogo sana maishani. Kuingia US army ni kitu ya mtoto wa miaka 17-20 akimaliza high school hata akifeli mtihani. Watu waafrica wamesoma shahada za nguvu na nyinyi ni kuota ndoto za kiushenji tu. Hasara tupu nyinyi mtabaki kuwa mkia kwa East Africa..
@alawifarahani4788
@alawifarahani4788 2 года назад
Hilo ndilo pekee uliloliona?
@stanleyjohn2929
@stanleyjohn2929 10 месяцев назад
Na uyo mbona ajawa mkia
@shalomsimon6953
@shalomsimon6953 Месяц назад
God Bless America
@eaglemaris327
@eaglemaris327 2 года назад
Nina miaka 22 sasa ninasomea cyber security and digital foreinsic engineering Tanxania udom natamani kuishi marekani kwa maisha yangu yote kaka EBM naomba unisaidia kwenye hili natamani niingie kwa njia ya jeshi
@miltonmachage2462
@miltonmachage2462 2 года назад
Acha kusasilit taifa lako ww hv kweli unasubutu kusema nataka kuishi malekan kwa maisha yanga yoteeee pumbavu sana ww tena ww sio mzalendo Yan unasoma kwa Kodi zetu alf utumikie taifa lengine
@ernestlaiza1176
@ernestlaiza1176 Год назад
@@miltonmachage2462 fala were anasomaa Kwa ela ya mama yako
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 Год назад
@@miltonmachage2462 sasa kama nchi yake haijampatia nafasi ya kulitumikia katika jeshi afanye nini?!
@hassanmassaga2476
@hassanmassaga2476 Год назад
Saf kijn elimu yako ni nzuri sana..nakuombea utimize ndoto zako..maisha popote,usidanganywe na kivuli cha uzalendo utakufa masikini😂
@barakalameck7163
@barakalameck7163 2 года назад
Asante. Je ulikaa jeshini kwa muda gani? Na je unaweza kustafu muda wowote ukihitaji?
@user-wc2tx7uj3u
@user-wc2tx7uj3u 5 месяцев назад
Maisha marefu brother Mungu na Akubariki
@isaacomogo9872
@isaacomogo9872 2 года назад
Good 👍 advice brother
@Laizer3
@Laizer3 Месяц назад
JESHI GANI HIYO HADI USHOGA INAFANYIKA 😂😂NA IMERUHUSIWA .
@ashimushi6894
@ashimushi6894 3 дня назад
Nimejibika apa🙏
@haysam6317
@haysam6317 Год назад
😂😂EBM 11:36 maisha ya africa ni boot camp toshaaa
@MUNAHSHWAI
@MUNAHSHWAI 2 года назад
Jeshi la U.S A raha sana
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d 7 месяцев назад
Muongo, the reason watu hujiunga na majeshi ya marekani au any western military ni kutafuta status ya ukaazi, yes at some point unatakiwa kuwa na status, but possibly hata mwanafunzi you might be able ku switch na kujiunga na Jeshi and eventual kupata status ya mda mrefu
@T-puaBoy
@T-puaBoy 2 месяца назад
Unaweza kunisaidia kuhusu kujiunga na IDF
@ernestk3549
@ernestk3549 2 года назад
Sio kwamba unajiunga tuu inabidi first kufanya mitihani yawo ✊
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 года назад
Hahahaha Maisha ya Africa ni depo tosha😆
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
Kujiunga na jeshi la US ni kupoteza muda. Unaweza kufanya kila kitu na zaidi bila kwenda huko jeshini. Wengi wameenda jeshini na sasa wapo mtaani wanapambana na hali zao huku maisha yamewachapa. EBM makes informative videos ila kuna kipindi anaiabudu sana US kupita kiasi.
@mbuvamedia195
@mbuvamedia195 2 года назад
Umarekani ushamuingia huyu
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
@@Arnolvel Sahihi kwa lipi? Nini ambacho vet anafanya ambacho mtu mwingine hawezi? Kazini kwangu vets kibao wapo chini yangu wapo wapo tu hadi nawaonea huruma walienda kupoteza muda wao tu huko jeshini.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
@@mbuvamedia195 Kabisa. Jamaa anaiabudu sana US. Anafanya watu waamini hakuna maisha zaidi ya US.
@ellymia5555
@ellymia5555 2 года назад
vip wewe upo us?
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 года назад
​@@ellymia5555 Ndiyo.
@michaelkasogela7219
@michaelkasogela7219 2 года назад
Kwl kabisaa maisha ya africa ni jeshin kamil hahahahahaha
@jafari001music6
@jafari001music6 2 года назад
🙏
@mlindemabrouk8699
@mlindemabrouk8699 Год назад
Kwiyo ukiwa Na certificate ya Coz example account je unakubalika?
@emmanuelkamenya4004
@emmanuelkamenya4004 2 года назад
Hahaaaa maisha ya Africa ni depo tosha dah!
@remyntiranyibagira1432
@remyntiranyibagira1432 2 года назад
Sasa nambie mbona nasikia eti ukipokea mushala auluhusu kutumana pesa kwenu kumazilikio ata ukituma eti kuna hela fulani auezi kuzidisha tupe ukweli kwaico kitu
@salimabdallah5176
@salimabdallah5176 Год назад
Jiunge mkuu uende Afghanistan 🇦🇫
@coldhart24
@coldhart24 Год назад
Kaka @EBM je mtu wa diploma anaweza kwenda jeshi la Marekani ???😊
@husenihuseni5246
@husenihuseni5246 Год назад
Je kujiunga ni bure au inakuje
@olaycereuben419
@olaycereuben419 2 года назад
Sasa kwanini veterans wanaishia kutumia madawa na suicide kama kuna mambo mengi kama haya
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Год назад
Hujasikia memory kwenye miti hakuna wajenzi?
@valentinoraymond7659
@valentinoraymond7659 2 года назад
mwamba wewe ni tajiri aisee umetoboa
@oxwad3836
@oxwad3836 2 года назад
🙏🏿🙏🏿 . 🇹🇿
@ruhumurizarobert990
@ruhumurizarobert990 2 года назад
Ukitaka kusomea ujasusi ama intelligency unasoma course gani?,ninge penda kufanya kazi n'a Nasa, ama CIA, FBI etc...,
@zawadix9574
@zawadix9574 2 года назад
Wewe ni opportunist sana mpaka una ingia jeshi LA USA sio mzalendo kabisa!!!!!
@klaussteiner94
@klaussteiner94 2 года назад
😳😳
@veraisaria
@veraisaria 2 года назад
Kwani Kuna mtu duniani sio opportunisty?bro ebm eh! Endelea kusaidia watu wako sio lazima tujazane humu
@klaussteiner94
@klaussteiner94 2 года назад
@@veraisaria imma eeeh 👍
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 2 года назад
Ww nmuzarendo
@ayoubabdullrahaman6120
@ayoubabdullrahaman6120 2 года назад
Zawadi×'...wewe baki na kauli hiyo,hiyo ya kufanya watu mabwege eti uzalendo pumbav sn ..wenzio wanyoosha mambo yao wenye nchi🤣
Далее
Kujiunga na Jeshi la Marekani (Sehemu ya 2)
18:02
Просмотров 6 тыс.
У ГОРДЕЯ ПОЖАР в ОФИСЕ!
01:01
Просмотров 4,2 млн