Kaka EBM kwanza Hongera sn then Ubaki salama Kiukweli kwa maisha tulinayo Kamati za Roho mbaya siku hizi wapo wengi, ila wewe hauchoki kutulisha maadini na nondo km hizi kila ck mkuu Ubarikiwe
Habali yako Kaka ningeomba unisaidie Nili apply kupitia PNP ya Canada Kwa hio sasa hivo wanatuma message kupitia email yangu KO nimeshindwa kuelewa nifanyej asante Sana kama inawezekana uniunganishe na mtu anae weza kunisaidia Ili nipate kujua kwamba nivyaukweli au matapeli tu